Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Duuuuh!!!Kimbia achana na huo ujinga wa kupumbazwa na mapenzi ya mtego, single mama wana laana kutoka kwa Mungu ndiyo mana wana tabia zao za kufanana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh!!!Kimbia achana na huo ujinga wa kupumbazwa na mapenzi ya mtego, single mama wana laana kutoka kwa Mungu ndiyo mana wana tabia zao za kufanana!
Fanaya mambo basi pm kinole na gomzi karibu tuu mambo siku hizi ni sgr tuu chap kwa harakaMkuu kama upo karbu na gomzi mi nakupasia bas hata namba mkuu
Watu wamechafukwa mkuu ooohDuuuuh!!!
Poa sasa skia ntakupasia namba ya shangazi dorry but umakini wa hali ya juu unahitajika maana nishaona ananiletea habari zake za shrondigerrFanaya mambo basi pm kinole na gomzi karibu tuu mambo siku hizi ni sgr tuu chap kwa haraka
Napenda utani.. charming.... kuhusu kupuliza...naona watu wanaharibikiwa kwa kupuliza na kitu nacho Linda ni kuto kuja kua mtu wa hovyo hovyo..😊☺️😊Dactar sometimes unapuliza sio 😀😀😀
Kuoa ni maumuzi binafsi hakunaga ushauri kama vile ulivyoamua kumpenda ni Moyo wako ndio ulioamua, hakuna single mother Wala nani kupata mke wa kuishi nae na mkasikilizana ni BAHATI . Oa yeyote.Marekani kajitoa WHO!, ukiweza kuelewa hili basi umemaliza...😁
Kwamba kula hapo,kula kule malizia na pale.....😅😅kama ushawahi kucheza draft najua utakuwa unaifahamu 'force king' ..na ndiyo unayoenda kukupata..
hapa hatuzungumzii ndoa umekosea uzi mkuuKuoa ni maumuzi binafsi hakunaga ushauri kama vile ulivyoamua kumpenda ni Moyo wako ndio ulioamua, hakuna single mother Wala nani kupata mke wa kuishi nae na mkasikilizana ni BAHATI . Oa yeyote.
Hakuna free lunchMarekani kajitoa WHO!, ukiweza kuelewa hili basi umemaliza...😁
Siku wakipasha viporo wala usiumie sanaYupo hai na yupp hapa hapa dasalam ila kashaoa
HahahahaDaaah ndo hvo mkuu ni free tuu
Daaah 😀😀😀😀😀😀Napenda utani.. charming.... kuhusu kupuliza...naona watu wanaharibikiwa kwa kupuliza na kitu nacho Linda ni kuto kuja kua mtu wa hovyo hovyo..😊☺️😊
Ikiwa na maana akitoka baba Mimi ndio baba....🏃🏃🏃🏃
HawapoWeee kwani awezi kuwepo 2008 na ana watoto au ?
Not fair bro!Kimbia achana na huo ujinga wa kupumbazwa na mapenzi ya mtego, single mama wana laana kutoka kwa Mungu ndiyo mana wana tabia zao za kufanana!
10 years tigedha and 10 manthi kumwagana plus hajafanya mambo ya ajabu roka kipindi hiko .... This is pooor brain 🧮😁😁😁😁😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌Nimecheka sana aiseeeee..
Nyie watu jau kinoma daaah.
Inamaana unataka kusema ni lazima kwanza mumewe awe amekufa ndo niwe nae..
Mkuu huyo mumewe naskia wamekaa zaidi ya miaka 7 ila walivoachana ni miezi 10 imefika .. kinachonifurahisha mwanaume ameoa pia hana mpango nae kabisa.
Kingine pia huyo mdada hajafanya mambo ya ajabu toka kipindi hiko
Onyo gani hilo kali....Wakuu salama salama..
Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.
Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto.
Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea kuhusu watoto mara kubeba mimba..
Yaani ananichanganya as if anataka mtoto na mimi..
Kingine kanipa onyo kali sana ambalo mpaka sasa nawaza sijui nikimbie tuu
....
Wenye uzoefu na single mother.. hawa watu wapoje maana nawaza kufikilia kuoa kabisa...
Vishu Mtata
We si unajifanya mlume beki bora kaba sasa huyo 🤣Daaah sema analeta habali za mimba mara watoto daah
Wewe ushaacha kunywa kwanzaHawapo
Ndio anaonekana tuu ajatumika sana mkuu10 years tigedha and 10 manthi kumwagana plus hajafanya mambo ya ajabu roka kipindi hiko .... This is pooor brain 🧮
Mpe 🎤 mjumbe wa nyuma anataka kutoa onyo 🤣🤣🤣
Unaamini kinywa cha mwanamke kwenye situation kama hiyo, hivi unajua wewe unatusumbua sana humu ndani 🤣🤣🤣Ndio anaonekana tuu ajatumika sana mkuu