Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

Kumotivate mtu na kumpa way foward for free ni jambo kubwa iwe realy au sound....!

Mzee kama haujapitia izi Mbanga za Mwanaukome uwezi elawa,
kama umekuta mitaro ipo ogelea tu na mshukuru Mungu,

wengine tunapitia moto mkali kubreak poverty cycle
Facts
 
Katika umri sawa nyakati tofauti
Mji ulele
Ni kiwa ndo nimemaliza chuo(nakuacha madeni kila kona)

Nikiwa namalizia research nilifikiria vitu vingi vya kufanya kujinasua nkaona mambo na kazi nyingi zilitakiwa niwe na mtaji au konection wakati sikua na chochote (ata ela ya kubind niliunga vibaya mno, achana na nauli, ilikua kazi sana.) Wala sikua na yoyote.

Basi siku ya 3 baada yakupumzika hom kwa Bro Mushono, nikaingia mjin nilikua na visimu vidogo viwili nikaulizia maduka ya wamachinga apo mmjin nkaeka bondi simu yangu moja nkachukua betri za elfu mbili mbili 4,

Nkaenda ofisi ya Airtel nkaomba kua msajili nkapewa code na line za kuanzia nkaingia mitaani
.siku ya 3 nkawa nishaikomboa simu yangu na nina mtaji wa betri 10

The rest is history.
Nilianzs na mayai mawili sasa nins kuku 20000 pumbaaavu
 
Nilianzs na mayai mawili sasa nins kuku 20000 pumbaaavu
Uwezi kuamini izo betri 10 nilizi dampu kwa elfu nkapata 50000 siku ya nne kwa asira nilizokua nazo nkaenda kunywa na kuchukua mraaa nkaamka asubui n ela ya supu....

Nkaanza moja na bado nkatoboa nkapata ela ya kwenda kusapua na ela ya nauli na ya kwend kuanzia maish ki hm boi.... Na leo nilipo mungu mkubwa

Sijui nkwambiaje ila maisha siyaogopi na yafuck daily no matter wata,

Hii ni live mzee ndo maisha tunayoishi kwako ni ndoto, ni mengi mengi wacha tule weekend mzee
 
Kwenye nyakati ngumu kama hizi,
Usisite kufanya mambo matatu, na yote kwa wakati mmoja,
Kwasababu naamin yanasaidiana kwa pamoja mpaka pale utakapojiweza.

1. Omba kwa Mungu wako. Na pia Omba msaada kwa watu wako wa karibu.(connection, malazi na chakula).
2. Tafuta kazi yoyote kwa bidii , anza na unayodhan inayokufaa. (Hapa Tengeneza Cv yako vizir na jaribu kuuliza kazi huku na kule ) bila kuchoka.
3. Usisite kusema Magumu unayopitia kwa watu. Maana huwez jua msaada wako utatoka kwa nani.

Kila la kheri na mitihan ya maisha

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwenye nyakati ngumu kama hizi,
Usisite kufanya mambo matatu, na yote kwa wakati mmoja,
Kwasababu naamin yanasaidiana kwa pamoja mpaka pale utakapojiweza.

1. Omba kwa Mungu wako. Na pia Omba msaada kwa watu wako wa karibu.(connection, malazi na chakula).
2. Tafuta kazi yoyote kwa bidii , anza na unayodhan inayokufaa. (Hapa Tengeneza Cv yako vizir na jaribu kuuliza kazi huku na kule ) bila kuchoka.
3. Usisite kusema Magumu unayopitia kwa watu. Maana huwez jua msaada wako utatoka kwa nani.

Kila la kheri na mitihan ya maisha

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ahsante ndugu
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada
Hadi A to Z, ama Sunflag umekosa??
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada
Mkuu jiajiri kama dalali tu wa mitandaoni.

mimi ndio kazi inanifanya niishi. Ajira kama huna mtu wa kukushika.mkono ni changamoto, labda ukafanye kazi za ulinzi.

mfano kuna jamaa humu jf alikuwa anauza projector kwa 150,000

ikakaa miezi miwili.bila mteja,, akashusha.mpaka elfu 50, ehee nikaona dili.

nikampigia.simu tukaelewana, nitafute mteja bei ninayojua, 50 yake siigusi. Akakubali

Projector baada ya siku 3 nikapata mteja kwa 130,000!

nikaiuza, jamaa akawa.mwaminifu akanitumia elfu 80,000 akabaki na 50,000 yake
 
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi

WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and Management (nilisomeshwa na wasamaria wema na baada ya kuhitimu msaada wao umekomea hapo, wazazi wangu walishatangulia mbele ya haki nikiwa mtoto)
3. Najua kuitumia computer
4. Sina mke wala mpenzi na kwa Hali yangu hii simuhitaji kwa sasa
5. Ni mchapakazi na muelewa.
6. Kwa sasa nipo Arusha, Usa- River Ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote hapa nchini

KAZI NINAZOPEDELEA
1. Kufyatua na kusimamia saiti za matofali
2. Kusimamia mashamba
3. Kuuza maduka.
4. Kazi za viwandani, japo nimezinguka sana Arusha bila kuzipata.
Nitakuwa tayari kuthibitisha taarifa zangu zote mtakazohitaji ilimradi nipate msaada

NIKIPATA SHIRIKA LA KUJITOLEA KWA UJIRA WA CHAKULA NA MALAZI TU, NINGEFURAHI ZAIDI.

