Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwakweli shetani ana nguvu kuliko break downHapo shetani anakuwaga anataka kuharibu mapenzi yenu, ukiachika tu hutawaona tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli shetani ana nguvu kuliko break downHapo shetani anakuwaga anataka kuharibu mapenzi yenu, ukiachika tu hutawaona tena
Kwaio watu hammuoni? 🤣🤣🤣mchawi ila wewe ni mfupi
😂 sio kwamba haonekani ila wadau washasema ni nyota imemfifiaKwaio watu hammuoni? 🤣🤣🤣
Hako kadada ukute ni kabaya halafu kana nyodo😅😂 sio kwamba haonekani ila wadau washasema ni nyota imemfifia
Angeweka sifa zake hapa huenda tungebaini shida iko wapi.Hako kadada ukute ni kabaya halafu kana nyodo😅
Muulize yupo mkoa gani Akisema Dar Au Dodoma niombee namba 😎😎Angeweka sifa zake hapa huenda tungebaini shida iko wapi.
😂 ameona atakupm kama yupo maeneo tajwaMuulize yupo mkoa gani Akisema Dar Au Dodoma niombee namba 😎😎
Mi sijawahi.mkataa mdada wa watu 😄😄😄😄mi nahuruma sana😂 ameona atakupm kama yupo maeneo tajwa
Cute Msangi kuna ujumbe wako huku. Usikatae wito kataa ushauri.
Njoo kwangu nakupokea kabisa kwa mikono miwiliiWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
😲🤦Aisee noma sanahivi unajua kuwa mashoga ndiyo wanajitongozesha humu jf?
Madawa ya mvuto yatakuletea mapepo!! Nakushauri uokoke kwa kumpokea Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako!! Achana na maisha ya uasherati!! Subiri uolewe kwa heshima!!Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.