Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke asipotongozwa zaidi ya mwezi na mwanaume mpya tayari ilo ni tatizo kubwa. Maana yake haonekani, amekosa mvuto, hakumbukwi, hana ushawishi. Chakula kikuu cha mwanamke ni attention.Kwan kwa mwanamke, haitakiwi kupita muda kiasi gan bila kutongozwa? Yan wanawake, ni siku ngap zikipita haujatongozwa, unaanza kupata mashaka?
Leejay49 njoo tusaidie kujibu hili swali[emoji23]Kwan kwa mwanamke, haitakiwi kupita muda kiasi gan bila kutongozwa? Yan wanawake, ni siku ngap zikipita haujatongozwa, unaanza kupata mashaka?
Sawa mkuu shukrani kwa kuniongezea kufahamu hayoMvuto wa mtu haupo kwenye muonekano wake. Upo kwenye nyota yake. Mwanamke anaweza kuwa mrembo sana ila hawezi vutia, haonekani, hakumbukwi.
Binadamu tunaishi kwa kutegemea nyota au wengine wanaita kismati. Kama hauna hicho uwe mzuri, umesoma, una pesa vyote ni kazi bure utashangaa kwa nini watu hawana time na wewe.
Una dhambi[emoji23][emoji1544]Inawezekana una sura private na shape ya kipekee, ulileytwa kama sample ili kupata views za wanadamu au muumba alikua ana re-introduce mtu wa kale
Acha ujinga na wewe unaamini kwenye nyota[emoji23]Sawa mkuu shukrani kwa kuniongezea kufahamu hayo
NI ushauri wake haimaanishi kuwa nimekubali kuwa ndivyo ilivyoAcha ujinga na wewe unaamini kwenye nyota[emoji23]
Huu utani sasaWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano,Niko mpweke Sana cjui yule mbwa kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Wanaume wa daslamID mpya, mada ya ushawishi, wengine huwa ni wanaume wenye ID ya kike.
Wanatafuta maisha ya mkatoWanaume wa daslam
Rusumo kulima Tena,PM au weka picha njoo tulime huku Ngara mpenzi wangu
Mvuto wa kimuonekano upo?Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano,Niko mpweke Sana cjui yule mbwa kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.