Nimezisoma sheria za urithi katika Uislam, nikiri kwamba zipo kwa haki

Nimezisoma sheria za urithi katika Uislam, nikiri kwamba zipo kwa haki

tutajie mkoa wako na abila lako je hakuna wachawi huko?hau hao wakina mwamposa na wenzie hayo mazingombwe wanayo yafanya yanaruhusiwa na biblia? tuanzie hapo
Waislamu ni wachawi especially washika dini
 
Unazungumzia enzi za kale sana; nyakati za ujima hizo. Leo wanawake wanaongoza vyombo kwenda outer spaces uko kwenye fikra za kumstarehesha mume.
Nje ya mada Mada inangolea taratibu za mirathi dini ya kiislamu, na maandishi hayajabadilika, hivyo kutofuata taratibu hizo, Siyo kwamba haiwezekani, bali hamkfiata taratibu za mirathi za Kiislamu.
 
Nawe uwe unasoma na kuelewa mantiki ya kilichoandikwa.

Nilikuwa majibu Mtoa comment hapo juu aliyesema Mwanamke anaweza kuamua asiolewe.

Ndio nikamuambia kwenye uislam Kuoa na kuolewa sio ishu ya hiyari au kupenda, Bali ni amri ya Mungu Watu waoe na kuolewa.

Uislam hauna Yale mambo ya Masista au mabraza au mapadri kuwa unaamua tuu usiolewe au usioe.

Sasa wewe umekurupuka, umeshindwa kuelewa Mtiririko wa mazungumzo
Nadhani alikuwa hajakuelewa.
 
Yaani unaendelea tena kukosea Bora ungetulia tu. Chutaman kijana, ndiyo maana nakwambia wapi Uislamu umefanua ndoa ni amri ?

Sababu wako watu walio walikuwa wasomi wakubwa na hawajaoa mpaka wanakufa.

Kwahiyo bado unakosea na kuandika uongo juu ya Uislamu. Sasa tuambie wapi imeandikwa katika Uislamu kwamba kuoa au kuolewa ni amri.
Mkuu sasa hapo unacho bisha ni kitu gani?

Kitendo cha mwenyezi mungu kuharamisha zinaa maana yake ni razima kuoa au kuolewa.
 
Nawe uwe unasoma na kuelewa mantiki ya kilichoandikwa.

Nilikuwa majibu Mtoa comment hapo juu aliyesema Mwanamke anaweza kuamua asiolewe.

Ndio nikamuambia kwenye uislam Kuoa na kuolewa sio ishu ya hiyari au kupenda, Bali ni amri ya Mungu Watu waoe na kuolewa.

Uislam hauna Yale mambo ya Masista au mabraza au mapadri kuwa unaamua tuu usiolewe au usioe.

Sasa wewe umekurupuka, umeshindwa kuelewa Mtiririko wa mazungumzo
Ulivyo andika kule umekosea, inaoneka kuolewa katika uislamu ni amri, amri kivipi hujaandika ndiyo maana tulikukataa.
 
Huyo mchawi, Huwezi kuishi ukiwaza kifo Cha mpendwa wako Ili urithi......mtu timamu hawezi hata kuwazia kifo Cha mwenzie, what if akitangulia kifa yeye?
 
Mbona hujaongelea kwa wake waliozidi wanne? Vp Kama marehemu Hana watoto wakiume? BTW logic ya kuwapunja watoto wa kike urithi wao kisa wataolewa, Haina mashimo, maana sio wote watapenda kuolewa/ kuishi na waume zao mpaka mwisho.
Yaani iko hivi huyo mtoto wa kike anapewa mali kidogo,sababu yeye ataenda kuolewa,na kama yatamshinda huko alikoolewa siku moja ataludi kwa kaka yake kuja kuishi kwa amani
 
Uislamu ndio dini ya Mungu na ndio dini ya kweli enyi binadamu njooni katika haqqi ili mpate salama ya Mungu hapa duniani na kesho Akhera
Ningekuja kwa kweli ilaa kwenye kufuga majini tu hapo ndugu hapo na mtakuta mabikra sijui 70 hapana
 
Mama alitakiwa arith sehemu kubwa maana yeye kahangaika kubeba mimba na uchungu juu na kuwalea ni kazi kubwaaa
Ingawa kuandika kazi, jadili mada usijadili ambacho hakipo kwenye mada. Hata taratibu za mirathi za serikali na kimila Wameangalia zaidi watoto siyo wazazi, wazazi wanatajwa iwapo marehemu hana mke, wala watoto

Alafu ujue inatokea tu, ila tunategema afe mwenye umri mkubwa kuliko mdogo.
 
