Nimezisoma sheria za urithi katika Uislam, nikiri kwamba zipo kwa haki

Tofauti ya mwanamke na mwanaume haiwezi toweka,ni wapi huko wanawake wengi ndiyo hufanya kazi na wanaume hukaa nyumbani!?
 
Sahihi
 
Unatatakwimu sahihi kuhusu unachoandika au umeokoteza maneno ya mitaaani
 
Na mwanamke asipoachika? Hiyo ziada inaenda wap? Kama urith hakuna akiachika hapokelewi kwasababu huo urithi haupo?
Itabakia kwa kaka mtu, kwani UNAPOCHANGIA BIMA YA AFYA, USIPOUMWA ubarudishiwa kile kiasi? Hiyo inawekwa kwa maana matukio ni mengi, Dada yako anaweza kufiwa na mumewe nk nk nk. Shida yako unaweza in a negative way hivyo huwezi kutuhusi ubongo kuelewa hoja hiyo.
 
Maandishi ya dini utaona kama mwanamke ana raha sana. Utekelezaji wake sasa, ndo kasheshe. Achika uone kama utahudumiwa na hao kaka.
 
Ulivyo andika kule umekosea, inaoneka kuolewa katika uislamu ni amri, amri kivipi hujaandika ndiyo maana tulikukataa.

Ile kwamba mbingu yako iko chini ya mumewe.

Kuolewa ni nusra.

Hizo condition ni inafanya ndoa iwe lazima.
 
Thibitisha
( إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ )

آل عمران (19) Aal-Imran

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
 
Ziko poa sana, realistic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…