Nimeuziwa mbwa maeneo ya Victoria, nilipomfikisha nyumbani mume wangu akasema eti sio mbwa ni fisi

Nimecheka mpk basi,huyo jamaa sio mpenzi wa mbwa,anawaza arudi kapiga masanga puppy akaondoka na mbupu zake.
 
Hayo masikio kama bakuli mbwa hana.
 
Wasiwasi upo kwenye picha uliyotuwekea. Huyo fisi anaonekana akiwa porini na si katika gereji kama unavyotaka tuamini. Rudi kapige picha ukiwa umempakata kwani puppy huwa wapole ndo maana uliweza kwenda naye hadi nyumbani kwako pasipo kupata madhara yeyote. Kule kwetu Usukumani tunawatunza vizuri tu, ila hakikisha una nyama ya kutosha kama chakula chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…