Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Nyege mbaya;
kuna mchungaji au tuseme mwana maombi maana sijawahi fika kanisani kwake wala hatujuani sana zaidi ya lift mara moja moja nikimkuta road, siku moja niko na wife akiwa na mtoto huwa anakaa nyuma na yule mwana maombi nilishaanza kumpa lift kwenye pikipiki sasa nikaona sio tabu nafsi ingenisuta kama ningempita basi nikasimama nikamstua akazama mbele tukasalimiana akamsalimia wife basi tukaendelea na stori mixer akaleta mbwembwe za kupiga maombi tukiwa tunaendelea kwenda basi nikampitisha wife sehemu yake mimi nikaendelea na mwana maombi wangu naye akafika anakoshukaga akaniaga ikawa bye bye. Zimepita kama siku 4 akaenda pale nilipomuacha wife akamsubiri mpka akafika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nyege mbaya jamani mwanamaombi akafunguka kwa wife alaf kibaya nilimtambulisha sasa wife naye hanaga mbili kwenye moja akamchana alafu akamfukuza. Siku nyingine napita nataka kumpa lift jamaa akaniuliza upo na wife kwakua anakaa nyuma na ngoma ni tintedi nikamwambia hayupo alipozama wife akaniambia lock milango ndio naondoka wife akacheka jamaa akageuka nyuma kwa hofu wife akaanza kumsema mixer anamzodoa na maombi yake mimi mwenyewe hakuniambia maana anajua nisingekubali amseme kama vile maana mimi tu nilikua naona aibu maneno yanayotolewa tulipofika uhasibu yule mwamba akaomba kushuka na akaomba samahani nyingi sana mimi nilibaki nacheka tu maana nyege ni mbaya zinakuaibisha kijinga na muda huo hazipo zimejituliza kwenye joto makendeni.

NYEGE MBAYA JAMANI.
 
Aimen,
tutazingatia maelekezo ya Roho Mtakatifu katika maombi,
Yawezeka Lamomy alikua ni ngazi au daraja tu kwa mtumishi nisiestahili chochote kufika huko kwenye pendekezo lako...
Aimen
We nabii wewe unanitia mashaka saanaa..kila kitu unasingizia roho mtakatifu yaani!!una janjajanja nyingii sana๐Ÿคฆ๐Ÿคฆ
 
Back
Top Bottom