Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Lamomy tulikua mawinga kariakoo wakinga wakampa mtaji😁😁saiv anafremu DDC
Mungu ni Mwema sana,
atatimiza la kila moja wetu kwa kwa wakati muafaka na kwa namna ya kipekee mno.

Daima tumtumainie na kumtegemea yeye pekee.
Na kwakweli, mambo yanabadilika, ukitaka kumuelezea mpendwa sana, na mtumishi Lamomy , basi muelezee Lamomy wa sasa...
 
Kaka ongea na mimi vizuri.

Jirani maombi yako yamejibiwa huku huna haja ya kwenda pale temboni tena😂
Lamomy
😅Nimecheka japo sio vuzuri ila ni katika engagement tu...

katika kumtafuta Mungu zipo changamoto na lazima uwe radhi kuzikabili..
Usiogope, usione haya na wala usimwache Mungu anapokujibu maombi yako...

Nashukuru sana kwa karibisho lako kufanikisha haja ya moyo wangu.


Nimekubali nitakaribia
kwa wakati muafaka kuchota, kuyaelewa na kuyafahamu mengi mazuri sana ya huyu mpendwa wangu ninaemtumaini mtumishi Lamomy
Shukrani sana Half american
 
Tungoje anakuja very soon
 
We jamaa ulisoma SJUT?
 
How can you predict kwamba hutakuwa nayo? Ina mana sasa hiv uko jobless ndo unayo ama?
Bahati Mbaya sijawai kumuamini Mwanamke hata Siku Moja nahisi Uwepo wao ndiyo Chanzo cha Kukosa Uhuru wangu Binafsi so Sasa hivi ni najitahidi kuingia kwenye Mahusiano kupata nafasi ya kuishi Kwa mara ya 2 (Mtoto au Watoto). Ambapo ili hitaji Langu likitimia sitoitaji kuwa na Mwanamke karibu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…