inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Tofauti ya mwanamke na mwanaume haiwezi toweka,ni wapi huko wanawake wengi ndiyo hufanya kazi na wanaume hukaa nyumbani!?Yaani wenzio tuna songa mbele katika maisha mambo ya wanaume na wanawake tofauti yao ilisha fyekelewa mbali.
Hivi unajua wanawake wengi sasa hivi duniani ndio wanao fanya kazi na mwanaume anakaa nyumbani kulea watoto?
Dunia ime badilika kwa watu wenye pesa zao.
Sijui labda unakokaa wewe bado kuna mambo ya kumwachi efkumi mkeo ya chukula walahi, uwiiiii
Mwenye Enzi Mungu tuepushe walahi!
Tabia yako iyo usitake kuona wenzako wanatabia kma zakoBila kutukana huwezi kujibu hoja aiseee. Ndo maana huwa mnachapiwa
Tabia yako iyo usitake kuona wenzako wanatabia kma zako
SahihiHizo ni sheria kandamizi na zilizopotwa na wakati,mwanamke ana kwao na pia ana kwake,haya ndo masuala ya kumuoza mtoto wa kike huku ukimwambia asirudi labda awe mfu kitu kinachopelekea kuvumilia ndoa za mateso. Siku hizi ni 50/50,nyumba mkijenga wanandoa inakua na majina mawili mume na mke
Mkuu wahindi mwanamke ndo anatoa mahari,anyway usiseme dunia nzima sema baadhi ya nchi za africa maana huko kwa wazungu kuna wanawake wanaoana wao kwa wao
Unatatakwimu sahihi kuhusu unachoandika au umeokoteza maneno ya mitaaaniBusara imeangaliwa katika mioyo yao dhaifu hali ambayo imgesababisha kuwaua waume zao ili warithi Mali, na ndio maana kesi nyingi ni za wanawake kuua waume zao kwa kutaka Mali, na ukisia mwanaume kaua mkewe ujue ni kwa sababu ya wivu wa kimapenzi na sio mali. Mfano hapo juu Kwa Wamachame, hope utakuwa umeelewa mantiki.
Itabakia kwa kaka mtu, kwani UNAPOCHANGIA BIMA YA AFYA, USIPOUMWA ubarudishiwa kile kiasi? Hiyo inawekwa kwa maana matukio ni mengi, Dada yako anaweza kufiwa na mumewe nk nk nk. Shida yako unaweza in a negative way hivyo huwezi kutuhusi ubongo kuelewa hoja hiyo.Na mwanamke asipoachika? Hiyo ziada inaenda wap? Kama urith hakuna akiachika hapokelewi kwasababu huo urithi haupo?
Anakuwa amepata Mwanaume, mfano MAMA YAKO ALIPOFARIKI BABA YAKO SI AMEPATA BWANA MWINGINE??Unapopewa bikra 72 mwanamke anapewa nn?
ThibitishaUislamu ndio dini ya Mungu na ndio dini ya kweli enyi binadamu njooni katika haqqi ili mpate salama ya Mungu hapa duniani na kesho Akhera
Poa.Nieleweshe, sijakuelewa.
Ulivyo andika kule umekosea, inaoneka kuolewa katika uislamu ni amri, amri kivipi hujaandika ndiyo maana tulikukataa.
( إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ )Thibitisha
Ziko poa sana, realisticKwa mujibu wa Sheria ya Kiislam mgawanyo wa urithi uko kama ifuatavyo:
Wajane
hurithi 1/8, Wengi huendelea kutunzwa na watoto wao na nimeona kwa huu mgao unalinda wasiwe na tamaa za kutaka mwanaume afe ilinwapate mali, k
Wazazi
- Wazazi hupewa 1/6 ya salio baada ya kuondoa fungu la mjane/wajane.
Watoto
Mali iliyosalia hugawanywa katika mafungu matatu. Watoto wa kiume hupata mafungu mawili na watoto wa kike hupata fungu moja. Watoto wa kiume hupewa mara mbili ya watoto wa kike. (Tukiachana na sheria za sasa za binadamu ukweli haufutiki kwamba Mungu alimuumba Mwanamke kuwa msaidizi kwa mwanaume, hana kwake ana kwao, hata mila zetu nyingi mwanamke akishaolewa tu huyo ni wa ukoo wa huko alikoolewa, watoto ataozaa watakuwa ni uoande wa mme wake, Pia mwanamke akiachika anarudi kwa kaka zake) ama hakuna watoto wa kiume atatafutwa mjukuu wake wa kiume, baba yake, babu yake, n.k.
Mjane Mwanaume
- Mgane (Mjane mwanaume) hupewa 1/4 ya mali ya marehemu mke wake kama kuna watoto au 1/2 kama hakuna watoto.
Watoto nje ya ndoa
Watoto nje ya ndoa hawawarithi chochote kama hawakuhalalishwa wakati marehemu akiwa hai au kuwepo wosia unaowapa urithi. (nadhani Mungu aliona mbali siku hizi mbegu zinaweza kuchomolewa bila kujijua zikaenda kupandikizwa kwa mwanamke)
Mali za kurithisha kwa wosia
si zaidi ya 1/3 isipokuwa kama kuna makubaliano ya warithi wote baada ya kifo cha mweka wosia
Kwahiyo ndio umeambiwa lazima hapo?Ile kwamba mbingu yako iko chini ya mumewe.
Kuolewa ni nusra.
Hizo condition ni inafanya ndoa iwe lazima.