Shida ipo nakwambiasioni shida ya mwanamke kutongoza mbona.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ipo nakwambiasioni shida ya mwanamke kutongoza mbona.....
Itaje...Shida ipo nakwambia
Sa mnachaguaga? Nyie ni kama panya ilimradi kitobo kipo tu unaingiaKama tatizo ni kitobo tu wanaume tusingechagua wajameniii...
Ni karoho tu kaumalaya kanamsumbua...
Uzuri ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo..
Yaani mimi Kama huna nundu na kiharage kirefu nakuacha kama ulivyo...🏃🏃😅Sa mnachaguaga? Nyie ni kama panya ilimradi kitobo kipo tu unaingia
Kwakweli....matobo mengine bora ujichue tu...Yaani mimi Kama huna nundu na kiharage kirefu nakuacha kama ulivyo...[emoji125][emoji125][emoji28]
Usilazimishe mambo. Kila jambo na wakati, na sababu zake. Usijirahisishe, kujitembeza, jipe muda, na umpate mtu kwa kuridhiana.Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Baelezi hao. Mbona wao kama ishu ni de liboloz kwa nini wakina mzabzab wanatukataa huko pm tunaambulia vibuti tuu🤣🤣🤣🤣Kama tatizo ni kitobo tu wanaume tusingechagua wajameniii...
Toa maelezoShida ipo nakwambia
Kwa hiyo sie tumekuwa panya sio mbwa tena🤣🤣🤣🤣Sa mnachaguaga? Nyie ni kama panya ilimradi kitobo kipo tu unaingia
Njoo pm na ID yako ya zamani nikutongozeWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Wanaume wanapenda Wanawake wanaoringa na kujishaua kuliko wanaojirahisisha[emoji122][emoji2935]Na hivyo ndivyo ilivyo.
Ukiwa umeoa ukitongoza Wanawake wanakukubalia, Mkeo akikuacha mtiti wa Kupata Mwanamke mwingine inakuwa kipengele.
Hiyo ni kawaida. Acha kuwaza mambo ya kijinga.
Kuwa msafi, vaa vizuri, Rings na jishaue.
Wanaume wanapenda Wanawake wanaoringa na kujishaua kuliko wanaojirahisisha
🤣🤣🤣🤣 weka Picha ukute nimeondoka jana tuWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Dada tuachie sisi 😎Yaani huo ndio muda kukaa kuwaza kuhusu maisha binafsi na maendeleo yako.
Kutongozwa kunasaidia nini?
Mbona wanakuacha?
HAki siwaachi!Dada tuachie sisi 😎