Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Thanks mkuu on behalf πŸ™
Salimia sana hiyo Muzee,
Ambia yeye kwamba, Nina muheshimu sana, na kwakweli aniwie radhi kuu sana, ikiwa kwa namna yeyote ile nimemkwaza.

Nimefurahishwa zaidi na ungwana na ustahimilivu wake wa kiwango sana, na hilo limedhihirisha bayana kwamba hakika yeye ni Baba Kamili wa familia, hana papara anajivunia wewe kwa uhakika na anajiamini.

Ni katika hali ya kutokujua na maendeleo katika sekta habari, mawasilino na mitandao ya kijamii, hili limetokea kwa jinsi lilivyotokea. Hakuna jingine.
Ukweli umedhihirika na kubanika, sote tupo huru.
Tuchape kazi sasa na tusonge mbele kwa amani, Furaha na upendo....
Amen..
 
Yes!wewe ndio umeniambia jambo la maana,huyu hata tusipomwaga maji moto haulambi sadaka
injili ya mwoko Yesu, itatangazwa tu katika mazingira yeyote Roho Mtakatifu atakaporuhusu itangazwe, pawe na sadaka ama hakuna tutasonga mbele,
Amen...
 
We nabii wewe unanitia mashaka saanaa..kila kitu unasingizia roho mtakatifu yaani!!una janjajanja nyingii sana🀦🀦
Mungu hutumia namna na njia mbalimbali kumfikisha mja wake anapostahili kupitia Roho Mtakatifu.
Hakuna kisingizio.

Leo unaweza fungua biashara hapa ikakwama, Lamomy akakwambia Γ±joo ufungue biashara hapa jirani pangu na ukafanikiwa, na kwahiyo anakua ni njia ya kufanikisha biashara yako
 
Aimen πŸ™
Kweli najivunia yeye sana, ni mwanaume wa ndoto zangu na hata kwa asilimia ya wanawake wengi wanatamani kupata mume km yeye. Lakini hiyo neema nimeipata mimi tu Lamomy namshukuru Mungu.

Salamu zimefika na uzuri mwenzi wangu ni muelewa hana tatizo.
 
Aimen πŸ™
Kweli najivunia yeye sana, ni mwanaume wa ndoto zangu na hata kwa asilimia ya wanawake wengi. Lakini hiyo neema nimeipata mimi tu Lamomy namshukuru Mungu.

Salamu zimefika na uzuri mwenzi ni muelewa hana tatizo.
ooh hallelujah...
πŸ’ͺπŸ‘ŒπŸ”₯Shangwe, sifa na makofi ya kilo ni kwa Bwana wa Majeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…