Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

Elias K

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2021
Posts
213
Reaction score
607
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada
 
Katika umri sawa nyakati tofauti
Mji ulele
Ni kiwa ndo nimemaliza chuo(nakuacha madeni kila kona)

Nikiwa namalizia research nilifikiria vitu vingi vya kufanya kujinasua nkaona mambo na kazi nyingi zilitakiwa niwe na mtaji au konection wakati sikua na chochote (ata ela ya kubind niliunga vibaya mno, achana na nauli, ilikua kazi sana.) Wala sikua na yoyote.

Basi siku ya 3 baada yakupumzika hom kwa Bro Mushono, nikaingia mjin nilikua na visimu vidogo viwili nikaulizia maduka ya wamachinga apo mmjin nkaeka bondi simu yangu moja nkachukua betri za elfu mbili mbili 4,

Nkaenda ofisi ya Airtel nkaomba kua msajili nkapewa code na line za kuanzia nkaingia mitaani
.siku ya 3 nkawa nishaikomboa simu yangu na nina mtaji wa betri 10

The rest is history.
 
Katika umri sawa nyakati tofauti
Mji ulele
Ni kiwa ndo nimemaliza chuo(nakuacha madeni kila kona)

Nikiwa namalizia research nilifikiria vitu vingi vya kufanya kujinasua nkaona mambo na kazi nyingi zilitakiwa niwe na mtaji au konection wakati sikua na chochote (ata ela ya kubind niliunga vibaya mno, achana na nauli, ilikua kazi sana.) Wala sikua na yoyote.

Basi siku ya 3 baada yakupumzika hom kwa Bro Mushono, nikaingia mjin nilikua na visimu vidogo viwili nikaulizia maduka ya wamachinga apo mmjin nkaeka bondi simu yangu moja nkachukua betri za elfu mbili mbili 4,

Nkaenda ofisi ya Airtel nkaomba kua msajili nkapewa code na line za kuanzia nkaingia mitaani
.siku ya 3 nkawa nishaikomboa simu yangu na nina mtaji wa betri 10

The rest is history.
Inspiration [emoji123]
 
Katika umri sawa nyakati tofauti
Mji ulele
Ni kiwa ndo nimemaliza chuo(nakuacha madeni kila kona)

Nikiwa namalizia research nilifikiria vitu vingi vya kufanya kujinasua nkaona mambo na kazi nyingi zilitakiwa niwe na mtaji au konection wakati sikua na chochote (ata ela ya kubind niliunga vibaya mno, achana na nauli, ilikua kazi sana.) Wala sikua na yoyote.

Basi siku ya 3 baada yakupumzika hom kwa Bro Mushono, nikaingia mjin nilikua na visimu vidogo viwili nikaulizia maduka ya wamachinga apo mmjin nkaeka bondi simu yangu moja nkachukua betri za elfu mbili mbili 4,

Nkaenda ofisi ya Airtel nkaomba kua msajili nkapewa code na line za kuanzia nkaingia mitaani
.siku ya 3 nkawa nishaikomboa simu yangu na nina mtaji wa betri 10

The rest is history.
I'm inspired 🙏🏿
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada

IMG_1191.jpg

Karibu mwenyeji Kama
Sio mgeni
 
Katika umri sawa nyakati tofauti
Mji ulele
Ni kiwa ndo nimemaliza chuo(nakuacha madeni kila kona)

Nikiwa namalizia research nilifikiria vitu vingi vya kufanya kujinasua nkaona mambo na kazi nyingi zilitakiwa niwe na mtaji au konection wakati sikua na chochote (ata ela ya kubind niliunga vibaya mno, achana na nauli, ilikua kazi sana.) Wala sikua na yoyote.

Basi siku ya 3 baada yakupumzika hom kwa Bro Mushono, nikaingia mjin nilikua na visimu vidogo viwili nikaulizia maduka ya wamachinga apo mmjin nkaeka bondi simu yangu moja nkachukua betri za elfu mbili mbili 4,

Nkaenda ofisi ya Airtel nkaomba kua msajili nkapewa code na line za kuanzia nkaingia mitaani
.siku ya 3 nkawa nishaikomboa simu yangu na nina mtaji wa betri 10

The rest is history.
Nyie motivation speakers huwa mna sound sana
 
Pole kwa changamoto unazopitia, usikate tamaa kutafuta ukiamini siku utafanikiwa
 
Pia mkuu jaribu kuomba kuji VOLUNTEER kwenye kampuni za tourism /safaris huko arusha hata ukiapata zile za wageni..

You never know unaweza uspate pesa lakini ukatengeneza connection .. ukajikita unapewa kitengo na kula na kulala kwako isiwe tabu
 
Kwanza mkuu maisha hupaswi kuyafanya vile unataka, usitegemee fulani kama umri huu natakiwa kua na nyumba gari na vinginevyo hapana. Na kauli moja huwa natumia ulipo ni sehemu sahihi kwa wakati sahihi.

