Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

ww ni tahira unae muoverate kagame.....alafu uhamiaji wafanye wawafurushe hawa wakimbiz wa kirund na kirwanda waliojazana huku katavi.....wakimbizi kama mtoa maada hawatakiw kuwepo bongo.
ukweli umekuingia
 
Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.

PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.
Sijui kwann Gays huwa hamjifichi...mkiliwa si siri zenu mpaka uje utuonyeshe shanga...?
 
Congo ni sehemu muhimu ya kiuchumi kwa Tanzania Ila tissue ya CCM kazi kubwa ni kununua wapinzani.
Ni wakati wa kumng'oa Kagame.
 
Matatizo ya vita ya Congo ni jeshi la Congo kuwa very corrupted !
Congo sio wa kuwaamini kushirikiana nao kwenye vita !
Kuna uwezekano baadhi ya wanajeshi wa Congo wako upande wa M23 na upande wa nchi Yao wanacheza kote kote Shauri ya biashara ya dhahabu .

View: https://m.youtube.com/watch?v=cYp4iKPt3Ug&pp=ygUhbGlldXRlbmFudCBjb2xvbmVsIG1hbWFkb3UgbmRhbGEg

Hakuna jeshi East Congo kuna local ‘have a go heroes’ kama huyo Mamadou wenye uchungu na nchi yao.

Huyo jamaa alikuwa ni kanałI tu wa jeshi ambae alipambana na waasi na kuwapa mziki kwa jitihada zake mwenyewe; mwishowe akaja uliwa na mapendikizi ya kinywaranda ndani ya jeshi.

It was a local army assemble na jamaa alikuwa na majukumu ya kuweka army discipline kwa wanajeshi watovu kwenye mapambano na hapo-hapo kuandaa strategic offence (a lot of responsibility for one person) na alikuwa anawachezesha mziki waasi kweli-kweli.

Tatizo kuna watu wanajiunga kwenye hilo jeshi kwa kuhujumu. Huku serikali kuu ya Congo aitaki ku-commit wanajeshi kutoka maeneo mengine na wala hakuna generals kwenye hiyo vita mara nyingi wanaachia local officials.

Watu kama hao unawasaidis mpaka lini. Yaani Tanzania ijali East-Congo kushinda serikali yao.

Ni muda wa kuombiana ukweli wajipange au tuachane nao; hawapo serious wa-Congo wanataka wengine wanunue ugomvi wao.
 
Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.

SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.

Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?


View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D

Huyu kagame ni mlevi mkubwa wa umbari wa kitutsi. Hao m23 kama walivyo watutsi wanaamini wao ni mbari superior na lazima watawale popote wanapoishi hata kama hawachaguliwi na watu. Nchi za afrika mashariki lazima kuungana kuzima huu wehu wa watutsi kabla hawajaanzisha israeli nyingine kwenye eneo letu. Tukipuuza tutakuja kugeuzwa wapalestina maana israeli yenyewe na nchi za magharibi wanamuunga mkono kagame.
 
Huyu kagame ni mlevi mkubwa wa umbari wa kitutsi. Hao m23 kama walivyo watutsi wanaamini wao ni mbari superior na lazima watawale popote wanapoishi hata kama hawachaguliwi na watu. Nchi za afrika mashariki lazima kuungana kuzima huu wewu wa watutsi kabla hawajaanzia israeli nyingine huku kwetu afrika.
Kagame na mtoto wa Museveni (hasa huyu mtoto wa Museveni) wana matatizo lakini ni makosa kuwa łebel jamii nzima ya watutsi ni watu wabaya.

Kauli kama hizo ndio mwanzo wa propaganda za kuchochea xenophobia na kuhalalisha persecution za makundi ya watu based on their ethnicity, wakati wengi wao wanachotaka ni kuishi kwa amani tu. People need to be careful on what they say.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=cYp4iKPt3Ug&pp=ygUhbGlldXRlbmFudCBjb2xvbmVsIG1hbWFkb3UgbmRhbGEg

Hakuna jeshi East Congo kuna local ‘have a go heroes’ kama huyo Mamadou wenye uchungu na nchi yao.

Huyo jamaa alikuwa ni kanałI tu wa jeshi ambae alipambana na waasi na kuwapa mziki kwa jitihada zake mwenyewe; mwishowe akaja uliwa na mapendikixi ya kinywaranda ndani ya jeshi. It’s a local army assemble so kuna watu wanajiunga kwa kuhukumu. Serikali kuu aitaki ku-commit wanajeshi kutoka maeneo mengine na wala hakuna generals kwenye hiyo vita wa jeshi lao.

Watu kama hao unawasaidis mpaka lini. Yaani Tanzania ijali East-Congo kushinda serikali yao.

Ni muda wa kuombiana ukweli wajipange au tuachane nao; hawapo serious wa-Congo wanataka wengine wanunue ugomvi wao.

Hiyo vita ni mradi wa rwanda uganda na vigogo wa congo. Ukitaka kumaliza vita na kuleta amani utauliwa.
 
Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.

SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.

Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?


View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D

Hii nchi ni ya kipumbavu sana. Watu wetu wanauliwa bila huruma na wanajeshi wa Kagame lakini hakuna anayejali. Inauma sana.
 
Hiyo vita ni mradi wa rwanda uganda na vigogo wa congo. Ukitaka kumaliza vita na kuleta amani utauliwa.
Hoja zako ni sababu muhimu za kujiuliza kwanini tuna kihere here huko; wakati wa-congo wenyewe hawapo serious.

Ni wakati wa Tanzanis na SADC ielewe mipaka ya kuubeba huo mzigo usio wao., Kama wenye nchi hawapo serious ni muda wa kuwaachia mzigo wao.
 
Punguza upumbavu wako basi Mkuu hata kama unatumia fake Id.
Tena wewe anakubaka live kabisa... Huku unajiona. Maana hujielewi kabisa. Unapigwa mti hivi hivi dogo na ulivyolegea hutoweza tembea kabisa.
 
Tena wewe anakubaka live kabisa... Huku unajiona. Maana hujielewi kabisa. Unapigwa mti hivi hivi dogo na ulivyolegea hutoweza tembea kabisa.
Ona unachoandika Sasa! Ndicho kilichoujaza ubongo wako.
 
Huo wimbo wa mabeberu umepitwa na wakati, China ndio mvunaji mkubwa wa madini na mbao huko DRC kwa sasa kwa njia halali na haramu.
"Umepitwa na wakati"? Una maana hao mabeberu hawataki tena cobalt na madini mengine muhimu kwenye utengenezaji wa simu na betri!
Inaonyesha wewe ua wakati wako wa kipekee!
Zaidi ya hayo ya uvunaji mali, akili yako kweli haikuwezeshi kufikiria mambo mengine mengi yanayowafanya hao mabeberu wawe na 'interests' zao katika ukanda huu?
 
Back
Top Bottom