Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Fanaya mambo basi pm kinole na gomzi karibu tuu mambo siku hizi ni sgr tuu chap kwa haraka
Poa sasa skia ntakupasia namba ya shangazi dorry but umakini wa hali ya juu unahitajika maana nishaona ananiletea habari zake za shrondigerr
 
Dactar sometimes unapuliza sio ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Napenda utani.. charming.... kuhusu kupuliza...naona watu wanaharibikiwa kwa kupuliza na kitu nacho Linda ni kuto kuja kua mtu wa hovyo hovyo..๐Ÿ˜Šโ˜บ๏ธ๐Ÿ˜Š

Ikiwa na maana akitoka baba Mimi ndio baba....๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Marekani kajitoa WHO!, ukiweza kuelewa hili basi umemaliza...๐Ÿ˜
Kuoa ni maumuzi binafsi hakunaga ushauri kama vile ulivyoamua kumpenda ni Moyo wako ndio ulioamua, hakuna single mother Wala nani kupata mke wa kuishi nae na mkasikilizana ni BAHATI . Oa yeyote.
 
Kuoa ni maumuzi binafsi hakunaga ushauri kama vile ulivyoamua kumpenda ni Moyo wako ndio ulioamua, hakuna single mother Wala nani kupata mke wa kuishi nae na mkasikilizana ni BAHATI . Oa yeyote.
hapa hatuzungumzii ndoa umekosea uzi mkuu
 
Daaah ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Nikjua na wewe ndo wale madactar hawaingii mzigoni mpaka wastue ahahahah
 
10 years tigedha and 10 manthi kumwagana plus hajafanya mambo ya ajabu roka kipindi hiko .... This is pooor brain ๐Ÿงฎ

Mpe ๐ŸŽค mjumbe wa nyuma anataka kutoa onyo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Onyo gani hilo kali....
 
10 years tigedha and 10 manthi kumwagana plus hajafanya mambo ya ajabu roka kipindi hiko .... This is pooor brain ๐Ÿงฎ

Mpe ๐ŸŽค mjumbe wa nyuma anataka kutoa onyo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ndio anaonekana tuu ajatumika sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