Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Usilazimishe mambo. Kila jambo na wakati, na sababu zake. Usijirahisishe, kujitembeza, jipe muda, na umpate mtu kwa kuridhiana.
 
Kama tatizo ni kitobo tu wanaume tusingechagua wajameniii...
Baelezi hao. Mbona wao kama ishu ni de liboloz kwa nini wakina mzabzab wanatukataa huko pm tunaambulia vibuti tuu🤣🤣🤣🤣
 
Njoo pm na ID yako ya zamani nikutongoze
 
Wanaume wanapenda Wanawake wanaoringa na kujishaua kuliko wanaojirahisisha[emoji122][emoji2935]
 
Yaani huo ndio muda kukaa kuwaza kuhusu maisha binafsi na maendeleo yako.
Kutongozwa kunasaidia nini?
Mbona wanakuacha?
 
🤣🤣🤣🤣 weka Picha ukute nimeondoka jana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…