Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

Katika umri sawa nyakati tofauti
Mji ulele
Ni kiwa ndo nimemaliza chuo(nakuacha madeni kila kona)

Nikiwa namalizia research nilifikiria vitu vingi vya kufanya kujinasua nkaona mambo na kazi nyingi zilitakiwa niwe na mtaji au konection wakati sikua na chochote (ata ela ya kubind niliunga vibaya mno, achana na nauli, ilikua kazi sana.) Wala sikua na yoyote.

Basi siku ya 3 baada yakupumzika hom kwa Bro Mushono, nikaingia mjin nilikua na visimu vidogo viwili nikaulizia maduka ya wamachinga apo mmjin nkaeka bondi simu yangu moja nkachukua betri za elfu mbili mbili 4,

Nkaenda ofisi ya Airtel nkaomba kua msajili nkapewa code na line za kuanzia nkaingia mitaani
.siku ya 3 nkawa nishaikomboa simu yangu na nina mtaji wa betri 10

The rest is history.
Acha huu ujinga ulishapitwa na wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana udhoefu[emoji13]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787], hivi ndo vitu vinatuangusha wakati mwingine! Mtu anafikiri ndo anatoa maelezo ya ziada ya “kujiuza “ kwenye soko la ajira, kumbe ndo anaharibu! Kwa level yake ya Diploma na kazi alizowahi kufanya alipaswa ktk “kujinadi “ asitaje mambo ya management skills+udhoefu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], hivi ndo vitu vinatuangusha wakati mwingine! Mtu anafikiri ndo anatoa maelezo ya ziada ya “kujiuza “ kwenye soko la ajira, kumbe ndo anaharibu! Kwa level yake ya Diploma na kazi alizowahi kufanya alipaswa ktk “kujinadi “ asitaje mambo ya management skills+udhoefu!

[emoji16]
 
Fursa fursa fursa za kazi.
Alhamdulillah hapa Abraar Complex Kuna fursa kadhaa za kazi zimejitokeza.
Tunahitaji:
1) Mafundi ujenzi (waashi) wazoefu.
2) wasimamizi wa ujenzi (site foreman).
3) Mafundi seremala wazoefu.
4) Mafundi bomba wazoefu.
5) Fundi welder.
6) Wahasibu wasaidizi.
7) Wasaidizi na au wanafunzi Kwa vitendo wa fani zote hizo.
Kazi hizo zote zipo Misugusugu, Kibaha, Mkoa wa Pwani. Mtaa wa Vitendo. Anaehitaji fursa hizo akubali kuhamia karibu na kituo cha kazi, mafunzo, atachopangiwa.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Abdul Ghafur 0625249605.
 
Fursa fursa fursa za kazi.
Alhamdulillah hapa Abraar Complex Kuna fursa kadhaa za kazi zimejitokeza.
Tunahitaji:
1) Mafundi ujenzi (waashi) wazoefu.
2) wasimamizi wa ujenzi (site foreman).
3) Mafundi seremala wazoefu.
4) Mafundi bomba wazoefu.
5) Fundi welder.
6) Wahasibu wasaidizi.
7) Wasaidizi na au wanafunzi Kwa vitendo wa fani zote hizo.
Kazi hizo zote zipo Misugusugu, Kibaha, Mkoa wa Pwani. Mtaa wa Vitendo. Anaehitaji fursa hizo akubali kuhamia karibu na kituo cha kazi, mafunzo, atachopangiwa.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Abdul Ghafur 0625249605.
Namba 6 ingenifaa lakini sijajua kama mnatoa chakula
 
kama huchagui kazi...ebu njoo kwenye kampuni yetu ya gardaworld....hii ni kampuni ya ulinzi njoo ujishikize hapa kwa mwezi wanakulipa 250k na kuendelea...