Naombeni msaada
Vumilia, ukifikisha miaka 30 mambo yataanza kukaa sawa yenyewe.
 
Pia mkuu jaribu kuomba kuji VOLUNTEER kwenye kampuni za tourism /safaris huko arusha hata ukiapata zile za wageni..

You never know unaweza uspate pesa lakini ukatengeneza connection .. ukajikita unapewa kitengo na kula na kulala kwako isiwe tabu
Kwenye hizo kampuni ni ngumu mno, bora awe chinga kitaa
 
Kijana nimekusoma vizuri sana. Kama kweli unaweza kufanya Kazi hizo ulizosema bila shida njoo tuyajenge.

Kazi nitakayo kupa ni ya kusimamia Shamba, kikubwa hapa ni uaminifu. Kazi hii nikuweke wazi itakuwa ya mkataba, yaani malipo ni baaada ya msimu kuisha; nasema hivi kwa sababu vijana wengi ujinpa Kazi akafanya miezi kadhaa akaona amepata mtaji badi anatelekeza Kazi zako.

Kama unajua utakuwa mwaminifu nirafute nikupe kazi na kutakuwa na incentive pia
 
Kijana nimekusoma vizuri sana. Kama kweli unaweza kufanya Kazi hizo ulizosema bila shida njoo tuyajenge.

Kazi nitakayo kupa ni ya kusimamia Shamba, kikubwa hapa ni uaminifu. Kazi hii nikuweke wazi itakuwa ya mkataba, yaani malipo ni baaada ya msimu kuisha; nasema hivi kwa sababu vijana wengi ujinpa Kazi akafanya miezi kadhaa akaona amepata mtaji badi anatelekeza Kazi zako.

Kama unajua utakuwa mwaminifu nirafute nikupe kazi na kutakuwa na incentive pia
Nimekuja PM mkuu
 
Watu wote niliowapa namba PM hawajanitafuta[emoji3064][emoji3064][emoji3526]
Wengi mnoo tulijiunga jf kwa imani ya kupigwa tafu kama hizi.. Yote ninegundua "it posible but not too easy" kam tulivyojuw tunadhani. Mi nkushaur jitoe ufaham hasaaaaa.. Kama kuna vibopa sijui kwa kina lowasa sijui kwa mzeee wa ruksa tafuta appointment nao ukaongee nao!. This hardest thing you didn't think about BUt believe in
 
Wengi mnoo tulijiunga jf kwa imani ya kupigwa tafu kama hizi.. Yote ninegundua "it posible but not too easy" kam tulivyojuw tunadhani. Mi nkushaur jitoe ufaham hasaaaaa.. Kama kuna vibopa sijui kwa kina lowasa sijui kwa mzeee wa ruksa tafuta appointment nao ukaongee nao!. This hardest thing you didn't think about BUt believe in
Ungekuwa dar ningekupeleka kwa mzee wa ruksa hadi getini hata mara 7 tumuone "bi siti" au tungembahatisha ridhwan
 
Barabara ya kufika kwenye mafanikio ni ngumu.....
Hali ya Sasa ya ajira tz Ina changamoto nyingi na itachukua muda kukaa sawa kwahiyo nikushauri weka elimu yako pembeni

Unatakiwa kujua una kitu gani Ambacho unapenda kufanya na unaweza kukifanya kutoka ndani ya moyo wako ( Elimu uliyopata shule weka pembeni) ....weka Nia peke yako ( Usifanye kwa ajili ya pesa kwanza au kwa kua Fulani anafanya)

Tafuta watu ambao wanafanya hicho kitu na uanze kujichanganya nao ( mwanzo wake utakua mgumu kwa Mf. Kukukataa kujoin nao) lakini baada ya muda Mungu atakuonyesha njia

Epuka kuona Elimu yako Ina thamani kuliko haao unaojichanganya nao hata Kam Wana Elimu ndogo kwako

Najua mwanzo utapata changamoto za maneno mabaya ya kukatisha tamaa lakini usichoke kwa yupo Mungu anakuangalia subira yako

NB: Epuka kukaa peke yako muda mrefu na kulala.
 
Back
Top Bottom