Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

Huyu jamaa ukifatlilia quote zake humu utagundua ni pro America mtupu.

Unaumia kwa kiteseka kwa kinamama, watoto, wazee, vilema huko kwenyeTaifa la mbali lakini hujawahi kupinga mauaji yanayoendelea hapo Somali, Ethiopian, Sudan, Tchad, Mali.

Sokomoko la njaa hapo Kenya, Somalia, Niger.

Utawala mbovu Eritrea, Djibout, afrika ya kati.

Wizi unaofanywa wa rasilimali hapo Kongo, Tanzania, Burkina Faso, Uganda, Nigeria, Ghana

Vita ya jihad hapo Msumbiji.

Kutengwa kwa Somaliland

Wizi na Ufisadi hapa Tanzania, Angola, Nigeria.

Sheria za ukandamizaji wa kikoloni kama matumizi ya maji ya mto Nile

Umasikini uliopitiliza miongoni mwa watu wetu.

Haya ndio mambo Muafrika anatakiwa hayawaze sio vita inayopigwana Ulaya kwa sababu zao za kipuuzi sisi Watanganyika tuumie roho
Hapana naumia sana kuona watu wanakufa.
Sijalaumu Urusi naumia TU watu kufa.
 
Dunia haitulii hii kila siku vurumai...kinachoendelea Sasa ni Kama muendelezo tu unaofanywaga na mataifa makubwa ulimwenguni kwa nchi mbalimbali...
 
Huyu jamaa ukifatlilia quote zake humu utagundua ni pro America mtupu.

Unaumia kwa kiteseka kwa kinamama, watoto, wazee, vilema huko kwenyeTaifa la mbali lakini hujawahi kupinga mauaji yanayoendelea hapo Somali, Ethiopian, Sudan, Tchad, Mali.

Sokomoko la njaa hapo Kenya, Somalia, Niger.

Utawala mbovu Eritrea, Djibout, afrika ya kati.

Wizi unaofanywa wa rasilimali hapo Kongo, Tanzania, Burkina Faso, Uganda, Nigeria, Ghana

Vita ya jihad hapo Msumbiji.

Kutengwa kwa Somaliland

Wizi na Ufisadi hapa Tanzania, Angola, Nigeria.

Sheria za ukandamizaji wa kikoloni kama matumizi ya maji ya mto Nile

Umasikini uliopitiliza miongoni mwa watu wetu.

Haya ndio mambo Muafrika anatakiwa hayawaze sio vita inayopigwana Ulaya kwa sababu zao za kipuuzi sisi Watanganyika tuumie roho
Iwe kwa ajali au kwa magonjwa,Mimi Huwa naumia sana.
Kwa taarifa Yako Marekani ndio chanzo Cha yote haya,na ndio kamtia kiburi Zelensky.
Sijasema Urusi Hana haki ya kujilinda .
Ninachosema Mimi ni kuwa Kuna watu wanataabika kwa vita hii ama vita yoyote.
Kwa kifupi siwezi kifurahia kwa mtoto yoyote au mtu yoyote akifa kwa sababu ya vita.
Nilikua naumia sana nikisikia ISIS imeua au imechinja mtu.
Naumia sana watu wakifa kwa njaa,naumia sana tu.
 
Dunia haitulii hii kila siku vurumai...kinachoendelea Sasa ni Kama muendelezo tu unaofanywaga na mataifa makubwa ulimwenguni kwa nchi mbalimbali...
Akikujibu nitag mkuu.
Icebreaker unadhani napinga anachokifanya Urusi?
Noo,nimeingiwa na huruma tuu kibinadamau.
Urusi ana haki ya kujilinda hiyo Haina ubishi.
Lakini ni hulka ya binadamu kuguswa mtu akifa..
 
danganya makinda wenzio...
history io wazi chanzo cha vita ya nchi ulizk zilist hapa. Somalia chanzo ni Farah Aidid na kundi lake
Libya, chanzo ni mpumbavu mmoja hivi alizani Libya ni kama duka lake.
mnaandika koment na kutaja taja majina na ya nchi ili ku- justify uovu.
Nashangaa sana ujue?
Yaani watu bwana ,hizo nchi wanazotaja as if vyanzo hawavijui ,wanajitoa ufahamu
 
