Nimeutua mzigo mzito jana usiku

''ukiona mtu mzima mamaa, analia mbele za watu..ujue kuna jamboo....''
 
Roho imeniuma tu hukumla mara ya mwisho wakati kala hela yako bila huruma.

Ingekuwa ni mimi ningevunja mahusiano kwa kutoroka na kuwaachia bili yote kuanzia matumizi yangu pamoja na yao siku hiyohiyo!

Sipendi ujinga na ujuaji mimi
 
Ngoja nitafute salio lililonona, nitimize hili
 
Siku nyingine demu wa dizaini hiyo omba ushauri wa Wakulungwa usingejuta ungechukua point 3 bila kelele.
Timu ngumu ya aina hiyo unaipeleka Uwanja wenye wa mbali na mjini wenye Tope huko Manungu hakuna mashabiki mnabaki mtu mbili tu zinapigwa kavu kavu. Kumbuka Manungu hawezi toroka hakuna Ubber na Bolt huko ni mwendo wa siku 5 mfululizo mpaka achakae. Anyway jipange ulipe kisasi mwanaume hajawahi felli broo. Ndio kukomaaa hivyo. Pole sana usikate tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…