Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kutumia simu kioo kimepasuka miaka miwili, kutembea kubana nauli, niliyaogopa mapenzi, n.k, Umasikini ulaaniwe

 

Attachments

  • IMG-20250108-WA0002.jpg
    11.8 KB · Views: 2
Umasikini ni fahari ya Mtanzania 🐼
Umasikini hauna fahari yoyote mkuu, labda ni vile tu kuna watu wamezoea maisha,mfano kuna watu wamezoea kushika bomba kwenye daladala kila siku lakini ukimiliki gari yako binafsi ndipo utapojua umasikini hauna fahari yoyote

Hata kwa Tanzania fatilia makabila yenye nafuu kiuchumi, watu wengi wanavutiwa nayo na majirani hupenda kuvimba "sisi __ na wachaga", "sisi __ na wakinga", wakijitaja wao wenyewe hawana ushawishi hadi wajiambatanishe na majirani utadhani mafanikio yanaambukizwa kwa kuishi mkoa moja 🤣
 
Mimi kuna demu ilikuwa tuna pendana sana nimemaliza chuo life tight anataka tuonane hata hela ya nauli ya kumtumia sina hata hela ya guest sina ni moja kati ya wanawake walionipenda sana alinivumilia sana siku moja kanipigia simu analia kuuliza wahuni washamjaza mimba ananiomba msamaha ila yule mwanamke.

Yupo kwao jamaa alikimbia mimba demu akarudi kwao mpaka leo tunawasiliana nimeshaoa ilan anatamani nimuoe hata mathna ila hapana mungu hajapanga umasikini usikie tu kwa jirani.
 
We ni.fala Sana anakupenda na amezalishwa na mwana mwingne fala Sana we🤣🤣

Angekupenda angekuzalia chuo,chuo either ulikuwa unamfanyia kazi za darasan au.alkuwa anafaid kiboom Chalo🤣🤣

Machoz ya malaya huwa kufcha umalaya wake
 
Hayo maisha niliyaishi.. yana tia hasira sanaa... huwez tamani kuoa coz huelew mwanamke utamlisha nn..? Pole sanaa mkuu
Swali: Vipi kuhusu hali yako ya sasa?? Ipo vizuri au Bado ni ngumu? Hayo maisha niliyaishi.. yana tia hasira sanaa... huwez tamani kuoa coz huelew mwanamke utamlisha nn..? Pole sanaa mkuu
Swali: Vipi kuhusu hali yako ya sasa?? Ipo vizuri au Bado ni ngumu?
 
Kabisa mkuu,ndomaana ukiona mtu ajaoa umri umeenda usimshangae tupambane na umasikini ni kitu kibaya.
 
Big point
 
Kabisa mkuu,ndomaana ukiona mtu ajaoa umri umeenda usimshangae tupambane na umasikini ni kitu kibaya.
Wengne tulioa ila tukapigwa nakitu kizito, kwenye maisha hatuwezi kulingana mkuu, ila kuoa ni must.. niswala la muda tu
 
Hapana alinipa sababu nikamuelewa ilikuwa hana jinsi sasa mimi nilikuwa nampiga chenga kuonana nae kwasababu nilikuwa hata nauli sina kama nilivyoelezea uzalendo ukamshinda akapiga back pass kama chasambi yaani mimi ndio nilizingua mkuu wala simlaume kwa kuzalishwa na mtu mwingine duniani hatuishi mimi na yeye mkuu just imagine mwaka mzima nampiga chenga.

Hapana wala sikusoma nae chuo kimoja yeye alikuwa anasoma certificate alimaza certificate mda sana tena tulikuwa vyuo tofauti mimi najua mazingira yalivyokuwa mkuu simlaumu hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…