Ndugu zangu watanzania kwanini muone unafiki kwa wananchi wengine kuwaonea huruma binadamu wengine wanaoteseka na vita hivi sasa huko Ukraine? Mnajuaje kwamba hakuumia hata vita katika nchi zingine vilivyopiganwa na mamia kwa maelfu ya watu kufa? Je kuna mtu hakuumia katika vita vilivyopiganwa nchi zingine za uarabuni, afrika na kwengineko? Je wayukraine hawapaswi kuonewa huruma kama binadamu wengine waliathirika na vita ? Fikiria baba yako kipenzi au mama yako kipenzi au kaka yako au dada yako au mkeo au mumeo, unavyompenda ndio yuko pale Ukraine sasa hivi kwenye jengo ambalo unaoneshwa kwenye TV kua limepigwa bomu limefumuliwa lote, je ungekua unaongea hivi ?! Au unaongea hivyo sababu hawako Ukraine na hio nchi haikuhusu na hata wanaokufa huko hawakuhusu
Asante Mkuu.
Nadhani wewe umenielewa.
 
Ndugu zangu watanzania kwanini muone unafiki kwa wananchi wengine kuwaonea huruma binadamu wengine wanaoteseka na vita hivi sasa huko Ukraine? Mnajuaje kwamba hakuumia hata vita katika nchi zingine vilivyopiganwa na mamia kwa maelfu ya watu kufa? Je kuna mtu hakuumia katika vita vilivyopiganwa nchi zingine za uarabuni, afrika na kwengineko? Je wayukraine hawapaswi kuonewa huruma kama binadamu wengine waliathirika na vita ? Fikiria baba yako kipenzi au mama yako kipenzi au kaka yako au dada yako au mkeo au mumeo, unavyompenda ndio yuko pale Ukraine sasa hivi kwenye jengo ambalo unaoneshwa kwenye TV kua limepigwa bomu limefumuliwa lote, je ungekua unaongea hivi ?! Au unaongea hivyo sababu hawako Ukraine na hio nchi haikuhusu na hata wanaokufa huko hawakuhusu
mpaka sasa inapoendelea vita ya UKRAINE dunia sio kama inavita hio tu MKUU kuna SYRIA LIBYA YEMEN nk
Umeona nyuzi kama hizi kuhusu haya maeneo?
unataka nini tena ujue kama kweli kuna unafiq?
 
danganya makinda wenzio...
history io wazi chanzo cha vita ya nchi ulizk zilist hapa. Somalia chanzo ni Farah Aidid na kundi lake
Libya, chanzo ni mpumbavu mmoja hivi alizani Libya ni kama duka lake.
mnaandika koment na kutaja taja majina na ya nchi ili ku- justify uovu.
hata hii ni upuuzi wa zelensky kufanya anajua kila kitu
acha anyooshwe[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Hatusapoti mauaji ya watu ila hili Jambo la Ukraine imeonesha unafiki wa watu Kwa sababu wasomali wengi walikufaa,walibya pia lakini dunia ilikaa kimya.lakini Sasa hivi Kwa Ukraine mambo yamekuwa tofauti.au hata Syria juzi Tu hapo dunia ilikuwa kimya.ndo nakuuliza au binadamu tupo grade tofauti.
Mimi kama Mimi niliumia sana kuhusu maangamizi yote hayo uliyoyataja hapo juu.

Niliumia watu kufa ,Iraq, Afghanistan,Libya,Kosovo,Chechen,watu kupotezwa na Jiwe,somalia,Boko, Haram,
Vifo vya matetemeko,Sunami,njaa,mioto ajali na Kila aina ya vifo ukiwa ni pamoja na korona.

Kumbuka hapa sipingi mpango wa Urusi kujilinda hapa naumia kibinadamau TU.

Hii vita inheweza kuepukika kama sio Hila za USA.
Huyu Zelensky amepelekeshwa TU na USA.
 
Ndugu zangu watanzania kwanini muone unafiki kwa wananchi wengine kuwaonea huruma binadamu wengine wanaoteseka na vita hivi sasa huko Ukraine? Mnajuaje kwamba hakuumia hata vita katika nchi zingine vilivyopiganwa na mamia kwa maelfu ya watu kufa? Je kuna mtu hakuumia katika vita vilivyopiganwa nchi zingine za uarabuni, afrika na kwengineko? Je wayukraine hawapaswi kuonewa huruma kama binadamu wengine waliathirika na vita ? Fikiria baba yako kipenzi au mama yako kipenzi au kaka yako au dada yako au mkeo au mumeo, unavyompenda ndio yuko pale Ukraine sasa hivi kwenye jengo ambalo unaoneshwa kwenye TV kua limepigwa bomu limefumuliwa lote, je ungekua unaongea hivi ?! Au unaongea hivyo sababu hawako Ukraine na hio nchi haikuhusu na hata wanaokufa huko hawakuhusu
Kwani wewe Nyerere wako alivyokuwa anaipiga Uganda kulikuwa hamna watoto kule Uganda au wanawake-acheni upumbavu wenu basi.
 
