Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

Endelea kulia maana hapo ni mwanzo tu.

Kuna ushenzi mwingi unaofanywa Afrika, huwa hamuuoni, lkn yakifanyika huko dunia ya kwanza kwa msaada ya pushed agendas through Western Media, mnajikuta watia huruma na utu.


Hayo ni mwanzo tu, tuendako hata wao watafanana na kongo kwa vurugu,
Mablack yametawaliwa kifikra sana........ hashtags kila kona kama mazuzu......wa yukreini wenyewe wabaguzi kama nn kwa miblack......
 
Mimi kama mtanzania mdogo,mnyonge na masikini ukweli kutoka moyoni sifurahii kabisa vita hii ambayo inheweza kuepukika isipokua kutokana na kiburi Cha baadhi ya watu na hasa USA.
Kama sio USA kumtia kiburi Zelensky Leo hii kusinhekua na vita Ukraine.
Ukweli kabisa Sasa nhurumia kabisa Zelensky,nawahurumia wananchi wa Ukraine,nawahurumia wanawake,watoto,wazee na hata vijana wa Ukraine.
Vita sio nzuri hata kidogo,watu wanakufa,damu zinamwagika na wengine wanapata ulemavu.
Mali zinapotea,miundimbinu inaharibika,biashara hasara,wagonjwa nyumbani na mahospitalini wanataabika.inauma sana.
Zelensky anatia huruma sana masikini ,hawezi kubaki wala hawezi kutoka.kijana mdogo sana huyu,Hana hatia yoyote.
Usikute alikua analaghaiwa na wamarekani na pengine akitaka kuwakatalia huenda walikua wanamtisha.
Inawezekana alikua anatishwa na wamarekani na baadae akawa anatishwa na Warusi,hakua na uchaguzi.
Ukiangalia baada ya kuvunjika USSR Ukraine ilikuwepo na Urusi haikua na shida nayo.
Ukweli Hadi hapa Ukraine Haina kosa lolote kubwa la kufanya Urusi iipige namna hiyo.tatizo lililopo ni walaghai kutoka nje.
Hasira za Urusi ni kwa Nini Ukraine inataka kumletea Urusi Adui yake mpakani?
Ukiikaribisha NATO ,umeshamkaribisha USA.
Na USA na Urusi na maadui wakubwa.

Kwa kweli najaribu kuvaa moyo wa Zelensky naona hakuna mtu hapa duniani kwa Sasa anaepitia kipindi kigumu kama yeye.roho inaniuma sana.
Zelensky Yuko kwenye janga.amebaki na watu wake TU.
Ni kweli Urusi atawekewa vikwazo lakini haiwazuii Warusi kumuua Zelensky kama wakimtia mikononi.
Inatisha.
Naomba Mungu muumba wa Dunia na vitu vyote vinavyoonekana amuepushwe Raisi huyo kijana na kifo kwa Sasa pamoja na madhira mengine atakayopitia.poa namuonba Mungu Baba awanusuru wa ukraine bna maafa ama maangamizi yoyote.

Dunia hii haiko sawa kabisa.
Mimi pia nimeumia mno
 
huna unachojua zaid ya mihemko, mihemko ufunga uwezo wa kufikiri.
you are trying to defend undefendable..misri haikuwa na rais wakati Arab springs? Tunisia haikuwa na rais wakati wa Arab springs? hao marais walichukua hatua gani kuzuia nchi zao zisiingie kwenye machafuko?.
Gaddafi aliua raia wake, akaona hatoshi akaingiza jeshi mtaani kuua, akaua kweli hadi nato ilipoamua kuingilia Kati.
leo mnatumia nguvu kweli kupotosha kuwa ule ulikuwa ni uvamizi wa USA.
Kuna mdau kakwambia tatizo unatizama Sana propaganda za magharibi[emoji4]
 
Hakuna mpumbavu kama U.S.A yeye anachoangalia ni maslah yake tu wengine hana time nao.
Acha laana na mzimu wa gadafi uitese ulaya.
 
