Kwa mujibu wa Sheria ya Kiislam mgawanyo wa urithi uko kama ifuatavyo:
Wajane
hurithi 1/8, Wengi huendelea kutunzwa na watoto wao na nimeona kwa huu mgao unalinda wasiwe na tamaa za kutaka mwanaume afe ilinwapate mali, k
Wazazi
- Wazazi hupewa 1/6 ya salio baada ya kuondoa fungu la mjane/wajane.
Watoto
Mali iliyosalia hugawanywa katika mafungu matatu. Watoto wa kiume hupata mafungu mawili na watoto wa kike hupata fungu moja. Watoto wa kiume hupewa mara mbili ya watoto wa kike. (Tukiachana na sheria za sasa za binadamu ukweli haufutiki kwamba Mungu alimuumba Mwanamke kuwa msaidizi kwa mwanaume, hana kwake ana kwao, hata mila zetu nyingi mwanamke akishaolewa tu huyo ni wa ukoo wa huko alikoolewa, watoto ataozaa watakuwa ni uoande wa mme wake, Pia mwanamke akiachika anarudi kwa kaka zake) ama hakuna watoto wa kiume atatafutwa mjukuu wake wa kiume, baba yake, babu yake, n.k.
Mjane Mwanaume
- Mgane (Mjane mwanaume) hupewa 1/4 ya mali ya marehemu mke wake kama kuna watoto au 1/2 kama hakuna watoto.
Watoto nje ya ndoa
Watoto nje ya ndoa hawawarithi chochote kama hawakuhalalishwa wakati marehemu akiwa hai au kuwepo wosia unaowapa urithi. (nadhani Mungu aliona mbali siku hizi mbegu zinaweza kuchomolewa bila kujijua zikaenda kupandikizwa kwa mwanamke)
Mali za kurithisha kwa wosia
si zaidi ya 1/3 isipokuwa kama kuna makubaliano ya warithi wote baada ya kifo cha mweka wosia
Wajane
hurithi 1/8, Wengi huendelea kutunzwa na watoto wao na nimeona kwa huu mgao unalinda wasiwe na tamaa za kutaka mwanaume afe ilinwapate mali, k
Wazazi
- Wazazi hupewa 1/6 ya salio baada ya kuondoa fungu la mjane/wajane.
Watoto
Mali iliyosalia hugawanywa katika mafungu matatu. Watoto wa kiume hupata mafungu mawili na watoto wa kike hupata fungu moja. Watoto wa kiume hupewa mara mbili ya watoto wa kike. (Tukiachana na sheria za sasa za binadamu ukweli haufutiki kwamba Mungu alimuumba Mwanamke kuwa msaidizi kwa mwanaume, hana kwake ana kwao, hata mila zetu nyingi mwanamke akishaolewa tu huyo ni wa ukoo wa huko alikoolewa, watoto ataozaa watakuwa ni uoande wa mme wake, Pia mwanamke akiachika anarudi kwa kaka zake) ama hakuna watoto wa kiume atatafutwa mjukuu wake wa kiume, baba yake, babu yake, n.k.
Mjane Mwanaume
- Mgane (Mjane mwanaume) hupewa 1/4 ya mali ya marehemu mke wake kama kuna watoto au 1/2 kama hakuna watoto.
Watoto nje ya ndoa
Watoto nje ya ndoa hawawarithi chochote kama hawakuhalalishwa wakati marehemu akiwa hai au kuwepo wosia unaowapa urithi. (nadhani Mungu aliona mbali siku hizi mbegu zinaweza kuchomolewa bila kujijua zikaenda kupandikizwa kwa mwanamke)
Mali za kurithisha kwa wosia
si zaidi ya 1/3 isipokuwa kama kuna makubaliano ya warithi wote baada ya kifo cha mweka wosia