Nimeuziwa mbwa maeneo ya Victoria, nilipomfikisha nyumbani mume wangu akasema eti sio mbwa ni fisi


Japo haina kahawa lakini huyo kweli ni fisi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulia nae tu fisi ukimdometicate yuko poa kuliko mbwa ! Just last week nilikuwa na jadili na wife kufuga fisi as a pet akikubali tuta fanya business utamleta zenji akikataa tutafanya swaping wewe na fisi mtakuja zenji wife na paka atakuja kwenu -joke
Heeeee😳
 
Jemima ni Biblical name, she was Job's daughter.
 
Kitu fisi hicho,Ila fuga hivyo hivyo ,Kwani Hapo kibaka Hata katiza,Ila pia uwe tayari kuwa kitoweo siku moja🏃‍♀️🏃‍♀️
Nasikia anatamani mkono uanguke aule
 
Simulizi yako hii mtu akisoma lazima acheke sana tu.

Fisi na mbwa ingawa ni familia moja lakini wana tofauti kubwa ya kimaumbile pamoja na sura!

Ndiyo maana mr akakuzodoa kwamba hauna akili.

Na aliyekuuzia naye ni mwamba kweli kweli, kuhodhi fisi na ukamtuliza na kuwaweka pamoja na mbwa wakaelewana si kazi ya kitoto.

Fisi ni kama kwale, kiasili hafugiki, ni viumbe wa porini, wajanja na hawataki mazoea.
 
Nchi ina mijitu ya ovyo iliyotoka usingizini kiasi kwamba ikipewa chai inaamini ni kahawa...
Ungesema fox au wolf sawa ila fisi ni kuchangamsha tu genge.. Hell noh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…