Mungu ni Mwema sana,Lamomy tulikua mawinga kariakoo wakinga wakampa mtaji😁😁saiv anafremu DDC
Mungu wa Rehema, hekima na busara akusaidie ndugu yangu sana MastaKirakaHapo ukishapiga hata roho mtakatifu humkumbuki tena
😅Nimecheka japo sio vuzuri ila ni katika engagement tu...Kaka ongea na mimi vizuri.
Jirani maombi yako yamejibiwa huku huna haja ya kwenda pale temboni tena😂
Lamomy
Tungoje anakuja very soon😅Nimecheka japo sio vuzuri ila ni katika engagement tu...
katika kumtafuta Mungu zipo changamoto na lazima uwe radhi kuzikabili..
Usiogope, usione haya na wala usimwache Mungu anapokujibu maombi yako...
Nashukuru sana kwa karibisho lako kufanikisha haja ya moyo wangu.
Nimekubali nitakaribia
kwa wakati muafaka kuchota, kuyaelewa na kuyafahamu mengi mazuri sana ya huyu mpendwa wangu ninaemtumaini mtumishi Lamomy
Shukrani sana Half american
Ss nikipata 100M+ [emoji15][emoji15] Mbn hata Hisia za Mapenzi nitakuwa sina Kabsa? Kifupi sitowaza Uwepo wa Mwanamke karibu yngKomaa mkuu, mm nmeambiwa account ikisoma 100+m nintafte. Antonnia ... Napenda sana ila ndo nimeanza kutafuta vibarua kupata hiyo hela [emoji3061]
How can you predict kwamba hutakuwa nayo? Ina mana sasa hiv uko jobless ndo unayo ama?Ss nikipata 100M+ [emoji15][emoji15] Mbn hata Hisia za Mapenzi nitakuwa sina Kabsa? Kifupi sitowaza Uwepo wa Mwanamke karibu yng
We jamaa ulisoma SJUT?Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu, kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote.
Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia vizuri kadiri tuwezavyo na kwa uaminifu, huku tukimshukuru yeye pekee daima, kila wakati tunapopata wasaa wa kufanya hivyo.
Namsalimu sana mtumishi, msaidizi wangu mpendwa sana na kipenzi cha haja ya moyo wangu Lamomy popote alipo.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ulinzi mkali sana wa kiroho na kimwili uambatane nae daima kila mahali anapotekeleza majukumu, kazi na mahangaiko yake ya kila siku.
Milango yangu ya kimwili na kiroho iko wazi daima kwajili yake, na saa zingine inalala wazi usiku na mchana ikitazamia ujio wake wakati wowote maishani mwangu katika Roho na kweli ya Mungu.
Namuomba Roho Mtakatifu ahuishe nafsi yake Lamomy ilainike na ipate kuskia sauti ya wito wa Mungu kwake dhidi yangu.
Afungue moyo wake uweze kutambua na kujua vema nia, haja, makusudi na madhumuni yangu mema sana kwake na yenye baraka, neema, sifa na utukufu wa Mungu daima na milele....
Lamomy katika dhiki na faraja daima na milele.
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Bahati Mbaya sijawai kumuamini Mwanamke hata Siku Moja nahisi Uwepo wao ndiyo Chanzo cha Kukosa Uhuru wangu Binafsi so Sasa hivi ni najitahidi kuingia kwenye Mahusiano kupata nafasi ya kuishi Kwa mara ya 2 (Mtoto au Watoto). Ambapo ili hitaji Langu likitimia sitoitaji kuwa na Mwanamke karibu yangu.How can you predict kwamba hutakuwa nayo? Ina mana sasa hiv uko jobless ndo unayo ama?