Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Njoo kwangu nakupokea kabisa kwa mikono miwilii
 
Automatic ukiwa na mtoto mzur ni rahis kupata watoto wazur lkn pia ukiwa huna ata wakukutongoza inakuwaga ngumu kupata mtu wakuwa nae kwenye mapenz , sio wewe bali ni aslimia kubwa .
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Madawa ya mvuto yatakuletea mapepo!! Nakushauri uokoke kwa kumpokea Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako!! Achana na maisha ya uasherati!! Subiri uolewe kwa heshima!!
 
Hauna gundu hujatulia una kisirani na hujajua unakosea wapi jitulize tu.Pia ni mapema mno.
 
Shida siyo sura Wala ila ni wewe mwenyewe mindset Yako kwanza hujikubali vile ulivyo hujiamini na hata ukipata mtu unamjulisha mapunguf yako unalalamika tu na vile unataka huyo mtu awe hakosei hakuna malaika jiikubali jiamini maisha Yako yapo mikononi mwako waganga ni wadanganyifu na dawa zao Zina mwisho siyo za milele ila wewe utadumu mpaka Mungu wako aseme basi.
 
Back
Top Bottom