Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Mvuto wa mtu haupo kwenye muonekano wake. Upo kwenye nyota yake. Mwanamke anaweza kuwa mrembo sana ila hawezi vutia, haonekani, hakumbukwi.

Binadamu tunaishi kwa kutegemea nyota au wengine wanaita kismati. Kama hauna hicho uwe mzuri, umesoma, una pesa vyote ni kazi bure utashangaa kwa nini watu hawana time na wewe.
Mkuu,
Tupe madini mkuu 😊😊 ongezea ongezea nyamaa
 
Kuna pisi kali unaonana nayo unataka uchukue namba ukaitafune lakini unaogopa unahisi itakujibu shombo, kumbe kuna pisi kali zinajipitisha ila wahuni tunakua hatumjui....
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Tatizo lipo hapa ulijibu siku mbili mbele:


Uhandishi au uandishi
 
Back
Top Bottom