Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo la uhalifu ni moja ya sababu nyingi nilizotoa. Leseni bado tunaweza kuzidhibiti kwa njia rahisi zaidi. BTW Haya nchi zilizoendelea tatizo la watu kuendesha gari bila leseni au kwa kutumia leseni ya mtu mwingine siyo kubwa kihivyo. Tujaribu kufuatilia na kuiga wanavyofanya badala ya kukimbilia ku-complicate mambo ambayo hatuyawezi.Mbona kulikuwa na wizi wa fedha hata kabla ya kuja kwa ATMs na sasa zipo lakini watu bado wanabuni njia mpya za wizi?
Wahalifu wasiwe kikwazo cha maendeleo ndio maana kuna taasisi ya Police.
Kwanini ukae unaigaiga watu? Wewe hauna confidence ya kuanzisha kitu chako? Unatumiwa na mabeberu nini mkuu? Kila jambo kwako ni lazima lianzie ulaya? Wewe haupo serious...Tujaribu kufuatilia na kuiga wanavyofanya badala ya kukimbilia ku-complicate mambo ambayo hatuyawezi.
Ni nani amekwambia kuwa njia hii ni ngumu zaidi?...Hilo la uhalifu ni moja ya sababu nyingi nilizotoa. Leseni bado tunaweza kuzidhibiti kwa njia rahisi zaidi.
Acha kung'ang'ania nchi zilizoendelea katika kupata justification ya kila jambo. Jiamini kisha be you.BTW Haya nchi zilizoendelea tatizo la watu kuendesha gari bila leseni au kwa kutumia leseni ya mtu mwingine siyo kubwa kihivyo.
Thanks.Not a bad idea
You cannot be you and you are not even you! Pull up your sox dude.Acha kung'ang'ania nchi zilizoendelea katika kupata justification ya kila jambo. Jiamini kisha be you.
Hizi ni hoja za vijiweni lakini jamaa analazimishaa. Unapotaka kutatua tatizo inatakiwa uangalie chanzo chake na siyo kufanya maamuzi kama wanavyofanya wanasiasa. Mtu anataka kujenga ghorofa wakati hana hata nyumba ya tembe.Leseni hizi zinazouzwa kama njugu na vishoka?
Nina mamilioni ya ideas katika kichwa changu mkuu.
Ndio maana nimeweka hapa JF for free. I have milions of ideas mzee baba tena ni very unique.wajanja wametoa usishangae
All the bestYou cannot be you and you are not even you! Pull up your sox dude.
Ndio maana nimeweka hapa JF. Ninazo nyingi ambazo sitakaa kumtangazia mtu. I have milions of ideas mzee baba tena ni very unique.wajanja wametoa usishangae
That's what I have been doing for years chief...Well inabidi kila idea uangalie kwenye mitandao kama ipo ama la
Thanks...Good luck buddy
Nimekulazimisha wapi? Kama unaona mada haiendani na wewe si unaondoka tu? Kwani ni lazima uchangie kila mada? Unachekesha kweli we jamaa...!!!...Hizi ni hoja za vijiweni lakini jamaa analazimishaa.
Thanks. Changamoto ni network vijijini.This is Great Thinking
Sio lazima kila mada uchangie. Unaweza ukasoma tu kisha ukaondoka zako.Unapotaka kutatua tatizo inatakiwa uangalie chanzo chake na siyo kufanya maamuzi kama wanavyofanya wanasiasa. Mtu anataka kujenga ghorofa wakati hana hata nyumba ya tembe.