Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Mkuu umetisha sana ..
Hapa nafanya hvo ila itabidi nimchane ukweli ajue kuwa nipo nae temporary tuu
Yeye mwenyewe yupo nawe kimtego,
Single mother anakuwa nawe kwa lengo la kumlea mwanae na si kuwa anakupenda!
Wanamsemo kuwa anataka kukaa peke yake kwa kuwa ameumizwa sana Ni uongo single mother wanapenda kuishi kivyao kwa kuwa asilimia kubwa ni wadangaji haswa!
 
Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.
Swali: Akilini ni nini .........

Jibu: akili ni uwoga uliochanganyika na wasiwasi


Kilalaheri mkuu kwenye maamuzi yako ya kutumia akili
 
Wakuu salama salama..

Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.

Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto.

Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea kuhusu watoto mara kubeba mimba..
Yaani ananichanganya as if anataka mtoto na mimi..

Kingine kanipa onyo kali sana ambalo mpaka sasa nawaza sijui nikimbie tuu
....
Wenye uzoefu na single mother.. hawa watu wapoje maana nawaza kufikilia kuoa kabisa...

Vishu Mtata
ID yako inasadifu. Unaposema umezama una maana gani?? Unataka kumuoa?? Kama ndio, badili ID utazinduka, kama unakula tu kisha upite kushoto, ipige haswa uiache imechakaa
 
Unaamini kinywa cha mwanamke kwenye situation kama hiyo, hivi unajua wewe unatusumbua sana humu ndani 🤣🤣🤣
Jamni nawasumbua na nini tena mkuu 😀😀😀😀😀😀😀
 
ID yako inasadifu. Unaposema umezama una maana gani?? Unataka kumuoa?? Kama ndio, badili ID utazinduka, kama unakula tu kisha upite kushoto, ipige haswa uiache imechakaa
Nataka niipige tuu mkuu yaani niikamie mkuu..
Mkuu yaani nataka niikamie niishinone mpaka isahau kama ushawahi kuwa na mume hapo nyuma
 
Yeye mwenyewe yupo nawe kimtego,
Single mother anakuwa nawe kwa lengo la kumlea mwanae na si kuwa anakupenda!
Wanamsemo kuwa anataka kukaa peke yake kwa kuwa ameumizwa sana Ni uongo single mother wanapenda kuishi kivyao kwa kuwa asilimia kubwa ni wadangaji haswa!
Mkuu huyu mtu mwanae yupo kwa baba ake huko..
Na cha kufurahisha huyo baba mtu kashaoa mkuu...

Alafu kingine kizri ni kuw huyu single maza ana matrako mkuu acha tuu..

Juzi kaja kavaa suruali ya jinsi aiseee nusu niropoke kuwa tamchukua yeye na mwanae
 
Nataka niipige tuu mkuu yaani niikamie mkuu..
Mkuu yaani nataka niikamie niishinone mpaka isahau kama ushawahi kuwa na mume hapo nyuma
Kama ni hivyo safi. Yaani ichakate hadi atakaeichakata baada yako ajue kuwa huu mgodi umebaki shimo tu
 
Kama ni hivyo safi. Yaani ichakate hadi atakaeichakata baada yako ajue kuwa huu mgodi umebaki shimo tu
Oaaa weeeee hivi kama ulikua akilini kwangu..

Japan kanipa mkwara anasema nikiwa nae hey ndo mazima ole wangu nilete ungese wa kusema sijui pita hvi...

Kingine huyu single maza kazma mazima mkuu yaani kazama mazima kiufupi nikishqpiga inabidi nijue na njia ya kumtema maana sitaki mambo ya kugonganisha hapa mtaa...
 
Kijana umekuja kunisema kijanja sana😂😂😂😂nmekuelewa
 
Oaaa weeeee hivi kama ulikua akilini kwangu..

Japan kanipa mkwara anasema nikiwa nae hey ndo mazima ole wangu nilete ungese wa kusema sijui pita hvi...

Kingine huyu single maza kazma mazima mkuu yaani kazama mazima kiufupi nikishqpiga inabidi nijue na njia ya kumtema maana sitaki mambo ya kugonganisha hapa mtaa...
Kuna mahala anakuchota akili. Kwamba kzima mazima, hio ni michezo. Huyo.l ni mzima ana akili na anajua anachokitaka. Ni wanja wanja sana wakitaka jambo lao liende, hakuna kitu utakosa kwao, na hapo ndio wapumbavu huingizwa mkenge. Wewe ipige huku ukijua siku yoyote anapita kushoto.
 
Kuna mahala anakuchota akili. Kwamba kzima mazima, hio ni michezo. Huyo.l ni mzima ana akili na anajua anachokitaka. Ni wanja wanja sana wakitaka jambo lao liende, hakuna kitu utakosa kwao, na hapo ndio wapumbavu huingizwa mkenge. Wewe ipige huku ukijua siku yoyote anapita kushoto.
Mkuu hyo njia ya kuipita kushoto itabidi unipe bana maaana daaah

Sema ujue nn oyaa ni mkali kinoma kwanza alijifungua mwanae akiwa bado mdogo sana... Mkali kinoma noma mkuuu
 
Back
Top Bottom