Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #81
Daaah sema analeta habali za mimba mara watoto daahHapo fanya unajishikiza tu mkuu, hao watu ni changamoto sana alafu huyo wako anaonekana king'ang'anizi sana jamii ya Mbowe.
Mkuu ni nini hiki
Nipige kazi unamaanisha kazi gani kaka 😄😄😄😄😄Mkuu,
piga kazi..kazi kazi 🏃🏃🏃
Yaan sema we jamaa kuna mda wallah unavuta bangi dadek 😀 🙌 😥zama hadi kwenye tope ila ukikwama usije hapa tena kuomba ushauri
Mimi sina akiliPoor brain maana yake nn?
Daaah ndo hvo mkuu ni free tuuK za Bure
Na mswahili akipata "KING" hachezi kete nyingine zaidi hiyo aisee...kama ushawahi kucheza draft najua utakuwa unaifahamu 'force king' ..na ndiyo unayoenda kukupata..
Mkuu umetisha sana ..Kabisa hao ni chapa ilale achana kabisa na hiyo mikosi ya single mother hata awe ni mwajiriwa ukijichanganya mbeleni utalia na unakuta na umri umeshakwenda
ndio mtue tena mtupeleke taifa na watoto wetu mtupige mawe mpaka tufe. mkishindwa mtuchome kwenye moto kama matofali😁😁😁😁😁🙌🙌😄🙌🙌🙌🙌🙌
Jamni et tuwaue daah
Siendi mimi hata kidogoUje utuambie tena unaenda kupima HIV
Neno single maza watu wanalichukulia ndivyo sivyo. Kama umemwelewa oa. Wengine tulibikiri tuliishia kuchapiwa na kuachwa.Wakuu salama salama..
Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati.
Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto.
Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea kuhusu watoto mara kubeba mimba..
Yaani ananichanganya as if anataka mtoto na mimi..
Kingine kanipa onyo kali sana ambalo mpaka sasa nawaza sijui nikimbie tuu
....
Wenye uzoefu na single mother.. hawa watu wapoje maana nawaza kufikilia kuoa kabisa...
Vishu Mtata
Daaah sawa mkuu ngoja tuone kama inawezekanaKama unaona Moyo wako una amani oa kabisa
Mimi siwezi fanya hvo maana mimi ndo nimezama dada angu..ndio mtue tena mtupeleke taifa na watoto wetu mtupige mawe mpaka tufe. mkishindwa mtuchome kwenye moto kama matofali
Daaah mkuu asante sana kwa ushauri wako but swala la kuoa daaahNeno single maza watu wanalichukulia ndivyo sivyo. Kama umemwelewa oa. Wengine tulibikiri tuliishia kuchapiwa na kuachwa.
Ewaa umeelewa somo ☺️☺️😊Dactar hii kazi kazi unayosema ww mbona napiga snaa na leo inawezekana nikafanya jambo mpaka amsahau yule jamaa ake
Dactar sometimes unapuliza sio 😀😀😀Ewaa umeelewa somo ☺️☺️😊
Yupo hai na yupp hapa hapa dasalam ila kashaoaBaba wa mtoto yupo hai au??