Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #141
Unalia nini tena wakati ushaniloga ahahahahnacheka huku nalia apa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalia nini tena wakati ushaniloga ahahahahnacheka huku nalia apa
Sasa hujawahi nitamkia ila unanichoma huku🤣🤣🤣Unalia nini tena wakati ushaniloga ahahahah
Ms r mara ngap nakufata lakini unajua kunitolea maneno makali...Sasa hujawahi nitamkia ila unanichoma huku🤣🤣🤣
Sasa hapo kuna mkosi gani mkuu..Maskini Poor Brain ! ID nyingine zina mikosi. Nakishauri ubadilishe uweke big brain
Mkuu wewe upige muda wa kuachana ukifika wewe mwenyewe utauwona tu. Yeye ndio ataondoka atakapokosa targets zake. Ila kama umezama mkuu komaa nae.Mkuu hyo njia ya kuipita kushoto itabidi unipe bana maaana daaah
Sema ujue nn oyaa ni mkali kinoma kwanza alijifungua mwanae akiwa bado mdogo sana... Mkali kinoma noma mkuuu
Ndio namalizia malizia hapaWewe ushaacha kunywa kwanza
Bila kuweka onyo hilo, huu uzi utakuwa ni moja ya takataka zilizowahi kutokea hapa JEIEFUWakuu salama salama..
Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.
Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto.
Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea kuhusu watoto mara kubeba mimba..
Yaani ananichanganya as if anataka mtoto na mimi..
Kingine kanipa onyo kali sana ambalo mpaka sasa nawaza sijui nikimbie tuu
....
Wenye uzoefu na single mother.. hawa watu wapoje maana nawaza kufikilia kuoa kabisa...
Vishu Mtata
Mmmh wee jamaa upo smart..Mkuu wewe upige muda wa kuachana ukifika wewe mwenyewe utauwona tu. Yeye ndio ataondoka atakapokosa targets zake. Ila kama umezama mkuu komaa nae.
Ila nikuambie haya, siku hizi wanawake wengi wanaingia kwenye mahusiano kimkakati wa kuwanufaisha wao. Sasa ni bora ukaingia cha kike kwa mwanamke mwenye damu yako, ila single mama anaweza kukutwisha mizigo ya kumvusha mwanae kwa kigezo cha upendo. Na sisi tulivyo na utu utajikuta umemchukulia kama mwanao na kumvusha kweli, akishavuka mjomba anasepa na damu yake na wewe unapewa asante. Akili ifanye kazi
Vishu ijumaa ukuje gomzi huku nitakua nipo na single mama wanguNdio namalizia malizia hapa
Sema we jamaa una kuaga na maneno ya hovyo, una maneno kunya sana kwa wenzako daaah sijui kwanini mkuu...Bila kuweka onyo hilo, huu uzi utakuwa ni moja ya takataka zilizowahi kutokea hapa JEIEFU
Wewe lea bao la mdau acha chengaMmmh wee jamaa upo smart..
Inaelekea una experience na hawa watu kinoma noma an daaah the way unanifafanulia hapa daah naona kabisa huyu nae yupo ki mkakati aiwezekani kusema na yeye kanikubali tuu from her heart
Mkuu, unapoleta uzi funguka. Mafumbo sio mchongo. Mtu akisoma amalize ndio akushauri. Umetuacha na maswali mkuuSema we jamaa una kuaga na maneno ya hovyo, una maneno kunya sana kwa wenzako daaah sijui kwanini mkuu...
Sawa ni takataka lakini ndo haijawahi kutokea hapa jf
.wewe ukiambiwa hivo utajiskiaje mkuu 😀😀😀😀
Ndo ukweli wenyewe wale watu hawabebeki.Naona jamii inazidi kumuona singo mama kama muhalifu na mkosaji mkuu hapa duniani aiseeee...[emoji848]
We jamaa kwanza nina kesi na wewe ngoja tumalizane kwanza..Wewe lea bao la mdau acha chenga
Ndo useme ni takataka ambayo haijawahi kutokea hapa jf mkuu kweli...Mkuu, unapoleta uzi funguka. Mafumbo sio mchongo. Mtu akisoma amalize ndio akushauri. Umetuacha na maswali mkuu
Ni kuchapa na kusepa sio mkuuNdo ukweli wenyewe wale watu hawabebeki.
Mkuu nisamehe😆😆😆We jamaa kwanza nina kesi na wewe ngoja tumalizane kwanza..
Kwanini useme uzi wa angu taka taka mkuu 😀😀😀😀
Huwa nafatilia sana comment zako mkuu yaani si mara ya kwanza ndo maana nimeona comment yako nikaanza kucheka daaah 😀😀😀😀😀😀Mkuu nisamehe😆😆😆
Shida brain yako iko poor. Nina kipengele kama chako lakini. Ila mimi siku sio nyingi atajifungua mkuu