Nimeuziwa mbwa maeneo ya Victoria, nilipomfikisha nyumbani mume wangu akasema eti sio mbwa ni fisi

Yaani chai yako imekosa cha kutafunia, hata hiyo garage bubu yako umeshindwa kuedit...
 
Kuna news niliona juzi wale jamaa wa pale Sayansi wanalalamikiwa na watu kuhusu uholela wa kuuza mbwa.

Nadhani watu wengi watakuwa wameuziwa mbwa wa wizi pia.

Fisi dah
Hili wazo zuri sana.
Asi-act kama vile Hana elimu Kwa kumtupa kokote,
 
Mbona kambwa kazuri tu haka jamani matunzo tu 🤣🤣🤣
 

You are truly an idiot.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…