Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
Aya kwa sasa nifanyeje 😀 😀🤣🤣🤣👋
Pole jaman naimani siku nyingine utajipanga vema💰💰💰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya kwa sasa nifanyeje 😀 😀🤣🤣🤣👋
Pole jaman naimani siku nyingine utajipanga vema💰💰💰
Alichakata akazalisha akapiga chini wewe ndio umepigwa chiniAta billg. naye aliachwa
Labda uwe hujapenda, wapo watu wanahonga nyumba, gari, vyeo n.kAfu masela wanajipigia na hawatoi mia wao ndo wanapewa zile alizowachuna watu kama wewe,
Dah hata niwe Billionaire siezi kujitoa ufahamu kiasi hiki
Huyu ni zuzu. Hajifunzi🤣🤣🤣👋
Pole jaman naimani siku nyingine utajipanga vema💰💰💰
Afu masela wanajipigia na hawatoi mia wao ndo wanapewa zile alizowachuna watu kama wewe,
Dah hata niwe Billionaire siezi kujitoa ufahamu kiasi hiki
Uko sahihiAliyefikiria kuleta roboti tayari mambo haya alishayaona wanawake kunako endelea watakuwa sio ishu tena kwa tabia kama hizi
Mwanamke mpiga vizinga hana tofauti na mwanamke wa bar wewe piga sepa ukiendelea kumganda lazima akifanye danga
😀 😀 unanisaidiaje sasaAlichakata akazalisha akapiga chini wewe ndio umepigwa chini
Inategemea na aina ya pisiUmetuangusha mabaharia wenzio tunakula mbususu bure kabisa na hela tunapewa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unique Flower Kumbe..basi acha aendelee kupigwa matukio🤣🤣🤣👋Huyu ni zuzu. Hajifunzi
Kwasasa tafuta 💰💰💰zijae jae🤣🤣🤣👋Aya kwa sasa nifanyeje 😀 😀
Kwa hiyo upendo wa bila hela siku hizi hakuna?Kwasasa tafuta 💰💰💰zijae jae🤣🤣🤣👋
Utaupata kwa Wazazi wako 🤣🤣🤣👋Kwa hiyo upendo wa bila hela siku hizi hakuna?
Subiri nikawaulize wazaziUtaupata kwa Wazazi wako 🤣🤣🤣👋
Viumbe vyote vya duniani vinatakiwa vimilikiwe
Kuangalia sura na shepu zinagharama sanaJitathimini sana kama uzuri wa mwanamke unatingisha mfuko wako.