Ebu ngamua namna gani unaweza jitengenezea ata shilling 300 wewe kama wewe kabla ya kusubiri mtu. Ukifanikiwa ilo endelea kuongeza juhudi siku utafika 10000

Namna ya kupata uza ujuzi wako mitandaoni, kuwa Dalali mtaani kwako, unaweza jifunza kubet. Vyovyote vile kikubwa kipato
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada
Mimi ni msomi lakini mara baada ya kujua kuwa maisha yanahitaji masomo, nikaona usomi hauna maana.Nilichokigundua ni kwamba
  1. Usiombee kazi elimu yako ya juu uliyonayo kwa watu kwani wakishajua kiwango chako kipo juu zaidi yao hupati kazi ng'oo, na ukipata kazi basi ni kwa manufaa yao na ukitumika watakutupa.
  2. Jaribu kujifunza kila kazi iliyoko mbele yako ili ikupe wepesi wa kuifikia ile kazi unayoitaka.
  3. Uwezo wako mkubwa wa kufanya kazi uwe katika siri ya moyo wako.Usimwambie kila mtu wewe ni nani na unaweza kufanya nini.
  4. Mara nyingi jishikize kwa kusema 'Je ninaweza kufanya hivi?' na Sio 'mimi ninaweza kufanya hivi'
  5. Fanya kazi hata kwa bure huku ukitafuta connection ya watu, coz wale watu unaowafanyia kazi wakiipenda wataenda kuwasimulia wenzao na utatafutwa haki ya Mungu. nina uhakika. Nina mengi ya kukushauri lakini ngoja niishie hapo. Kingine ni kwamba ukiletewa kazi usianze kuikataa eti hela yake ndogo ile hali muda huo huna issue yoyote ya kufanya.we fanya tu hata kama ukifikia ndoto ukiwa umechoka.
 
Mimi ni msomi lakini mara baada ya kujua kuwa maisha yanahitaji masomo, nikaona usomi hauna maana.Nilichokigundua ni kwamba
  1. Usiombee kazi elimu yako ya juu uliyonayo kwa watu kwani wakishajua kiwango chako kipo juu zaidi yao hupati kazi ng'oo, na ukipata kazi basi ni kwa manufaa yao na ukitumika watakutupa.
  2. Jaribu kujifunza kila kazi iliyoko mbele yako ili ikupe wepesi wa kuifikia ile kazi unayoitaka.
  3. Uwezo wako mkubwa wa kufanya kazi uwe katika siri ya moyo wako.Usimwambie kila mtu wewe ni nani na unaweza kufanya nini.
  4. Mara nyingi jishikize kwa kusema 'Je ninaweza kufanya hivi?' na Sio 'mimi ninaweza kufanya hivi'
  5. Fanya kazi hata kwa bure huku ukitafuta connection ya watu, coz wale watu unaowafanyia kazi wakiipenda wataenda kuwasimulia wenzao na utatafutwa haki ya Mungu. nina uhakika. Nina mengi ya kukushauri lakini ngoja niishie hapo. Kingine ni kwamba ukiletewa kazi usianze kuikataa eti hela yake ndogo ile hali muda huo huna issue yoyote ya kufanya.we fanya tu hata kama ukifikia ndoto ukiwa umechoka.
Ahsante, nimekuelewa vizuri mkuu
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada


Pitia hiyo thread mkuu itakusaidia
 
Mimi ni msomi lakini mara baada ya kujua kuwa maisha yanahitaji masomo, nikaona usomi hauna maana.Nilichokigundua ni kwamba
  1. Usiombee kazi elimu yako ya juu uliyonayo kwa watu kwani wakishajua kiwango chako kipo juu zaidi yao hupati kazi ng'oo, na ukipata kazi basi ni kwa manufaa yao na ukitumika watakutupa.
  2. Jaribu kujifunza kila kazi iliyoko mbele yako ili ikupe wepesi wa kuifikia ile kazi unayoitaka.
  3. Uwezo wako mkubwa wa kufanya kazi uwe katika siri ya moyo wako.Usimwambie kila mtu wewe ni nani na unaweza kufanya nini.
  4. Mara nyingi jishikize kwa kusema 'Je ninaweza kufanya hivi?' na Sio 'mimi ninaweza kufanya hivi'
  5. Fanya kazi hata kwa bure huku ukitafuta connection ya watu, coz wale watu unaowafanyia kazi wakiipenda wataenda kuwasimulia wenzao na utatafutwa haki ya Mungu. nina uhakika. Nina mengi ya kukushauri lakini ngoja niishie hapo. Kingine ni kwamba ukiletewa kazi usianze kuikataa eti hela yake ndogo ile hali muda huo huna issue yoyote ya kufanya.we fanya tu hata kama ukifikia ndoto ukiwa umechoka.
Lenie pitia hii reply kwa umakini sana. Isome point ya kwanza ya huyu genious then uelewe kwann tulitofautiana kwenye uzi flan........

Hii reply n msaada tosha operativetz
 
Back
Top Bottom