Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Ni almost mwaka. Nimekaa kwa password sana. Huwa ananiletea habari za kuishi wote lakini huwa naishia kuFLEW kama AVIATOR.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kwahyo wewe badala unipe mimi ushauri nasaha ukawa unanichora tuu ili niyakanyage....

Mimi nilikua na mpango wa kukaa nae yaani nimtoe kwa bibi yake nimlete maghetoni hapa..

Ila mapka sasa naona kabisa kama itakua ngumu kutokana na vitisho navyopata humu ndani..

Kingine wewe ni mzoefu ndani ya mwaka mzima una malengo nae yapi mkuu..?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kwahyo wewe badala unipe mimi ushauri nasaha ukawa unanichora tuu ili niyakanyage....

Mimi nilikua na mpango wa kukaa nae yaani nimtoe kwa bibi yake nimlete maghetoni hapa..

Ila mapka sasa naona kabisa kama itakua ngumu kutokana na vitisho navyopata humu ndani..

Kingine wewe ni mzoefu ndani ya mwaka mzima una malengo nae yapi mkuu..?
Mimi sikai nae mkuu. Nimempangishia tu na wala hakai na mwanae. Amekaribia kujifungua pia

Nimedislike baada ya kuona unakaa nae na unataka umtoe mtoto kwa bibi umlete ndani. Nimelia sana
 
Ila ushapita nao sana tuu .
Sema kweli mkuu.. usiogope ahahahh
Mkuu kuwala tunawala, ila tunakaa kijanja. Unampa ulicho na uwezo nacho ana ambacho uko tayari kukipoteza, maana wengi wao wanaingia kimkakati. Kama utakua unachagia ada ya dogo nusu akitokea wa kulipa full unaachwa, kama ulikua unalipa ada ya 1.5m full akimpata wa kumlipia shule ya 2.5m full unaachwa.

Mkuu pige, ichakate, ifaidi, ila usifanye kitu ambacho mkiachana kitakuumiza na utajutia
 
Asante mkuu ngoja nifanye hvo..
Au nimwambie ukweli tuu kuwa mimi na yeye ni kutoana nyege tuu.

Ila na wasi wasi anaweza nitegesheq mtoto maana juzi alikua anaongelea sana kuhusu mambo ya mimba et anatafuta mtoto mwingine
Utategeshwa jaribu kupambana na hisia zako la sivyo utajutia
 
Mimi sikai nae mkuu. Nimempangishia tu na wala hakai na mwanae. Amekaribia kujifungua pia

Nimedislike baada ya kuona unakaa nae na unataka umtoe mtoto kwa bibi umlete ndani. Nimelia sana
Mkuu nimejikuta nampenda mnooo yaani najikuta namkubali kiasi ambacho akivaa ki jinsi flan yaani huwa nashindwa ku explain what is matter...
 
Je, ulihudhuria msiba wa Baba mtoto na uliuona mwili wa Marehemu?

Au huyo mwanamke amekuonyesha kaburi la jamaa?

kisha Ukalifukua ukachukua sample ya mwili ukapima DNA yake na ya Mtoto ili kuhakikisha kwamba baba wa mtoto hapumui?
muuuuuh hapo umenishinda tabia ndug
 
Back
Top Bottom