Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #121
Dunia imejaa viumbe vya kila ainaPunguza wewe si umeoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia imejaa viumbe vya kila ainaPunguza wewe si umeoa?
Mwanamke ambaye hawezi jitunza wala wazazi wake waliomzaa hawawezi mtunza, wewe ndo utaweza? Binafsi mwanamke ambaye hawezi kujinunulia vitu vidogo vidogo au kujitatulia vishida vidogo vidogo mimi simuwezi kabisaaInawezekana
Kulitimiza hili mkuu, itaitajika kuwa na M kadhaa; maana yake natakiwa nigaramike sana ili kumleta kwenye mstariSiku nyingine demu wa dizaini hiyo omba ushauri wa Wakulungwa usingejuta ungechukua point 3 bila kelele.
Timu ngumu ya aina hiyo unaipeleka Uwanja wenye wa mbali na mjini wenye Tope huko Manungu hakuna mashabiki mnabaki mtu mbili tu zinapigwa kavu kavu. Kumbuka Manungu hawezi toroka hakuna Ubber na Bolt huko ni mwendo wa siku 5 mfululizo mpaka achakae. Anyway jipange ulipe kisasi mwanaume hajawahi felli broo. Ndio kukomaaa hivyo. Pole sana usikate tamaa
😀 😀 😀 nipe ushauri, nifanyejeNilikuambia utakuja kufa na mimama mizito na kile kifua Cha sigara shauri yako siye wamarangi wenzako hàtukatagi watoto wa nje hivi kile kitu kipo au hakipo
Ata billg. naye aliachwaNa wenye💰💰💰🤣🤣👋
Kuna sehemu unatamani uchonge mzinga kabisaUnazidiwaje akili na malaya? Ushakula mara moja si usepe mpka ale vyako akuache patupu😂😂😂 wajinga hawaishi kila siku
Unanitia machungu tu; ungekuwa karibu ungepata adhabu yake kwa niabaImekua tandam kwasababu imekukimbia eeh 🤣🤣🤣👋
Uko sahihiLadies of that type are gold diggers...
🤣🤣🤣👋Unanitia machungu tu; ungekuwa karibu ungepata adhabu yake kwa niaba
Jifariji🤣🤣🤣👋Ata billg. naye aliachwa
Jikaze kiume Kama simbaLabda mzee, wa hayana muongozo 😀 😀
😀 😀 😀 nimecheka sanaHuu uvuvi wako nimeukubali bro
Acha waje kukupa pole with hopes za maisha Bora