Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

Mablack yametawaliwa kifikra sana........ hashtags kila kona kama mazuzu......wa yukreini wenyewe wabaguzi kama nn kwa miblack......
 
Mimi pia nimeumia mno
 
Kuna mdau kakwambia tatizo unatizama Sana propaganda za magharibi[emoji4]
 
Hakuna mpumbavu kama U.S.A yeye anachoangalia ni maslah yake tu wengine hana time nao.
Acha laana na mzimu wa gadafi uitese ulaya.
 
Kuna kumpangia mtu maisha kwenye ukweli.
Ukweli lazima usemwe hizi huruma zilitupeleka utumwani hizi.
Bado narudia unafiki wa kuwalilia na kuwaonea huruma waukraine ni upumbavu uliopitiliza asha kum si matusi.

Ninaweza andika makala ndefu tu nikielezea kwa nini tunasahau shida za ndugu zetu afrika na kushoboka zisizotuhusu.

Anza wewe kuandika Uzi wako ila tunaruhusiwa kuchangia humu na ndio maana ni jamii forum

Sawa pro Amerika
 
Ni unafiki kama alivyosema wala hajakosea,hasa mijitu Black,ni zero kabisa

Likitokea tatizo ulaya,mashariki ya kati au marekani huko wanakuwa na hash tag kibao......
Kama Ile ya BLACK LIVES MATTER wakati hapa kwetu watu walitekwa, wakauwa na wengine kupotea hakuna aliyepinga watu kimya.

Sijui tulilogwa na nani?
 
Wako sahihi kabisa sababu hata ktk Biblia

MATHAYO 7:1-2 inaeleza.

"Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa."

MATHAYO 7:12 pia inanena;

"Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii."

Basi usiwalaumu kwanini wanahalalisha hivyo maana hata wale waliokufa ktk nchi za Afghanistan, Iraq, Libya, Somalia, Sryria nao ni Watu vile vile na wapo ambao hawakuwa na hatia na wala hawakuwa kenge.
 
Waafrika sisi wajinga sana,Kila mtu pray for Ukrainian.........wakati huku kwetu shida tupu watu wanaokufa huku Africa ni tofauti na hao huko?
Hadi mtu unaweza hisi tumelaaniwa na nani hadi tufikie hatua ya kuwa mazuzu kiwango hicho [emoji848][emoji16]
 
Kilichotokea Libya
Kilichotokea Misri
Kilichotokea Tunisia
Kilichotokea Sudan

Ilikuwa ni watu kutoka Magharibi kuja kupandikiza watu wao ili itokee insurgency na wao wapate nafasi ya kuingia kwenye Hilo Taifa wakisema wanaenda kutoa humanitarian aid kumbe wakamwaga siraha na kubadilisha regime hii ndio inaitwa false flag siku hizi

Kwa nini Misri baada ya Arab spring na kiongozi wakamchagua kwa demokrasia wa Muslim brotherhood akatofautiano kimawazo na wamagharibi wakafanya mpango akapinduliwa na Jeshi na General Al sis.
kuingia uliona kama Mataifa ya Magharibi yalikemea kuhusiana na undemocratic nature iliyotokea ila walizidi kuipa msaada Misri kwa sababu kwao inaserve strategic mission zao na intereste. funguka macho mtu mweusi jua mizania isiyo sawa watumiayo mabeberu.

Mnafamu nini kilichoendelea Sudan, Kilichoendelea Lebanon

Baada ya hapo Mashiriki ya kijasusi duniani yakajua Kilichoendelea hivyo

walivyotaka kuingia Syria kwa kutumia mbinu zile zile wakazuiliwa na mrusi
Tena hapa Syria wakasema hadi civilian s wamepigwa na chemical weapons kumbe walifanya wao kupitia WHITE HELMETS.

Wakaenda Hong Kong kwa pre text ya uhuru wa habari na kujieleza
Uliona jinsi wachina walivyolishughurikia.
Wakadai Hong Kong haipo huru juu ya sheria mpya ya Ulinzi sijui Usalama ya mtu kupelekwa Mainland ukikosea kumbe Wamagharibi walipatumia Hong Kong kama sehemu ya kufanya na kuendeleza covert operation dhidi ya china.

Wakaenda Belarus wakidai Kuna rigged election results uliona walivyohandle

Wakaenda Kazakhstan hii juzi juzi tu uliona CSTO ikiongozwa na Mrusi walivyodhibiti Yale machafuko kupitia nguvu yaani aim to kill,
Wamagharibi walivyoona mbinu Yao imeshindikana wakaanza kusema Urusi wamevamia Kazakhstan na Warusi waliingia hawatoki lakini walivyomaliza walitoka kwa amani

Lazima ujue hawa jamaa Wana mbinu nyingi na Wana operate kutumia hizi NG'Os to impose their idea na Kuna watu wanalipwa fedha nyingi kuinstigate hayo mambo.

Kwa hiyo usiseme mhemko jamaa ana hoja.

Naomba kuwasilisha.
 
Tena hakuna shetwani aliyejificha ktk kichaka cha democracy na kutoa vimisaada uchwara ilihali anachochukua(rasilimali) ktk hizo nchi za kupewa misaada ni zaidi ya 75% - 90% na kuwauzia silaha baada ya kuchonganishwa kivita na kupambana ninyi kwa ninyi kama USA.

Na kiuhalisia kwa jicho la 3 hata haya maisha tunayoishi ni sababu ya ukoloni mamboleo ambapo laiti Waafrika tukijitambua na kuanza kuukataa kwa nguvu 1 basi huyo USA na EU zitateseka sana kuendelea kuwa omba omba kiuchumi, kimaendeleo, kiteknolojia na hata kiujasusi.
 
The Taliban is closely following the military conflict between Russia and Ukraine and calls on the parties to dialogue. The Taliban authorities called on the warring parties to resolve the conflict by peaceful means. https://t.co/wcRCQdliNO
 
Kwa kweli una Roho wa Mungu ndani Yako! Kiukweli vita siyo kitu kizuri ni kibaya sana.
 
Wanaume je huwahurumii? Acha ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…