Nimeuza mechi alfajiri ya leo, nahisi nimeambukizwa VVU naombeni PEP

Unamaanisha umekula kisamvu cha kopo Tena kwa kumpaka mafuta ya nazi?,
 
Wajuzi amsaidieni kijana kajitahidi kukwepa lakini shetani kamzidi nguvu
Kosa afanye yeye halafu asingiziwe shetani. nyakati nyingine huyu shetani anasingiziwa mambo ya kijinga
 
Kwahiyo tukuitie takukuru kwani kuuza mechi ni rushwa,sema kabla ya kufanya uamuzi wa kulifikisha hili takukuru
 
Kumbeee
 
Jitahidi pia mtafute shigongo akuelekeze namna nzuri ya kuanza hadithi za kutunga,yote kwa yote utafika mbali ukikomaa
 
Na kama sio VVU basi subiri uletewe habari ya kumpa mimba. Lazima atakuwa alikutega kati ya haya mawili. Sasa ukikimbia nchale, ukichimama nchale!
Kama ni mimba nitaipokea, ila hili la ugonjwa linanipa sana hofu.
Nisaidie mkuu kama una konekshen ya kupata hizo dawa
 

Lakini mkuu nasikia maji maji ya ukeni yanakuwa na VVU pia, hapo ndipo ilipo hofu yangu na masaa 72 ya kutumia PEP yanazidi kuyoyoma
 
Wakati najaribu kumuuliza ghafla alibadilika sana mkuu simu akakata na akasema kama simuamini basi nifute namba yake na nisimtafute tena, kasema maneno mengi sana ya kukatisha moyo baada ya kumuuliza swala la ukimwi.
Na ukizingatia tayari nimesha lala naye
 
Ana vvu hyo mkuu..


Kama hana basi kafanya fujo sana hata yeye hajiamini
Kapige pep mkuu. Bt siku nyingine kuwa makini sana.
 
MOTOCHINI mambo yenu nyie warundii...hivi bado uko nchini? usalama tumafatilia nyendo zakoo kw ukaribuu sn mzee...na hivi karibunii utanyea ndoo segerea mda mrefu tuu..rudi burundi tu kimya kimya
 
Hapo ugonjwa hauna mzee. Kama cha kuvizia ngoma sio rahisi kiasi hicho. Mwenyewe kuna mboga naizagamuaga ila sina uhakika nayo niliipiga meter ya VVU ikasoma kistari kimoja nikaona ipo safi nikawa najipigia tu. Ila nina wasiwasi nayo sana maana inatokea kanda ile ya Unyaluni af ni kitoto cha Buku 2 na alinichomesha power safe mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…