Huwezi mpangia mtu maisha ndugu, as we speak Kuna watu wanaomboleza wengine wako bar wanakunywa bia, wengine wako Wana nyanduans

Masuala ya kuwa pro america ni maisha yake ni choice yake, we anzisha Uzi ambao ni bure kabisa kuhsu somalia, Eritrea n.k
Kuna kumpangia mtu maisha kwenye ukweli.
Ukweli lazima usemwe hizi huruma zilitupeleka utumwani hizi.
Bado narudia unafiki wa kuwalilia na kuwaonea huruma waukraine ni upumbavu uliopitiliza asha kum si matusi.

Ninaweza andika makala ndefu tu nikielezea kwa nini tunasahau shida za ndugu zetu afrika na kushoboka zisizotuhusu.

Anza wewe kuandika Uzi wako ila tunaruhusiwa kuchangia humu na ndio maana ni jamii forum

Sawa pro Amerika
 
Ni unafiki kama alivyosema wala hajakosea,hasa mijitu Black,ni zero kabisa

Likitokea tatizo ulaya,mashariki ya kati au marekani huko wanakuwa na hash tag kibao......
Kama Ile ya BLACK LIVES MATTER wakati hapa kwetu watu walitekwa, wakauwa na wengine kupotea hakuna aliyepinga watu kimya.

Sijui tulilogwa na nani?
 
Sijajua kwann tuna tabia ya kuhalalisha sijui ni kufurahia jambo baya kwa kutumia jambo baya lililofanywa kipindi cha nyuma.

Mtu kafariki mwingine anakejeli, ukimuuliza kwann unakejeli jibu ni wakati fulani anafariki uliuliza waliokuwa wanakejeli? [emoji23][emoji23][emoji23].
Wako sahihi kabisa sababu hata ktk Biblia

MATHAYO 7:1-2 inaeleza.

"Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa."

MATHAYO 7:12 pia inanena;

"Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii."

Basi usiwalaumu kwanini wanahalalisha hivyo maana hata wale waliokufa ktk nchi za Afghanistan, Iraq, Libya, Somalia, Sryria nao ni Watu vile vile na wapo ambao hawakuwa na hatia na wala hawakuwa kenge.
 
Waafrika sisi wajinga sana,Kila mtu pray for Ukrainian.........wakati huku kwetu shida tupu watu wanaokufa huku Africa ni tofauti na hao huko?
Hadi mtu unaweza hisi tumelaaniwa na nani hadi tufikie hatua ya kuwa mazuzu kiwango hicho [emoji848][emoji16]
 
Kilichotokea Libya
Kilichotokea Misri
Kilichotokea Tunisia
Kilichotokea Sudan

Ilikuwa ni watu kutika Magharibi mwa afrika kupandikiza watu wao ili itokee insurgency na wao wapate nafasi ya kuingia kwenye Hilo Taifa wakisema wanaenda kutoa humanitarian aid kumbe wakamwaga siraha na kubadilisha regime hii ndio inaitwa false flag siku hizi

Kwa nini Misri baada ya Arab spring na kiongozi wakamchagua kwa demokrasia wa Muslim brotherhood akatofautiano kimawazo na wamagharibi wakafanya mpango akapinduliwa na Jeshi,
Na General Al sis ambaye ni kibaraka wa Marekani kuingia uliona kukemea kwa Mataifa ya Magharibi kuhusiana na undemocratic nature iliyotokea ila walizidi kuipa msaada Misri kwa sababu kwao inaserve strategic mission zao, funguka macho mtu mweusi jua mizania isiyo sawa watumiayo mabeberu.

Mnafamu nini kilichoendelea Sudan, Kilichoendelea Lebanon

Baada ya hapo Mashariki ya kijasusi duniani yakajua Kilichoendelea hivyo

walivyotaka kuingia Syria kwa kutumia mbinu zile zile wakazuiliwa na mrusi.

Wakaenda Hong Kong kwa pre text ya uhuru wa habari na kujieleza
Uliona jinsi wachina walivyolishughurikia.

