Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kutumia simu kioo kimepasuka miaka miwili, kutembea kubana nauli, niliyaogopa mapenzi, n.k, Umasikini ulaaniwe

Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kutumia simu kioo kimepasuka miaka miwili, kutembea kubana nauli, niliyaogopa mapenzi, n.k, Umasikini ulaaniwe

Nikikumbuka maisha niliyowahi kuyaishi siwezi kuja kumuombea hata adui umasikini, Ni hali inayoaibisha, kukunyanyasa, kushusha heshima, kukutesa, n.k.

  • Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kiatu unaenda kutafuta lisaa zima uone chenye nafuu
  • Simu imepasuka kioo miaka miwili sina pesa ya kubadili kioo
  • Kuna muda unatembea ili ubane nauli
  • Ombea usiumwe, shughuli inaanza unafika hospitalini huna Bima na mifuko imetoboka, ndio hapo unaanza kutafuta mizizi na mitishamba maporini
  • Mapenzi ya kudumu yalikuwa kitendawili, Mwanamke unakuta anakupenda ila hata kumpa pesa ya vizawadi au matunzo huna, sizungumzii zile level za kuhonga / vizinga bali kutimiza wajibu as a man, hata mahari ya laki 4 huna.
Unatoaa mahari laki4 kwan wanunua shamba
 
Kijana ukiwa unajitafuta punguza mahaba maana yatakuchelewesha sana, kaza sana atakaejaa kwenye mfumo ajae kwa kupenda hali yako yeye mwenyewe.

Umasikini ni mbaya sana, kukosa hela sio kuzuri hata kidogo. Bora uvuje jasho uchafuke haswa ila mwisho wa siku unapata pesa. Tutafute hela wakuu.
 
Kijana ukiwa unajitafuta punguza mahaba maana yatakuchelewesha sana, kaza sana atakaejaa kwenye mfumo ajae kwa kupenda hali yako yeye mwenyewe.

Umasikini ni mbaya sana, kukosa hela sio kuzuri hata kidogo. Bora uvuje jasho uchafuke haswa ila mwisho wa siku unapata pesa. Tutafute hela wakuu.
Kweli pesa muhimu
 
Mimi kuna demu ilikuwa tuna pendana sana nimemaliza chuo life tight anataka tuonane hata hela ya nauli ya kumtumia sina hata hela ya guest sina ni moja kati ya wanawake walionipenda sana alinivumilia sana siku moja kanipigia simu analia kuuliza wahuni washamjaza mimba ananiomba msamaha ila yule mwanamke.

Yupo kwao jamaa alikimbia mimba demu akarudi kwao mpaka leo tunawasiliana nimeshaoa ilan anatamani nimuoe hata mathna ila hapana mungu hajapanga umasikini usikie tu kwa jirani.
Do you still love her?

Basi tu nataka ujibu ... Tujadili kitu
 
Nikikumbuka maisha niliyowahi kuyaishi siwezi kuja kumuombea hata adui umasikini, Ni hali inayoaibisha, kukunyanyasa, kushusha heshima, kukutesa, n.k.

  • Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kiatu unaenda kutafuta lisaa zima uone chenye nafuu
  • Simu imepasuka kioo miaka miwili sina pesa ya kubadili kioo
  • Kuna muda unatembea ili ubane nauli
  • Ombea usiumwe, shughuli inaanza unafika hospitalini huna Bima na mifuko imetoboka, ndio hapo unaanza kutafuta mizizi na mitishamba maporini
  • Mapenzi ya kudumu yalikuwa kitendawili, Mwanamke unakuta anakupenda ila hata kumpa pesa ya vizawadi au matunzo huna, sizungumzii zile level za kuhonga / vizinga bali kutimiza wajibu as a man, hata mahari ya laki 4 huna.
Umasikini ni aibu Mungu atusaidie sana
 
Nikikumbuka maisha niliyowahi kuyaishi siwezi kuja kumuombea hata adui umasikini, Ni hali inayoaibisha, kukunyanyasa, kushusha heshima, kukutesa, n.k.

  • Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kiatu unaenda kutafuta lisaa zima uone chenye nafuu
  • Simu imepasuka kioo miaka miwili sina pesa ya kubadili kioo
  • Kuna muda unatembea ili ubane nauli
  • Ombea usiumwe, shughuli inaanza unafika hospitalini huna Bima na mifuko imetoboka, ndio hapo unaanza kutafuta mizizi na mitishamba maporini
  • Mapenzi ya kudumu yalikuwa kitendawili, Mwanamke unakuta anakupenda ila hata kumpa pesa ya vizawadi au matunzo huna, sizungumzii zile level za kuhonga / vizinga bali kutimiza wajibu as a man, hata mahari ya laki 4 huna.
Kwa kweli, umasikini mbaya sana
 
Hapana mkuu yeye ndio ananisumbua mimi ila mi nimesha move on na nna familia tayari
Samahani Mkuu! Kwa maswali

Uliwezaje ku move on? Ukizingatia ni mwanamke uliyempenda sana? Au hukumpenda sanaaa?

Maumivu yake yalikuwaje kipindi ulipojua ana mimba na hutaweza kuwa nae Tena?

Hukuyakatia tamaa mahusiano?

Share your experience

Bado Nina maswali
 
Samahani Mkuu! Kwa maswali

Uliwezaje ku move on? Ukizingatia ni mwanamke uliyempenda sana? Au hukumpenda sanaaa?

Maumivu yake yalikuwaje kipindi ulipojua ana mimba na hutaweza kuwa nae Tena?

Hukuyakatia tamaa mahusiano?

Share your experience

Bado Nina maswali
It was tough kusema ukweli ilinichukua karibia mwaka kuukubali uhalisia wa tukio hilo lakini nilivuka kupitia self healing na safari yangu ya kusoma vitabu ikaanza hapo vitabu ndio viliniponya nakumbuka nili Google kuhusu kumjua mwanamke nikawa naletewa option nyingi nyingi.

Lakini nikapata most suggested book kinaitwa MEN ARE FROM MARS AND WOMEN ARE FROM VENUS kilinisaidia kwakweli mpaka leo nasoma vitabu mkuu vinanisaidia kazini ninapofanya kazi na sehemu nyingine.

Kwa hyo kwa kifupi nilipona kupitia kusoma vitabu mpaka leo sihangaikagi na wanawake mkuu na yeye anahangaikia ndoa hata mke wa pili maana tayari ni age go tunasema.

Any question so far.
Angalia vitabu nilivyosoma 2024 kuna thread yake nilianzisha mpaka sasa February nishasoma sita.
1.you are placebo
2.psychocybernet
3.why we sleep
4.the defining decade
5.master your emotions
6.die with zero

When I'm stressed I reads books
When I'm bored I reads books
When I encounter any difficulties books is my remedy.
 
It was tough kusema ukweli ilinichukua karibia mwaka kuukubali uhalisia wa tukio hilo lakini nilivuka kupitia self healing na safari yangu ya kusoma vitabu ikaanza hapo vitabu ndio viliniponya nakumbuka nili Google kuhusu kumjua mwanamke nikawa naletewa option nyingi nyingi.

Lakini nikapata most suggested book kinaitwa MEN ARE FROM MARS AND WOMEN ARE FROM VENUS kilinisaidia kwakweli mpaka leo nasoma vitabu mkuu vinanisaidia kazini ninapofanya kazi na sehemu nyingine.

Kwa hyo kwa kifupi nilipona kupitia kusoma vitabu mpaka leo sihangaikagi na wanawake mkuu na yeye anahangaikia ndoa hata mke wa pili maana tayari ni age go tunasema.

Any question so far.
Angalia vitabu nilivyosoma 2024 kuna thread yake nilianzisha mpaka sasa February nishasoma sita.
1.you are placebo
2.psychocybernet
3.why we sleep
4.the defining decade
5.master your emotions
6.die with zero

When I'm stressed I reads books
When I'm bored I reads books
When I encounter any difficulties books is my remedy.
Umenifanya nizidi kuwa na maswali! 😂

Kwanza nashukuru sana, una moyo wa pekee! Umenijibu vema na Kwa urefu sana!

Kabla ya maswali naomba ni declare hili jambo, Kuna vitu tunafanana! Usomaji wa vitabu.

Dr. Wayne dyer
Dr. Joe Dispenza
Dr. Bruce Lipton
Rafiki yangu Marehemu ambaye nilitamani siku moja kukutana nae ila amefariki kabla ya kuonana nae Bob Proctor

Ni waandishi wangu Pendwa sana! ... Okay! It has been two years now since nimepita kwenye changamoto ya mahusiano yangu kwenda na maji!

I got hope kutoka katika maneno yako! Nami naamini I will be healed one day! na kiweza move on!

