Mpambe nakuona πππNa Mimi nineshangaa Shemeji
Comment ndefu sanaNa Mimi nineshangaa Shemeji
Khaaaaa!! πππKwanza mleta mada ni mtumishi angekuelewa tu . Unge mwambia Mtumishi sikutaki , Mhuburi 7:9 Case Closed
Sijapenda kabisaa boss wangu kuchokozwaMpambe nakuona πππ
Me ngoja niwaache hii week end haiko upande wangu nishaona dalili πππSijapenda kabisaa boss wangu kuchokozwa
Anampanga mke wa mtu!Comment ndefu sana
Imekukalia vibaya hiiπ€£π€£Me ngoja niwaache hii week end haiko upande wangu nishaona dalili πππ
ππππ ila sisy unachochea moto nishakuonaAnampanga mke wa mtu!
Imenigomea toka asubuhi, sijui km itaisha salama πππImekukalia vibaya hiiπ€£π€£
Mi nimemuona huyo mchungaji wiki hii yote anakunyemelea nyemelea nikasema labda anataka kuhubiria habari njema za Kristo nikawa namheshimu,heeee Leo kamwaga Sumuπ€£π€£π€£π€£ππππ ila sisy unachochea moto nishakuona
Kaa chonjo ndugu yangu!shetani asije akakulamba usoπImenigomea toka asubuhi, sijui km itaisha salama πππ
πππ kwahiyo ulikuwa unamzoom mtumishiMi nimemuona huyo mchungaji wiki hii yote anakunyemelea nyemelea nikasema labda anataka kuhubiria habari njema za Kristo nikawa namheshimu,heeee Leo kamwaga Sumuπ€£π€£π€£π€£
Acha tu hapa tayari nna kesi ya kujibuKaa chonjo ndugu yangu!shetani asije akakulamba usoπ
Mi simo!Acha tu hapa tayari nna kesi ya kujibu
π€£ Furahini kwa upendo..Mi nimemuona huyo mchungaji wiki hii yote anakunyemelea nyemelea nikasema labda anataka kuhubiria habari njema za Kristo nikawa namheshimu,heeee Leo kamwaga Sumuπ€£π€£π€£π€£
Nilikuwa namzoom tu,eti oooh twende kwenye maombi ya mnyororoπ€£mi nikawa najiuliza hivi huyu bwana ana agenda gani na mke wa boss wangu,,,?πππ kwahiyo ulikuwa unamzoom mtumishi
Mimi sinawaambia maneno mengi ya nini nenda Moja Kwa Moja tu inaisha chapUnaandika sana bwana....we sema tu umeelewa inatosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππ Mitama ikianza ntakuitaMi simo!