Wakaenda Belarus wakidai Kuna rigged election results uliona walivyohandle

Wakaenda Kazakhstan hii juzi juzi tu uliona CSTO ikiongozwa na Mrusi walivyodhibiti Yale machafuko kupitia nguvu yaani aim to kill,
Wamagharibi walivyoona mbinu Yao imeshindikana wakaanza kusema Urusi wamevamia Kazakhstan na Warusi waliingia hawatoki lakini walivyomaliza walitoka kwa amani


Lazima ujue hawa jamaa Wana mbinu nyingi na Wana operate kutumia hizi NGO to impose their idea na Kuna watu wanalipwa fedha nyingi kuinstigate hayo mambo.

Kwa usiseme mhemko ila umeonyesha jinsi ulivyo mtupu
huna unachojua zaid ya mihemko, mihemko ufunga uwezo wa kufikiri.
you are trying to defend undefendable..misri haikuwa na rais wakati Arab springs? Tunisia haikuwa na rais wakati wa Arab springs? hao marais walichukua hatua gani kuzuia nchi zao zisiingie kwenye machafuko?.
Gaddafi aliua raia wake, akaona hatoshi akaingiza jeshi mtaani kuua, akaua kweli hadi nato ilipoamua kuingilia Kati.
leo mnatumia nguvu kweli kupotosha kuwa ule ulikuwa ni uvamizi wa USA.
Kilichotokea Libya
Kilichotokea Misri
Kilichotokea Tunisia
Kilichotokea Sudan

Ilikuwa ni watu kutoka Magharibi kuja kupandikiza watu wao ili itokee insurgency na wao wapate nafasi ya kuingia kwenye Hilo Taifa wakisema wanaenda kutoa humanitarian aid kumbe wakamwaga siraha na kubadilisha regime hii ndio inaitwa false flag siku hizi

Kwa nini Misri baada ya Arab spring na kiongozi wakamchagua kwa demokrasia wa Muslim brotherhood akatofautiano kimawazo na wamagharibi wakafanya mpango akapinduliwa na Jeshi na General Al sis.
kuingia uliona kama Mataifa ya Magharibi yalikemea kuhusiana na undemocratic nature iliyotokea ila walizidi kuipa msaada Misri kwa sababu kwao inaserve strategic mission zao na intereste. funguka macho mtu mweusi jua mizania isiyo sawa watumiayo mabeberu.

Mnafamu nini kilichoendelea Sudan, Kilichoendelea Lebanon

Baada ya hapo Mashiriki ya kijasusi duniani yakajua Kilichoendelea hivyo

walivyotaka kuingia Syria kwa kutumia mbinu zile zile wakazuiliwa na mrusi
Tena hapa Syria wakasema hadi civilian s wamepigwa na chemical weapons kumbe walifanya wao kupitia WHITE HELMETS.

Wakaenda Hong Kong kwa pre text ya uhuru wa habari na kujieleza
Uliona jinsi wachina walivyolishughurikia.
Wakadai Hong Kong haipo huru juu ya sheria mpya ya Ulinzi sijui Usalama ya mtu kupelekwa Mainland ukikosea kumbe Wamagharibi walipatumia Hong Kong kama sehemu ya kufanya na kuendeleza covert operation dhidi ya china.

Wakaenda Belarus wakidai Kuna rigged election results uliona walivyohandle

Wakaenda Kazakhstan hii juzi juzi tu uliona CSTO ikiongozwa na Mrusi walivyodhibiti Yale machafuko kupitia nguvu yaani aim to kill,
Wamagharibi walivyoona mbinu Yao imeshindikana wakaanza kusema Urusi wamevamia Kazakhstan na Warusi waliingia hawatoki lakini walivyomaliza walitoka kwa amani

Lazima ujue hawa jamaa Wana mbinu nyingi na Wana operate kutumia hizi NG'Os to impose their idea na Kuna watu wanalipwa fedha nyingi kuinstigate hayo mambo.

Kwa hiyo usiseme mhemko jamaa ana hoja.

Naomba kuwasilisha.
 
