Nimsaidiaje huyu best yangu anayefilisiwa na Forex?

Appreciate
 
Mzabue booonge la kofi la Usoni, akili ikae sawa
 
Smart money sio kwa ajili ya kila mtu...Shaffii Dauda anapiga pesa ndefu kwa betting tu
Ashawahi kukuonesha akaunti zake za betting

Au unazungumzia kuwatangazia makampuni ya betting

Baada ya nyie akina kajamba nani kuchaniwa mikeka yenu
 
kama sijakosea na wewe ni mwanafunzi wa Ontario.
Forex ni wizi, ukisha deposit pesa yako, ukianza kutrade tu mapicha picha ya red yanaanza ukija kushtuka pesa imeshateketea kwenye account, hii ni kamari ya matajiri kwa walalahoi wa nchi masikini kama tanzania ni kujiongezea umasikini tu
 
Huwa simshawishi mtu yeyote aingie kwenye hii biashara

Maana huwa sipendi malalamiko kama yanayoletwa humu .

Mtu akiona hii kitu inamfaa na kaifanyia utafiti akaifanye mwenyewe kwa bidii na juhudi zake

Akipoteza atakuwa Hana wa kumlaumu

Binafsi naifanya niseme tu Kuna faida na hasara pia kama zilivyo biashara zingine .

Huwezi ukawa unakula tu kila siku Kuna wakati unakosea analysis na unapaswa kukubali loss .

Kwa mentality za kitanzania aisee ngumu Sana kuielezea FX mtz akauelewa hasa baada ya matukio ya upatu kama deci,forever living ,qnet nakadhalika

Nashauri vijana msikurupukie vitu kwa hearsay za mitaani

FX inataka watu smart, emotionally,mentally ukiwa weak haikufai sababu flaoating na volatility no kuuuubwa Sana hi ni kutokana na transaction zinazofanyika na big players kama banks,hedge funds nakdhalika

Watu wajanja siku hizi hata Forex hawafanyi Sana wako kweny stocks,indices,metals Huko ndio Kuna hela za uhakika na loss za kibabe

QOur slogan :Trading forex is very risk you may loose your capital .

Forex is not for everyone [emoji23]
 
Forex is not for every one jambo la kwanza
Jambo la pili forex is the game of principles
Jambo la tatu forex is a business of discipline + knowledge

*Jamaa yako kupata hasara kwenye forex haimaanishi kwamba forex ni kitu kibaya pia hata biashara zingine za kawaida watu wanapata hasara, naona watu wengi mnaitolea povu kitu ambacho ni dalili za kuwakatisha watu wengine tamaa come on acheni kujikuta mnajua kila kitu

Forex this game is real but very trick, lakini mtu ukiwa na knowledge, discipline, business plan yako na ukaiheshimu una stick nayo lazima ikupe faida
Na kitu cha mwisho hii sio biashara ya kukupa utajiri ndani ya siku mbili au siku moja forex ni long term investment inahitaji muda wako, heshima na nidhamu ya hali ya juu.
 
Kuacha kaz kama hyo si sawa na kujamba ushuz bro,acha uongo,pumbaf,huna jeur hyo labda kama meneja vodacom wa vibanda vya mpesa
 
Akina buffet wanapata hela bila kuwa na kampuni inayozalisha nao ni wenye dhambi

Dini zinawaendesha Sana ndio maana mnabaki maskini

Teknolojia imekupitua kushoto

Ahsante umri wangu miaka 58 nilizaliwa na kukulia uchagani niko kijiji Cha Kapangalamsenga Katavi ,ni kweli ninaweza kusema mimi si maskini hata kidogo.Mimi mjanja hapa wananikubali asilimia mia moja.Karibu kwenye ujasiriamali kwenye sekta ya Kilimo
 
Mbao ya chuma, Kama kweli anaamini katika anachokifanya atafanikiwa, usimkatishe tamaa bado yuko kwenye learning curve ambayo inaweza ikachukua hata miaka mitatu, usimkatishe tamaa!!

Binafsi imenichukua miaka miwili hadi kuanza kuona consistency kwenye game, lakini kabla ya hapa nimechoma sana akaunti zisizo na idadi lakini nilijipromise kuto kukata tamaa na sasa namshukuru Mungu naona matunda ya forex.

Nimedevelope methodology au strategy yangu na nimeipa jina LA MONEY COMETH CODE(MCC) kwakweli naona fedha zikija kupitia hii strategy siyo kwangu tu Bali na kwa wanafunzi wangu wachache waliochagua kuiamini!!!

Unaweza ukamwambia acheki uchambuzi wangu wa soko kabla na baada kupitia page yangu ya Instagram yenye la, (sullam_Fx).

Karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…