Mimi mnanikera kwenye uchawi tu yani ni wachawi sana
Uchawi hauna dini

Kanda ya ziwa ukristo umetamalak na ndio wanaoongoza kwa kuuana kwa sabab ya uchawi

Mbeya,iringa na sumbawanga huko hadi vifuu vinaongea
 
Mama alitakiwa arith sehemu kubwa maana yeye kahangaika kubeba mimba na uchungu juu na kuwalea ni kazi kubwaaa
Busara imeangaliwa katika mioyo yao dhaifu hali ambayo imgesababisha kuwaua waume zao ili warithi Mali, na ndio maana kesi nyingi ni za wanawake kuua waume zao kwa kutaka Mali, na ukisia mwanaume kaua mkewe ujue ni kwa sababu ya wivu wa kimapenzi na sio mali. Mfano hapo juu Kwa Wamachame, hope utakuwa umeelewa mantiki.
 
LOGIC ya kuwapunja WATOTO WA KIKE NI HII.

Watoto wa Kike always hulelewa na kaka zao pindi wazazi wao wanapofariki.

Hata kama ukiolewa unapoachika unarudi kwa kaka yako, hivyo basi ile ziada ambayo kaka yako amechukua kama urithi itakusaidia kukuhudumia pindi utakapokuwa umerudi/unaishi kwa kaka yako.

Sheria za Kiislam zinatambua hali za wanawake hivyo wanawekewa ulinzi kwa NDUGU ZAO WA KIUME.
Na mwanamke asipoachika? Hiyo ziada inaenda wap? Kama urith hakuna akiachika hapokelewi kwasababu huo urithi haupo?
 
Sheria za KIISLAM zote zimekaa sawa, tatizo lako umekaza kichwa na hutaki kuelewa kwann imekuwa hivyo?

Mfano, DADA YAKO AMEOLEWA, ANAPOACHIKA ATARUDI KUISHI KWA NANI?, NANI NI MLINZI WA DADA YAKO? SIO WEWE MWENYEWE? NANI ANAPASWA KUMPA MSAADA DADA YAKO PINDI MNAPOFIWA NA WAZAZI WENU?

HATA MWANAMKE AWE MKUBWA KULIKO MWANAUME, UISLAM UNATAMBUA NGUVU YA MWANAUME NA JUKUMU LA KUMLINDA DADA YAKE, UISLAM UNAGAWA URITHI KATIKA MAZINGATIO MUHIMU HUKO MBELENI.

MWANAMKE ANAPOOLEWA ALWAYS UHAMA KWAO, MATUNZO YA NYUMBA NK HUFANYWA NA KAKA MTU, NA HATA AKIACHIKA ATARUDI HAPO KWA KAKA YAKE, NDIPO HAPO SASA ULE URITHI AMBAPO KAKA MTU ALIMZIDI DADA YAKE UNATUMIKA KUMHUDUMIA.
Unapopewa bikra 72 mwanamke anapewa nn?
 
Hizo ni sheria kandamizi na zilizopotwa na wakati,mwanamke ana kwao na pia ana kwake,haya ndo masuala ya kumuoza mtoto wa kike huku ukimwambia asirudi labda awe mfu kitu kinachopelekea kuvumilia ndoa za mateso. Siku hizi ni 50/50,nyumba mkijenga wanandoa inakua na majina mawili mume na mke

Mkuu wahindi mwanamke ndo anatoa mahari,anyway usiseme dunia nzima sema baadhi ya nchi za africa maana huko kwa wazungu kuna wanawake wanaoana wao kwa wao
Mwanamke hana kwake, ana kwao, hata mila za baadhi ya makabila, mwanamke akishaolewa tu, huambiwa hapa huna chako tena.

Unachotakiwa kufahami kuna mambo ni ya kimaumbile, ndiyo maana mwanamke hachumbii, wala haowi bali ni mwanamme, hii ni Dunia mzima na kawaida anae hama alipokua anaishi ni mwanamke kuhamia kwa mwanamme.

Ukiona mtu ameoa akahamia kwa mwanamke, ukimchunguza utaona ana kasoro siyo chini 20.
 
Back
Top Bottom