issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
Hiyo Hali tumeipitia wote mkuu Mimi nilikuwa nayoa kipara kuokoa buku buku za kuingia salun mara kwa mara.. yani napga para walau nikae hata miezi mitatu ndio nikanyoe Tena... Home wife anaanda msosi wa kubangaiza napga tonge mbili na act nimeshiba kumbe nawavutia Kasi wale walau maana chakula hakitoshi. Aloo umaskin kmmk!!