Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena

Mkuu kulingana na story waonekana hujapiga mashine vzr? next time utuwakilishe vizuri bwana tusiwe tunalaumiwa.
 
Mara nyingi hua sisomi nikiona maelezo marefu hivi lakini kwa uandishi huo kwakweli nmesoma bila kuchoka ,uandishi mzuri ,sasa sidhani kama hujui cha kufanya umeoa unajua nn ufanye...E zaidi yakukuharibia ndoa hamna lingine, naata ndoa ikiharibika sio rahisi umuoe yeye!! Pima matendo yako utajua chakufanya
 
Ushauri wangu endelea kufanyanya nae office moja juu ya kumgegeda endelea nae kwa sababu mkeo amekuwa Mtu wakukupa stress na vilevile kuna sehem anapiga shoo ndio maana ana kiburi Fulani(akimwaga mboga we mwaga ugali
mmmmmhh imagin ndio wewe unahitaji ushauri alafu ukashauriwa hivi utajisikiaje na uko kwenye shida sijui wajua wewe
 
Saa hizi ni mchana,hebu tuambie sasa mmewezaje kukutana na E hapo ofsini?

Au kila mmoja akimuona mwenzake anakula kona?
Tulionana mara moja tu ile asubuhi, kila mtu akaendelea shughuli zake! nimetoka mapema lakini niko zangu home muda huu, natafakari tu na slow music
 
Ushampenda E hilo lipo wazi na trust me hamtaacha huo mchezo mpaka mkeo agundue
 
Uandishi mzuri plus mechi ya marudio naunga mkono hoja
 
Kutana na E mjadiliane ni namna gani mtaishi hapo ofisini....lazima muwe na jibu la pamoja na makubaliano hapo utakua na amani ila ukitaka leta kiburi basi E atakua Mwiba kwako
 
Amen barikiwa sana mwenye masikio na asikie neno hili tuache shingo ngumu na tujue kutenda dhambi kuna vunja mahusiano yetu na Mungu yaani inafika mahali mtu amuwazi Mungu kuwa nikifanya hivi namkosea
 
Duh, the perks of letting the small head rule the big one! Enewei..............................

Mkuu ukienda job just pretend like nothing happened! . Do not allow miss E any air time to reminisce about the encounter nor the any of your escapades. Be the same but slighty different. i.e. Maintain a friendly and courteous demeanor but ensure you keep all your interactions and "convos" within a professional line.
 
1. ni tamu ila ndefuu
2. una roho mbaya yaan mwenzio ahamishwe idara kisa wewe??
3 asali haionjwi Mara moja
4, Kwa nn hukutumia ndom???

u must answer this,
5, do u love E??? no explanation just say yes/no

am waiting nataka kukupa jibu la ulichoandika
 
wote mna zengu 8 years E ana nyodo watu kama hao huwa wana heshima sana we mrudi uweke heshima kabisa ila uwe kama pele maana nahuakika huyo manzi ni mtamu hatari. na usije ukakuta alikuwa bikira
 
wote mna zengu 8 years E ana nyodo watu kama hao huwa wana heshima sana we mrudi uweke heshima kabisa ila uwe kama pele maana nahuakika huyo manzi ni mtamu hatari. na usije ukakuta alikuwa bikira
Hakuwa bikra mkuu
 
Unataka kumuacha?!..hujafurahia mambo yake?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo Ni mazuri lakini hata kutania ndoa hajawah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji21]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo Ni mazuri lakini hata kutania ndoa hajawah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji21]
Anakujali na msumari anakupigilia vzr?

Muulize tu haya mambo inabidi uwe muwazi
 
Hii story ni tamu,angeweka na kapicha kidogo ingenoga zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…