Kilichotokea Libya
Kilichotokea Misri
Kilichotokea Tunisia
Kilichotokea Sudan

Ilikuwa ni watu kutika Magharibi mwa afrika kupandikiza watu wao ili itokee insurgency na wao wapate nafasi ya kuingia kwenye Hilo Taifa wakisema wanaenda kutoa humanitarian aid kumbe wakamwaga siraha na kubadilisha regime hii ndio inaitwa false flag siku hizi

Kwa nini Misri baada ya Arab spring na kiongozi wakamchagua kwa demokrasia wa Muslim brotherhood akatofautiano kimawazo na wamagharibi wakafanya mpango akapinduliwa na Jeshi na Al sis kuingia uliona kukemea kwa Mataifa ya Magharibi kuhusiana na undemocratic nature iliyotokea ila walizidi kuipa msaada Misri kwa sababu kwao inaserve strategic mission zao, funguka macho mtu mweusi jua mizania isiyo sawa watumiayo mabeberu.

Mnafamu nini kilichoendelea Sudan, Kilichoendelea Lebanon

Baada ya hapo Mashariki ya kijasusi duniani yakajua Kilichoendelea hivyo

walivyotaka kuingia Syria kwa kutumia mbinu zile zile wakazuiliwa na mrusi.

Wakaenda Hong Kong kwa pre text ya uhuru wa habari na kujieleza
Uliona jinsi wachina walivyolishughurikia.

Wakaenda Belarus wakidai Kuna rigged election results uliona walivyohandle

Wakaenda Kazakhstan hii juzi juzi tu uliona CSTO ikiongozwa na Mrusi walivyodhibiti Yale machafuko kupitia nguvu yaani aim to kill,
Wamagharibi walivyoona mbinu Yao imeshindikana wakaanza kusema Urusi wamevamia Kazakhstan na Warusi waliingia hawatoki lakini walivyomaliza walitoka kwa amani


Lazima ujue hawa jamaa Wana mbinu nyingi na Wana operate kutumia hizi NGO to impose their idea na Kuna watu wanalipwa fedha nyingi kuinstigate hayo mambo.

Kwa usiseme mhemko ila umeonyesha jinsi ulivyo mtupu
Tena hakuna shetwani aliyejificha ktk kichaka cha democracy na kutoa vimisaada uchwara ilihali anachochukua(rasilimali) ktk hizo nchi za kupewa misaada ni zaidi ya 75% - 90% na kuwauzia silaha baada ya kuchonganishwa kivita na kupambana ninyi kwa ninyi kama USA.

Na kiuhalisia kwa jicho la 3 hata haya maisha tunayoishi ni sababu ya ukoloni mamboleo ambapo laiti Waafrika tukijitambua na kuanza kuukataa kwa nguvu 1 basi huyo USA na EU zitateseka sana kuendelea kuwa omba omba kiuchumi, kimaendeleo, kiteknolojia na hata kiujasusi.
 
The Taliban is closely following the military conflict between Russia and Ukraine and calls on the parties to dialogue. The Taliban authorities called on the warring parties to resolve the conflict by peaceful means. https://t.co/wcRCQdliNO
 
Mimi kama mtanzania mdogo,mnyonge na masikini ukweli kutoka moyoni sifurahii kabisa vita hii ambayo inheweza kuepukika isipokua kutokana na kiburi Cha baadhi ya watu na hasa USA.
Kama sio USA kumtia kiburi Zelensky Leo hii kusinhekua na vita Ukraine.
Ukweli kabisa Sasa nhurumia kabisa Zelensky,nawahurumia wananchi wa Ukraine,nawahurumia wanawake,watoto,wazee na hata vijana wa Ukraine.
Vita sio nzuri hata kidogo,watu wanakufa,damu zinamwagika na wengine wanapata ulemavu.
Mali zinapotea,miundimbinu inaharibika,biashara hasara,wagonjwa nyumbani na mahospitalini wanataabika.inauma sana.
Zelensky anatia huruma sana masikini ,hawezi kubaki wala hawezi kutoka.kijana mdogo sana huyu,Hana hatia yoyote.
Usikute alikua analaghaiwa na wamarekani na pengine akitaka kuwakatalia huenda walikua wanamtisha.
Inawezekana alikua anatishwa na wamarekani na baadae akawa anatishwa na Warusi,hakua na uchaguzi.
Ukiangalia baada ya kuvunjika USSR Ukraine ilikuwepo na Urusi haikua na shida nayo.
Ukweli Hadi hapa Ukraine Haina kosa lolote kubwa la kufanya Urusi iipige namna hiyo.tatizo lililopo ni walaghai kutoka nje.
Hasira za Urusi ni kwa Nini Ukraine inataka kumletea Urusi Adui yake mpakani?
Ukiikaribisha NATO ,umeshamkaribisha USA.
Na USA na Urusi na maadui wakubwa.

