‘Kuiba japo madini kidogo’😁😁😁😁😁!!!
Hata mimi nakuunga mkono katika hilo,
Lakini ukweli mchungu ni kwamba , hiyo nchi ya kuiba madini iko wapi, Tanzania? Hii hii nchi yetu ambayo tunajiibia madini yetu wenyewe,!! Hivi ni kiongozi gani mwenye akili hiyo aende kuiba madini Congo?
Ili ayapeleke wapi? Kuna kiongozi mwenye akili hiyo ya kwenda kuiba madini Congo kwenye vita wakati anaweza kuiba hapahapa bila kutumia hata manati,
Acha Kagame aibe mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yake , lakini sio hawa tuliowapa dhamana ya kutuongoza ,
Wanakula kulaini hapahapa bila kuhangaika na mambo ya vita.
Hebu kaa kwa utulivu uitafakari nchi yako kwanza na uililie hasa,
Hayo angeweza kuyafanya Magufuli tu,
Mtu ambaye alikuwa na vision na target ya kuipeleka Tanzania sehemu fulani