Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Salaam,

Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.

Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.

Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.

Uvumilivu umenishinda
Kama wa makete atakuwa amerogwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nasema hadi siku uwe na mgonjwa kwenye ambulance ndo utakuwa unaheshimu ving'ora vyake barabarani...@MBITIYAZA watu tushakariri tamthiria.
Jamaa afunguke hapa alimkosea nini mkewe tuyajenge..@madala mujipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha. shemela kwamba hauelewi??
yani sielewi.

Mwanamke arudi nyumbani uchi?
Kweli hapo kosa si la mwanaume?
But bado sijamuelewa kabisa.. Au tumtafute mleta mada nini tumpige mabuti? Asituchezee akili zetu kabisa.
Yani kichwa cha familia mwanaume analalamika kwa makosa yake mwenyewe.
 
Doooh huyo sio mke bali gumegume, bora umrudishe kwa wazazi wake
Hata mimi inaniwia viguu kuamini. Mwanaume gani alale ndani mke yuko mitaani badala ya kumsaka huko aliko na kulianzisha timbwili.
 
Uvumilivu uki kithiri, mwisho unakua mjinga....[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Kila binadamu mwenye akili timamu, lazima akuwe na kikomo cha mwisho wa uvumilivu....[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Nimeipenda hiyo kuwa Kila Binadamu Mwenye Akili Timamu, lazima akuwe na Kikomo cha Mwisho wa Uvumilivu... Very Strong word.. Let see if we also apply to our normal life au JF ina words
 
yani sielewi.

Mwanamke arudi nyumbani uchi?
Kweli hapo kosa si la mwanaume?
But bado sijamuelewa kabisa.. Au tumtafute mleta mada nini tumpige mabuti? Asituchezee akili zetu kabisa.
Yani kichwa cha familia mwanaume analalamika kwa makosa yake mwenyewe.
Ana dhalilsha manhood eeh?
 
huwajui wakinga kumbe! mie hii stry naiamini huyu kaka mie nimemuelewa nilikua napewa stry na watu nikawa sielewe kbs nilikuja kutanishwa na live na huyo dada na ni kabila langu dada hemuz mzania ! ni vile si poa kuweka pic ya mtu humu !
mi nnapoish yupo copy na huyu ! sema yye mambo safi balaa anaweza nunua konyagi,akamix na dompo akamix na bia akawa anakunywa !akilewa anaenda muziki ndo anapotelea huko huko mazima! unaweza mchek siku 4 nzm hapatikan anaibiwa mnoo simu lakin ihuez amini mwez huo huo mumewe anamnunulia simu matata !we acha tu !alafu jpl haoo kanisani ni walokole!

Nitumie mimi hiyo picha yake basi
 
Back
Top Bottom