I think inakuwa ngumu sana ku move on kwa sababu ya tukio jinsi lilivyotokea na current situation ninayoendelea kuipita!

I'm book adducted read person ila pia napenda kuandika, na nimeandika vitabu kadhaa! ... Ila Toka nipite kwenye hii situation nimeacha kusoma na kuandika pia!

😂😂 Nimesahau mpaka swali Sasa?

Okay!

Baada ya ku move one ... Kuanzisha familia n.k!

Ule upendo uliokuwa nao mwanzo? Vibe, caring, trust and all stuffs about love ... Je viliongezeka au vilipungua kwa huyu shemji mpya uliye nae Sasa?

Do you think huyu uliye naye Sasa ni sahihi na Bora zaidi kuliko yule? Pengine ulitakiwa kutokea ivo ili umpate huyu? Nikiamini this one wa Sasa! She's best for you

Asantee kwa suggestions books

Kuna hatua nikiweza kuivuka! Nitarudi kwenye usomaji wa vitabu na kuandika!
 
Umenifanya nizidi kuwa na maswali! [emoji23]

Kwanza nashukuru sana, una moyo wa pekee! Umenijibu vema na Kwa urefu sana!

Kabla ya maswali naomba ni declare hili jambo, Kuna vitu tunafanana! Usomaji wa vitabu.

Dr. Wayne dyer
Dr. Joe Dispenza
Dr. Bruce Lipton
Rafiki yangu Marehemu ambaye nilitamani siku moja kukutana nae ila amefariki kabla ya kuonana nae Bob Proctor

Ni waandishi wangu Pendwa sana! ... Okay! It has been two years now since nimepita kwenye changamoto ya mahusiano yangu kwenda na maji!

I got hope kutoka katika maneno yako! Nami naamini I will be healed one day! na kiweza move on!

I think inakuwa ngumu sana ku move on kwa sababu ya tukio jinsi lilivyotokea na current situation ninayoendelea kuipita!

I'm book adducted read person ila pia napenda kuandika, na nimeandika vitabu kadhaa! ... Ila Toka nipite kwenye hii situation nimeacha kusoma na kuandika pia!

[emoji23][emoji23] Nimesahau mpaka swali Sasa?

Okay!

Baada ya ku move one ... Kuanzisha familia n.k!

Ule upendo uliokuwa nao mwanzo? Vibe, caring, trust and all stuffs about love ... Je viliongezeka au vilipungua kwa huyu shemji mpya uliye nae Sasa?

Do you think huyu uliye naye Sasa ni sahihi na Bora zaidi kuliko yule? Pengine ulitakiwa kutokea ivo ili umpate huyu? Nikiamini this one wa Sasa! She's best for you

Asantee kwa suggestions books

Kuna hatua nikiweza kuivuka! Nitarudi kwenye usomaji wa vitabu na kuandika!
Yeah we're good with one kid huwezi amini nimeokota dodo kwenye mpera nimepata mwanamke aliyenisahaulisha kila kitu kwenye maumivu ya mapenzi kwanza mcha mungu lakini pia mwelewa kiufupi mimi labda ndio nizingue kwasababu mimi ndio nilianza naye mapenzi yaani mimi kwake ni first lover sasa huwezi amini ma ex zangu wananisumbua kwasababu nakula bata kweli kweli wakiona status wanashoboka nimetoka zanzibar juzi tu hapa na wife kiufupi nimeanza new chapter mkuu.

Wewe kama unapenda kusoma vitabu ni rahisi kupona ngoja nikupe list sasa:
1.Men are from Mars and women are from VENUS
2.The power of positive thinking
3.how to stop worrying and start living
4.understanding the purpose and power of men by Myles munroe
5.understand the purpose and power of women by Myles munroe
6.man search for meaning by victor frank
7.ikigai
8.13–things mentally strong people do not do
9.the happiness trap by russ
10.master your emotions.

Ila hata mimi kuna kitabu naandaa ila sijamaliza bado.
Najua ni ngumu ila utakuwa sawa tu hvyo vitu vya kawaida kwa wanaume.

Soma hivyo usipopona nitafute.

Hapa ofisini ilikuwa vijana hawataki kwenda likizo ilikuwa wanadai hakuna wakufanya kazi nimewapiga semina mpaka wameelewa somo sasa hivi wanaenda no one is irreplaceable amekufa magufuli na maisha yanaenda wewe kenge tu hutaki kwenda likizo ofisi sio ya baba yako.

I'm their mentor.
 
Back
Top Bottom