Nina GPA kubwa 4.1 ya Rasilimali watu(HR) ila kazi sipati

Njoo PM unitumie Vyeti vyako,uwe tayari kufanya kazi mahali popote especially nje ya Dar
 
Unadhani watu wanaajiri GPA?
 
Mkuu gpa hizo si huwa wanabaki chuo?wewe imekuwaje?
 
Njoo na wazo la kujiajiri mwenyewe , ukisema GPA kwamba ni kubwa unakosea wapo wenye PhD na Masters mtaani weng tu kwa hiyo kma kujiajirii umeshindwa tafufa kaz ya kujishkiza inaweza kua nje ya career yako fanya kwa moyoo connection ztakuja
Pia ana sahau kwamba kuna cross cutting courses eg waliosomea Law hawa nao hiyo kazi wanaweza kufanya hivyo ushindani unakuwa mkubwa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…