Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Akurudishie mimba yakoNiliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.
Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.
Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.
Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.
Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.
Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.
Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.
Karibuni kwa maoni
Huyo alikuwa anainjoy maku freely tu, sema k za madem wabovu huwa tamu kichiziHukuwahi sikia kitu kinaitwa condom?
Anayetembea na malaya naye ni malaya tu. Hawana tofauti.NO sio sahihi kuacha kila kitu kwa malaya angekuwa mke saw. Anachopaswa kufanya aongee na washikaji zake awaambie waje watoe kila kitu cha muhimu cha jamaa kisha wapeleke geto jingine ndo jamaa ahamie huko yani aondoe kila nguo na vitu vya muhimu.
Muhimu siku wanahama jamaa atokee nae out kisha awe anawasiliana na jamaa zake kwa sms wakati wa kurudi yeye na malaya wake amwambie tangulia home napita kwa J mara moja kisha baada ya muda amwambie mimi hapo ni mehama nimekuachia wewe maana umekuja kishari sijajua umekuja kwa nia gani kwangu nahofia usalama wangu. Ishi hapo mimba nitahudumia kama kawaida kisha piga kimyaa
Mpe mimba nyingine atatulia tuNiliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.
Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.
Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.
Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.
Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.
Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.
Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.
Karibuni kwa maoni
Ila wakati mwingine wasichana, wadada na wanawake sijui wanakuwa na akili gani!!!!!! Mtu hajakwambia kuwa ana mpango wowote na wewe, inakuwaje unajiachia tu na kujamiiana na mwanaume bila kinga??? Yaani na mambo yote yanayotokea kwa wengine hatujifunzi kuwa na sisi yanaweza kututokea??? It is high time sasa wanawake tuamke na kutumia akili kuwa hawa wenzetu huwa hawana nia nzuri na sisi. Wao shida yao ni kumaliza upwiru tu ukiwabana. Angalia comments za baadhi ya wanaume wanazozitoa humu!!!!Yeye alikwambia ana mpango wa kuwa single mother?
Wapi umewahi ona kuna mwanaume malaya?Anayetembea na malaya naye ni malaya tu. Hawana tofauti.
Ukizingua apo utalogwaNiliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.
Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.
Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.
Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.
Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.
Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.
Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.
Karibuni kwa maoni
Malubaliano ni alee mimba na sio waishi pamojaWewe unamuendekeza mzinzi na malaya huyu ahalibu watoto wa watu,filiria angekua mdogo wako wa kike Au mwanao anafanyiwa haya ma ujinga
Wewe hapoWapi umewahi ona kuna mwanaume malaya?
Hakuna cha kukimbiakiume zaidi
1.mwachie chumba na vyombo vyote vya ndani (usibebe chochote)
2.mpe mtaji huku ukiendelea kumsapoti mlo na mavazi
3.zungumza nae vizuri wala usimwoneshe humkubali
4.fikiria kama ungekuwa ni wewe na unataka tendewa mambo magumu huku una kiumbe tumboni ungejisikiaje
Huyo anapanga kumkimbia mtoto wa watu,huoni hapo ameshauriwa amrudishe kisha ahame anapokaa ili demu asijue akacheka na kufurah kwamba amepata suluhishoMalubaliano ni alee mimba na sio waishi pamoja
Una umri gani ndugu?Bora mzunguko uendelee mkuu ila siwez kuishi na mtu ambaye sikuwa na malengo naye