TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Eh! Kama ndivyo ni mtihani! Ila mfuatilie kama ni mkristo fahamu ana ishi wapi au ana sali wapi kakae chini na kiongozi wake wa imani anaweza kulainisha hiyo roho ya huyo maza, vyivyo hivyo kama ni muislam nadhani itakua njia rahisi na nzuri kuliko kuja kukamatwa na kidhibiti atakupotezea muda na pesa zaidi ya ulizotumia na muda ambao ungeendelea na ishu zingine utakua ndani ukingojea wakuja kukudhamini, hao viongozi wa imani watakua rahisi kidogo na watakua na ushauri mzuri zaidi kabla hamjaenda mbeleNimejaribu kufanya hivi ila bi maza anachotaka ni gari lake na anadai atatuweka ndani mimi na mpuuzi mwenzangu(mwanae) nimepewa hadi December niwe nimerudisha gari la watu halafu nihangaike kutafuta hela zangu....kiukweli hapo sijui inakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app