Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Jamani, mbona ni LIVEUnajua kama yale (WWE na wenzie) ni maigizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani, mbona ni LIVEUnajua kama yale (WWE na wenzie) ni maigizo?
Kauzu balaaaSolo ananiuzi lile lidole lake ila namkubali linajiamini[emoji23][emoji23][emoji23]
Niliacha kuangalia baada ya kujua ni maigizo. Ages ago....Jamani, mbona ni LIVE
Zile kutengeneza bifu ndio nilikuwa najua ni scriped lakini zile za kupigana nilikuwa najua ni kweli. Sasa kwa maana hiyo wanaamua nani ashinde na nani apigwe?Niliacha kuangalia baada ya kujua ni maigizo. Ages ago....
Yeah,ni maigizo tuZile kutengeneza bifu ndio nilikuwa najua ni scriped lakini zile za kupigana nilikuwa najua ni kweli. Sasa kwa maana hiyo wanaamua nani ashinde na nani apigwe?
Hatari sana, zile arena zinavyojaa sasa😂😂😂Yeah,ni maigizo tu
Wale kama wewe wanainjoi entertainmentHatari sana, zile arena zinavyojaa sasa😂😂😂
Sawa bhana😂😂Wale kama wewe wanainjoi entertainment
Yale ni scripted na ndo maana nadhani wanakwambia dont try it anywhere. Sasa usipojaribu popote hao wanao yacheza wa baadae watapatikana vp. Sijaangalia wwe toka inaonyeshwa kwenye channel flan ya South Africa enzi hizo iko kwenye cable za BarmedasJamani, mbona ni LIVE
Vipi boxing?Yale ni scripted na ndo maana nadhani wanakwambia dont try it anywhere. Sasa usipojaribu popote hao wanao yacheza wa baadae watapatikana vp. Sijaangalia wwe toka inaonyeshwa kwenye channel flan ya South Africa enzi hizo iko kwenye cable za Barmedas
Boxing ya akina Tyson au Mohamed Ali? WWE ndio maigizo. Boxing na UFC zile ni real fightsVipi boxing?
Channel namba ngapi niwe najifunza za kule😂😂nisije nikampiga mtoto wa mtu zile style za WWE Nikaua bure.Boxing ya akina Tyson au Mohamed Ali? WWE ndio maigizo. Boxing na UFC zile ni real fights
UFC zipo kwenye 226-228. UFC is so brutal. Inabidi uwe na moyo mgumu kuangalia.Channel namba ngapi niwe najifunza za kule😂😂nisije nikampiga mtoto wa mtu zile style za WWE Nikaua bure.
Boxing si hua unaiona hata olympic na game zake zinatangazwa. Ulishawahi kusikia popote whether Bbc sports, sky sports, espn au kwingine wanatangaza mwezi flani kutakuwa na pambano la Undertaker vs Rand Orton? Mchezo gani mtu anaweza kuwa kapigwa ame devela kawa mlenda ila ghafla tu unashanga ndo kashinda. Mara mtu apigwe kiti au ngazi, mara refa au wale analyst wa pale pembeni wapigwe halafu aliewapiga haadhibiwi. Wwe ina vitu flani ukivifuatilia kwa kutuliza kichwa unaona ni maigizoVipi boxing?
Usiache kuangalia channel 128 [emoji91][emoji91][emoji91]
Nimetumia azam toka inaanza 2013 nikiwa na mategemeo kwamba siku moja itakuwa na promising future tuliyo ikosa startimes lakini dah waliendelea kutuwekea mbc kwa sisi wapenzi wa movies was a big joke, nika wabwaga miaka 3 iliyopita baada ya kupata taarifa dstv wana ile movie bundle, najiunga cha 24,000 kisha nna add on movie bundle ya 16,000 channel 3 zile unapata hadi latest movie za same year, kiukweli sie watu wa movies na documentary wacha tubaki baki huku kwa mkaburu, huyo mwarabu wa ku edit kila movies mwache abaki na wapemba wake, kwanza maudhui yote yamekaa ki dini dini tena upande upande, mkaburu hana udini yeye ni burudani tuHamna kitu pale mkuu
Hizo MBC 2 na Max breaks za matangazo kibao, sometimes unasahau kama unachek move au matangazo!
Mzungu sio mjinga akajae kwenye zile arena ndugu, sema ni mchezo wenye formula, igizo gani watu wanapasuana vileYeah,ni maigizo tu
Kweli mtu anapigwa anadevela haswa kumbe eti ndio anakusanya nguvu. Akiamka hapo na nguvu kibao.Boxing si hua unaiona hata olympic na game zake zinatangazwa. Ulishawahi kusikia popote whether Bbc sports, sky sports, espn au kwingine wanatangaza mwezi flani kutakuwa na pambano la Undertaker vs Rand Orton? Mchezo gani mtu anaweza kuwa kapigwa ame devela kawa mlenda ila ghafla tu unashanga ndo kashinda. Mara mtu apigwe kiti au ngazi, mara refa au wale analyst wa pale pembeni wapigwe halafu aliewapiga haadhibiwi. Wwe ina vitu flani ukivifuatilia kwa kutuliza kichwa unaona ni maigizo
Wanajua ni maigizo,ndio entertainment wanapenda.Mzungu sio mjinga akajae kwenye zile arena ndugu, sema ni mchezo wenye formula, igizo gani watu wanapasuana vile
Mzungu sio mjinga akajae kwenye zile arena ndugu, sema ni mchezo wenye formula, igizo gani watu wanapasuana vile