Nimsaidiaje huyu best yangu anayefilisiwa na Forex?

Huyo jamaa ni lot tembo mtaji sungura ndo tatizo, alafu anaamini pesa ni za bure tu na utajiri wa haraka. Akili itamkaa sawa
 
For telegram user

Anayehitaji kujifunza
*forex basic
*advanced course,candlestic pattern and pysology behind its formation
*Supply and demand strategy

ajoin telegram chanel

👇🏽
Forex lesson tanzania (swahili)
 
Jana amenunua latest books kwa LORDFX sijui ni broker wa wapi, katumia ela zote now ashaanza kunililia shida.
Wale walokole please muwekeni jamaa kwenye maombi na maombezi kila mpigapo goti kwa muumba.

Mbona unajua sana hiyo Forex as if wewe mwenyewe ndiye unayecheza
 
For telegram user

Anayehitaji kujifunza
*forex basic
*advanced course,candlestic pattern and pysiology behind its formation
*Supply and demand strategy

ajoin telegram chanel

👇🏽
Forex lesson tanzania (swahili)
 
Atamimi rafiki yngu mkubwa amefilisika na kurudu kwao moshi huu mchezo sitaki ata kufahamu n Atari kma ukoma

Nami rafiki yangu kakimbia Dar kisa Forex.Kwa nini utake pesa bila kuwajibika,na hesabu kupata pesa bila kuwajibika ni dhambi sana
 
Yale yale,kwenye forex kuna watu wanaokula na kuna watu wanaoliwa... He is in the later group
 
Na mm naomba unitumie ivyo vitabu mkuu
 
Hivi unaijua FOREX vizuri??? Inshort hiyo ni miradi ya watu uko Ulaya, Ingekuwa rahisi kila mtu angekimbilia huko.
Jamaa amechoka mbaya ungemuona ungemhurumia
Smart money sio kwa ajili ya kila mtu...Shaffii Dauda anapiga pesa ndefu kwa betting tu
 
Story za kutunga kama hizi ndio zinawafelisha vijana.
 
Mm nilikuwa nafundisha private school napigwa kama 6k,
Ila natrade forex now naitafuta iyo 6k within one week and half.naweza piga 2M per month nakazi nimeacha nafanya forex ila nimejiajir.
Ushaur wa bure.hakuna mwalimu wa forex na hata tokea but hii nakwambia kama mwl achana na utapeli wa mitandao tafuta vitabu soma.tutorial you tube.achana na magroup ya telegram .Forex is mind game.depend how smart you are?
 
achana nae mkuu kunywa [emoji481]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…