Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Lea mtoto wako acha janjajanja swala la yeye kukuambia muende clinik wote hiyo ni Sheria haipingwi hawatatoa huduma kama huend na mwenza au apeleke barua ya mwenyekiti ila barua ya nin wakat ww upo hai
Ungekubal kwenda clinik sidhan kama angekua hapo clinic manes wanamaneno makal na machafu kwann mtu apitie hayo yote na muhusika upo?
Another single mama on the way !
 
USHAURI WA KIBAHARIA
We mvumilie misosi iliyopo gheto ikiisha,usihemee akikuuliza unamwambia hali ngumu,halafu we unakula kitaa unakuja unalala tu

Mbona atasepa mwenyewe tu,wala usitumie nguvu

Na akiondoka usimtumie hela yoyote yeye si kaja kibabe,ubaya ubaya
 
Maisha Yako yote yatakuwa vurugu umalaya ni laana huo ni mwanzo tu mengi mabaya yanakuja kwako umeshaharibu CV yakopost: 53061105, member: 692793"]
Kama una uhakika mimba ni yako mpokee tu muanze maisha.
[/QUOTE]
 
Sikuwa tayari kuanza nae maisha tatzo
Sasa kwa nini ulimwagia ndani?

Wewe shukuru sana upo Afrika ambapo wanawake hawajui haki zao na wanakandamizwa.

Ungejua Ulaya au Amerika sasa hivi ungekuwa unalia na kusaga meno.

ungepigwa child support , adhabu na faini juu.

Ukishindwa ku control nyege zako, Afadhali upige nyeto kuliko kuzalisha mwanamke halafu ukaanza kona kona.
 
Mleta mada kama ulikuwa Huna mpango naye kwanini hulifanya ngono zembe

Tunacho angalia ni kiumbe kisicho na hatia tunza hiyo mimba na ulee huyo mtoto

Watoto ni baraka, usikubali ateseke akiwa bado tumboni, mama akiangaika na mtoto anateseka kisaikologia
 
Ko hunishauri jambo zaid ya kunichana au sio
 
Kulea na kutunza sijakataa mkuu. Ishu ni namna ya kumtoa geto arudi kwao tu. Pesa za matunzo sisumbi hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…