Kwa kweli najaribu kuvaa moyo wa Zelensky naona hakuna mtu hapa duniani kwa Sasa anaepitia kipindi kigumu kama yeye.roho inaniuma sana.
Zelensky Yuko kwenye janga.amebaki na watu wake TU.
Ni kweli Urusi atawekewa vikwazo lakini haiwazuii Warusi kumuua Zelensky kama wakimtia mikononi.
Inatisha.
Naomba Mungu muumba wa Dunia na vitu vyote vinavyoonekana amuepushwe Raisi huyo kijana na kifo kwa Sasa pamoja na madhira mengine atakayopitia.poa namuonba Mungu Baba awanusuru wa ukraine bna maafa ama maangamizi yoyote.

Dunia hii haiko sawa kabisa.
Kwa kweli una Roho wa Mungu ndani Yako! Kiukweli vita siyo kitu kizuri ni kibaya sana.
 
Mimi kama mtanzania mdogo,mnyonge na masikini ukweli kutoka moyoni sifurahii kabisa vita hii ambayo inheweza kuepukika isipokua kutokana na kiburi Cha baadhi ya watu na hasa USA.
Kama sio USA kumtia kiburi Zelensky Leo hii kusinhekua na vita Ukraine.
Ukweli kabisa Sasa nhurumia kabisa Zelensky,nawahurumia wananchi wa Ukraine,nawahurumia wanawake,watoto,wazee na hata vijana wa Ukraine.
Vita sio nzuri hata kidogo,watu wanakufa,damu zinamwagika na wengine wanapata ulemavu.
Mali zinapotea,miundimbinu inaharibika,biashara hasara,wagonjwa nyumbani na mahospitalini wanataabika.inauma sana.
Zelensky anatia huruma sana masikini ,hawezi kubaki wala hawezi kutoka.kijana mdogo sana huyu,Hana hatia yoyote.
Usikute alikua analaghaiwa na wamarekani na pengine akitaka kuwakatalia huenda walikua wanamtisha.
Inawezekana alikua anatishwa na wamarekani na baadae akawa anatishwa na Warusi,hakua na uchaguzi.
Ukiangalia baada ya kuvunjika USSR Ukraine ilikuwepo na Urusi haikua na shida nayo.
Ukweli Hadi hapa Ukraine Haina kosa lolote kubwa la kufanya Urusi iipige namna hiyo.tatizo lililopo ni walaghai kutoka nje.
Hasira za Urusi ni kwa Nini Ukraine inataka kumletea Urusi Adui yake mpakani?
Ukiikaribisha NATO ,umeshamkaribisha USA.
Na USA na Urusi na maadui wakubwa.

Kwa kweli najaribu kuvaa moyo wa Zelensky naona hakuna mtu hapa duniani kwa Sasa anaepitia kipindi kigumu kama yeye.roho inaniuma sana.
Zelensky Yuko kwenye janga.amebaki na watu wake TU.
Ni kweli Urusi atawekewa vikwazo lakini haiwazuii Warusi kumuua Zelensky kama wakimtia mikononi.
Inatisha.
Naomba Mungu muumba wa Dunia na vitu vyote vinavyoonekana amuepushwe Raisi huyo kijana na kifo kwa Sasa pamoja na madhira mengine atakayopitia.poa namuonba Mungu Baba awanusuru wa ukraine bna maafa ama maangamizi yoyote.

Dunia hii haiko sawa kabisa.
Wanaume je huwahurumii? Acha ubaguzi
 
Back
Top Bottom