madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 862
- Thread starter
-
- #161
Mambo ya ndani hayo mkuu duuh hii nilioitoa hapa si ni picha toshaTunaomba kapicha basi mkuu tujiridhishe jinsi alivyolala hapo sebuleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo huyoKumbe analeta kaole hapa
I wanted to say the something...Ndio mkeo hafugiki... Sa mambo gani hayo anavokufanyia??? Ni aibu kama mke wa mtu kufanya hiyo. Mpaka kujinyea sijui kurudi bila chupi aaawwsssssshhh ni balaa hilo mke wa mtu . Historia kubwa ya mambo hayo ya kulala kibalazani sijui nje ni wanaume.. So sad kwakweli..ashakua addicted huyo . Mkeo Anahitaji maombi mkuu.
Mahondaw wa Smart911
bado kidogo tu...ila tarajali ni smoker .....ndo najiandaa ivousicheke shogangu hujaolewa bado !usicheke
bado kidogo tu...ila tarajali ni smoker .....ndo najiandaa ivo
bado kidogo tu...ila tarajali ni smoker .....ndo najiandaa ivo
yaan sijui wameingiwa na nn jamenzako tia maji shogaa! akiona sigara kazizoa tahamia kwny vilv vingin !usikebehi kbs maisha ya watu wngn !hawa viumb wanabadilikaga km kinyonga
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Huyu atakuwa
mke wa kwa sadikika haiwezekani mwanamke mmoja ana matukio mengi hivi lol mleta mada wewe ni chiziiiiiiiiiiiiiimoja aliyetoroka Nuremberg kwanza unatafutwa
Haya si ya kweli sakayo, just mkuu ameamua tu kuleta story hapa kijiweniHaya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...
Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
Kwa bht mbya wa2 hao ndy wenye mkosi wa kukutana na watu wenye tabia za hovyo mno ktk ndoa zao,hakika kila shetan na mbuyu wake.mkuu kuna wanaume wanapata shida mnoo na bado anamvumilia mkewe !mie nimekumbana na visa unabaki unaema kumbe yako yana unafuu !kinachokera weng wanamkebehi
mimi nawambea msikutane nayo ila hata kwa jirani uyasikieHaya si ya kweli sakayo, just mkuu ameamua tu kuleta story hapa kijiweni
unachofikiri wewe duniani hakipo jua sehemu nyingine kipoNAMUUNGA MKONO SAKAYO.HAKUNA MWANAMKE WA HIVYOOO ! WALA HAKUNA MWANAUME MVUMILIVU KIHIVYO.FAMILIA YA MAZINGIRA HAYO NA NDOA YA HIVYO INGEKUWA IMESHAKUFA KWA UKIMWI ZAMANI....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila akianza kufanya pia uje ueleze kama nilivyoeleza mimiMke wangu hawezi fanya kitu kama hicho
mitume pia haikikubalika ndio maana lilipozaliwa neno muongoMuongo huyo
linapotokea jambo kama hili maswali kama haya tunategemea kukumbana nayoUmeoa au umeolewa