unatakiwa uwe mrefu...nadhani ni kuanzia ft 5.64
tumia cheti chako cha kidato cha nne tu...!
uwe na cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha nida...na wadhamini wawili ambao watakuwa teyari kuja kukudhamini phisicaly...

kama unavyo vigezo nilivyokutajia kwa dar es salaam ofisi zipo mikocheni ile njia inayoelekea kawe......ukiwa unatokea kinondoni, kupita makao makuu ya zantel....kuna kituo kinaitwa kwamwinyi....ukifika hqpo ukimuuliza mtu yeyote atakuelekeza ofisi za garda zilipo...ukifanikiwa njoo utoe mrejesho...kitakacho kubeba hapo ni vigezo tu hakuna rushwa wala hongo ya aina yoyote
nakutakia heri na mafanikio rafiki yangu
Ufupi wangu umenikosesha kazi duuuuuh!
 
kama unavyo vigezo nilivyokutajia kwa dar es salaam ofisi zipo mikocheni ile njia inayoelekea kawe......ukiwa unatokea kinondoni, kupita makao makuu ya zantel....kuna kituo kinaitwa kwamwinyi....ukifika hqpo ukimuuliza mtu yeyote atakuelekeza ofisi za garda zilipo...ukifanikiwa njoo utoe mrejesho...kitakacho kubeba hapo ni vigezo tu hakuna rushwa wala hongo ya aina yoyote

Arusha​

Plot Number 11 Simeon Road Kijenge Area
GW - Arusha Branch
Arusha
Tanzania
+255 754 250 600
Mkuu, nimeenda ofisi zao nikaambiwa hawapokei vijana kwa sasa, nimepiga hii namba akapokea dada mmoja nikajieleza Kisha akaniambia nisikate simu Ili awapigie wahusika, akawapigia lakini simu imeita bila kupokelewa, ndipo nikaambiwa simu za wahusika zipo busy
 
Fursa fursa fursa za kazi.
Alhamdulillah hapa Abraar Complex Kuna fursa kadhaa za kazi zimejitokeza.
Tunahitaji:
1) Mafundi ujenzi (waashi) wazoefu.
2) wasimamizi wa ujenzi (site foreman).
3) Mafundi seremala wazoefu.
4) Mafundi bomba wazoefu.
5) Fundi welder.
6) Wahasibu wasaidizi.
7) Wasaidizi na au wanafunzi Kwa vitendo wa fani zote hizo.
Kazi hizo zote zipo Misugusugu, Kibaha, Mkoa wa Pwani. Mtaa wa Vitendo. Anaehitaji fursa hizo akubali kuhamia karibu na kituo cha kazi, mafunzo, atachopangiwa.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Abdul Ghafur 0625249605.
Hii namba nimepiga nikajieleza Kisha ikakatwa, nilipopiga Tena haijapokelewa
 
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, ni wadau wa ujenzi wa kisasa, tuna kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ujenzi za kisasa na Tunahitaji mafundi ujenzi, kuanzia wa kiwandani kwenye uzalishaji mpaka kwenye ufundi wenyewe. Tuinahitaji mafundi wa viwango tofauti, kuanzia wanaohitaji kujifundisha ujenzi mpaka wale wazoefu wa kusimamia kazi. Tupo very strict kwa ubora. Kama unapenda kufanya kazi na watu wenye kujali ubora wa kazi za ufundi, nidhamu za kazi za ufundi na mwenye kujali miiko ya kazi za ufundi na sio uwingi wa kazi basi wasiliana nasi.

Pia tupo tayari kuongea na vikundi au makampuni na madalali wa mafundi ujenzi namna ya kushirikiana.

Kwa maelezo zaidi fika tuonane ana kwa ana au tuma WhatsApp 0625249605. Tupo, Mtaa wa Vitendo, Kata ya Misugusugu, Kibaha, Pwani. Tanzania.
 
Hii namba nimepiga nikajieleza Kisha ikakatwa, nilipopiga Tena haijapokelewa
Labda ni mtandao tu, hatuna tabia za kudharau na kuwakatia simu wadau.

Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, ni wadau wa ujenzi wa kisasa, tuna kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ujenzi za kisasa na Tunahitaji mafundi ujenzi, kuanzia wa kiwandani kwenye uzalishaji mpaka kwenye ufundi wenyewe. Tuinahitaji mafundi wa viwango tofauti, kuanzia wanaohitaji kujifundisha ujenzi mpaka wale wazoefu wa kusimamia kazi. Tupo very strict kwa ubora. Kama unapenda kufanya kazi na watu wenye kujali ubora wa kazi za ufundi, nidhamu za kazi za ufundi na mwenye kujali miiko ya kazi za ufundi na sio uwingi wa kazi basi wasiliana nasi.

Pia tupo tayari kuongea na vikundi au makampuni na madalali wa mafundi ujenzi namna ya kushirikiana.

Kwa maelezo zaidi fika tuonane ana kwa ana au tuma WhatsApp 0625249605. Tupo, Mtaa wa Vitendo, Kata ya Misugusugu, Kibaha, Pwani. Tanzania.
 
Umeandika vizuri sana.
Niliwah kupoteza 15m kwenye biashara flani hivi
Ujasiri ndio ulinisaidia hama arusha fanya unavoweza nenda dar au dodoma utanishukur cku moja.
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, ni wadau wa ujenzi wa kisasa, tuna kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ujenzi za kisasa na Tunahitaji mafundi ujenzi, kuanzia wa kiwandani kwenye uzalishaji mpaka kwenye ufundi wenyewe. Tuinahitaji mafundi wa viwango tofauti, kuanzia wanaohitaji kujifundisha ujenzi mpaka wale wazoefu wa kusimamia kazi. Tupo very strict kwa ubora. Kama unapenda kufanya kazi na watu wenye kujali ubora wa kazi za ufundi, nidhamu za kazi za ufundi na mwenye kujali miiko ya kazi za ufundi na sio uwingi wa kazi basi wasiliana nasi.

Pia tupo tayari kuongea na vikundi au makampuni na madalali wa mafundi ujenzi namna ya kushirikiana.

Kwa maelezo zaidi fika tuonane ana kwa ana au tuma WhatsApp 0625249605. Tupo, Mtaa wa Vitendo, Kata ya Misugusugu, Kibaha, Pwani. Tanzania.
 
Wanajamii mimi forklift operator elimu kidato Cha sita pia ni dereva naombeni msaada yeyote anayejua kuna kiwanda au warehouse au kampuni yoyote ambayo nkienda kuomba naweza kupata kazi aniambie. Iwe Dar, Pwani, Tanga, Moro nafika 0623736996 mwenye connection
 
kama huchagui kazi...ebu njoo kwenye kampuni yetu ya gardaworld....hii ni kampuni ya ulinzi njoo ujishikize hapa kwa mwezi wanakulipa 250k na kuendelea...

unatakiwa uwe mrefu...nadhani ni kuanzia ft 5.64
tumia cheti chako cha kidato cha nne tu...!
uwe na cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha nida...na wadhamini wawili ambao watakuwa teyari kuja kukudhamini phisicaly...

kama unavyo vigezo nilivyokutajia kwa dar es salaam ofisi zipo mikocheni ile njia inayoelekea kawe......ukiwa unatokea kinondoni, kupita makao makuu ya zantel....kuna kituo kinaitwa kwamwinyi....ukifika hqpo ukimuuliza mtu yeyote atakuelekeza ofisi za garda zilipo...ukifanikiwa njoo utoe mrejesho...kitakacho kubeba hapo ni vigezo tu hakuna rushwa wala hongo ya aina yoyote
nakutakia heri na mafanikio rafiki yangu
Mawasiliano yako Mkuu ? Au naomba nicheki 0656391899
 
Back
Top Bottom