Ndio matatizo ya kuchagua Marais ambapo kazi yake ilikiwa kukuta viuono stag,Rais anashindwa Ku make right judgment kwa ajili ya watu wake.Anaona Marais wengine wote waliopita hapo Ukraine miaka na miaka walikuwa wajibga kutotaka mashirikiano na hao NATO-walijua kitakachotokea.
 
Mimi kama mtanzania mdogo,mnyonge na masikini ukweli kutoka moyoni sifurahii kabisa vita hii ambayo inheweza kuepukika isipokua kutokana na kiburi Cha baadhi ya watu na hasa USA.
Kama sio USA kumtia kiburi Zelensky Leo hii kusinhekua na vita Ukraine.
Ukweli kabisa Sasa nhurumia kabisa Zelensky,nawahurumia wananchi wa Ukraine,nawahurumia wanawake,watoto,wazee na hata vijana wa Ukraine.
Vita sio nzuri hata kidogo,watu wanakufa,damu zinamwagika na wengine wanapata ulemavu.
Mali zinapotea,miundimbinu inaharibika,biashara hasara,wagonjwa nyumbani na mahospitalini wanataabika.inauma sana.
Zelensky anatia huruma sana masikini ,hawezi kubaki wala hawezi kutoka.kijana mdogo sana huyu,Hana hatia yoyote.
Usikute alikua analaghaiwa na wamarekani na pengine akitaka kuwakatalia huenda walikua wanamtisha.
Inawezekana alikua anatishwa na wamarekani na baadae akawa anatishwa na Warusi,hakua na uchaguzi.
Ukiangalia baada ya kuvunjika USSR Ukraine ilikuwepo na Urusi haikua na shida nayo.
Ukweli Hadi hapa Ukraine Haina kosa lolote kubwa la kufanya Urusi iipige namna hiyo.tatizo lililopo ni walaghai kutoka nje.
Hasira za Urusi ni kwa Nini Ukraine inataka kumletea Urusi Adui yake mpakani?
Ukiikaribisha NATO ,umeshamkaribisha USA.
Na USA na Urusi na maadui wakubwa.

Kwa kweli najaribu kuvaa moyo wa Zelensky naona hakuna mtu hapa duniani kwa Sasa anaepitia kipindi kigumu kama yeye.roho inaniuma sana.
Zelensky Yuko kwenye janga.amebaki na watu wake TU.
Ni kweli Urusi atawekewa vikwazo lakini haiwazuii Warusi kumuua Zelensky kama wakimtia mikononi.
Inatisha.
Naomba Mungu muumba wa Dunia na vitu vyote vinavyoonekana amuepushwe Raisi huyo kijana na kifo kwa Sasa pamoja na madhira mengine atakayopitia.poa namuonba Mungu Baba awanusuru wa ukraine bna maafa ama maangamizi yoyote.

Dunia hii haiko sawa kabisa.
Je, kwann hukuumia uonevu ulofanywa na NATO na ufaransa dhidi ya libya? USA na NATO dhidi ya iraq, afghanistan, syria?
 
hata hii ni upuuzi wa zelensky kufanya anajua kila kitu
acha anyooshwe[emoji35][emoji35][emoji35]
Hapa ndio msingi wa hoja yangu ulipo.
Viburi vya watu wachache vinaponza wengine.
Zelensky kwa kudanganywa na kulishwa upepo na USA akajaa kiburi,
Sasa matikeo yake kipigo anachopata kinawaumiza hata wengine.
Na Marekani kwa dharau zake amemponza Zelensky.
Sasa kinachotokea wengine wanakufa na kuteseka sababu ya watu wachache.

Sijakosoa kuhusu Urusi kujilinda.
Urusi ana haki ya kujilinda.

Kama Zelensky na NATO na Marekani wangeachana na mipango Yao ya kuiunga Ukraine kwa NATO Urusi asingetoa kipigo,na hivyo watoto,na wanawake na wazee na hata vijana ambao Mimi Sasa nawahurumia hapa wasingekufa.
 
Ndio matatizo ya kuchagua Marais ambapo kazi yake ilikiwa kukuta viuono stag,Rais anashindwa Ku make right judgment kwa ajili ya watu wake.Anaona Marais wengine wote waliopita hapo Ukraine miaka na miaka walikuwa wajibga kutotaka mashirikiano na hao NATO-walijua kitakachotokea.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom