mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Na kutuloga 😂Kuna mambo mengi hata nje ya hilo[emoji12]akili yako tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kutuloga 😂Kuna mambo mengi hata nje ya hilo[emoji12]akili yako tu.
[emoji23][emoji23]Hebu picha hata pm tuone shida iko wapi, mimi sio mchawi ila wewe ni mfupi
Hapo inategemea na akili za huyo mwanamke, hatufanani kama anaamini ktk uchawi na limbwata atakufanyia yote usihofu[emoji23]Na kutuloga [emoji23]
MeditationPole sana. Kuna mawili uenda mwanaume uliyeachana nae alikushusha nyota yako au kuna jambo umefanya chafu limechafua nyota yako.
Kuna njia tatu za kuinua nyota yako ili uwe na mvuto.
1. Ibada
2. Jadi
3. Meditation
Chagua moja uipambanie.
Njoo inbox tafadhaliWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Atuelezee na hio jadi, akijibu nitagMeditation
Inakuaje hii mkuu
Joined: Yesterday huna gundu PM iache wazi alafu kila anaekuja achia goli wazi, nimekupa njia ya kuondoa gundu acha malalamikoBaada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano
Ukweli bila shaka, aweke picha ataje location ikawa inasapotiwa na namba mujarabu pamoja na address ya makazi anayoishi asilete usanii kwenye jumba la sanaaBila kuja pm naka namba kakiambatana na kapicha inabaki kua kamba tu, au jamani naongea uongo
Tafuta ambiere kutoka NdunguWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
........kwani na wewe huna mpenzi!?......Fanya mambo mengine mpenzi kama mapenzi hayakutaki sio wote lazima tuwe na wapenzi wengine tuwe watazamaji tu