Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #221
Wewe mkuu ujawahi kumuona ila naimani ukimuona lazima hata wewe utachanganyikiwa naimani hvoLI SINGO MAMA LA NINI SASA? WAKATI VITOTO VIDOGO VIBICHI MJINI VIMEJAZANA KAMA VYOTE?
MBONA UNAKUWA NA AKILI ZA KIJIMA U NGALI KIJANA MDOGO?
MBONA UNATUAIBISHA WANAUME WENZIO?
Ah poor brain kabisa.Wakuu salama salama..
Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.
Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto.
Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea kuhusu watoto mara kubeba mimba..
Yaani ananichanganya as if anataka mtoto na mimi..
Kingine kanipa onyo kali sana ambalo mpaka sasa nawaza sijui nikimbie tuu
....
Wenye uzoefu na single mother.. hawa watu wapoje maana nawaza kufikilia kuoa kabisa...
Vishu Mtata
Bora nipige alafu nikimbieeee kama anavyofanya Vishu MtataHamna kitu hapo ndiyo Mana hajaolewa yeye,
Ishi naye ndiyo utajua hujui
We dogo mi sio msabato🤣🤣Umewaza nini mkuu kusema hvi kuhusu uzazi wa mpango na dini...?
Ni MSAbato..
Kuhusu uzazi wa mpango sina uhakika
Daaah mkuu kiukweli umeongea kitu fact sana.Mkuu kuwa Makini wanatabia ya kutumia ushirikina wengi wao, niliwai kuwanao wawili nikajifunza mmoja alikua ananitumia kiuchumi ili nimlele mwanae wakati huo Baba mtoto yupo tena ni Mzee sawa na Baba yangu huyu alikuwa anatumia madawa ya kunipumbaza, Huyu wa pili yeye alikua njaa sana na malaya kwahiyo nikawatema wote, Sasa nilivyopata Mwanamke ambae haja zaa nimekuja kuona kuna utofauti mkubwa mno kati ya Single mother na Mwanamke ambae siyo single mother.
Mwanamke ambaye hana mtoto ni mzuri sana kujenga nae familia na uchumi tofauti na Single mother, Single Mothers huwezi kukaa nae mkapanga Malengo ya kiuchumi na kifamilia, yani yeye kipaumbele chake ni mtoto wake na cha kwanza atakuuliza una watoto ukimwambia unae na yeye atajisemesha nitazaa mtoto mwingine baada ya miaka kumi au mpaka niwe na uhakika wa mtoto wangu wa kusomq shule.
Mkuu ndio maana nipo hapa kupata ushauri ..Hivi wanawake wengi hivi waliojaa umeshindwa kupata mmoja wa kuoa unakimbilia kwa singo maza eniwei fanya maamuzi wewe mwenyew siku kikinuka huko utakuja kupitia komenti moja moja huku
Ahahahhaa alafu mkuu..Ah poor brain kabisa.
Kusema sasa hv wewe ni roman..?We dogo mi sio msabato🤣🤣
Mkuu, wewe zama tu kabisa mpaka kilindini mengine yatajulikana mbele ya safari.Wakuu salama salama..
Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.
Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto.
Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea kuhusu watoto mara kubeba mimba..
Yaani ananichanganya as if anataka mtoto na mimi..
Kingine kanipa onyo kali sana ambalo mpaka sasa nawaza sijui nikimbie tuu
....
Wenye uzoefu na single mother.. hawa watu wapoje maana nawaza kufikilia kuoa kabisa...
Vishu Mtata
msabato ni yule mshangazi ulinisimulia kwaio umechanganya,,the way nna njaa ya mahusiano nakusamehe kiroho safi ili mengne yaendelee😌Kusema sasa hv wewe ni roman..?
Toka lini umebadili et
Mbona unanichanganya..... 😀😀🙌🙌🙌
Nyie ndo watu mnaopoteza wenzenu mtaani kwa kutoa ushauri wa hovyo 😀😀😀Mkuu, wewe zama tu kabisa mpaka kilindini mengine yatajulikana mbele ya safari.
Kwanza ushamaliza kufanya usafi maana toka mda ule nakusubir wewe tuu..😬😬😬msabato ni yule mshangazi ulinisimulia kwaio umechanganya,,the way nna njaa ya mahusiano nakusamehe kiroho safi ili mengne yaendelee😌
Ana miaka 21...ww ni kijana wa hovyo.. single mama unamwitaje Binti!
Mkuu hata single Mother naye ni mtu anahitaji kependwa na faraja hayo mengine ni historia, acha jamaa yetu ajipakulie minyama.Nyie ndo watu mnaopoteza wenzenu mtaani kwa kutoa ushauri wa hovyo 😀😀😀
umechanganya tena,,namwagilia bustani na mvua hizi🙄🙄we ni wa kukukimbia na nisigeuke nyuma,,,kwanza nianze na kukuzodoa mwanaume unaandkaje tyuuKwanza ushamaliza kufanya usafi maana toka mda ule nakusubir wewe tuu..😬😬😬
Ulisema unamwagilia bustani badooo tyuu
Wee single maza huwa aachani na baba watoto wakeMkuu hata single Mother naye ni mtu anahitaji kependwa na faraja hayo mengine ni historia, acha jamaa yetu ajipakulie minyama.
Ahahahha daaah wee ms r huwa unaniweza sana kudadek zakoumechanganya tena,,namwagilia bustani na mvua hizi🙄🙄we ni wa kukukimbia na nisigeuke nyuma,,,kwanza nianze na kukuzodoa mwanaume unaandkaje tyuu
Baki na huyo/hao nmeshindwa namimi ntapata mwingine/wengine.Ahahahha daaah wee ms r huwa unaniweza sana kudadek zako
Nisamehe mimi etyBaki na huyo/hao nmeshindwa namimi ntapata mwingine/wengine.