Nina hofu na uoga! Kwa hii age yangu si ninaweza kuzeeka hivi hivi bila mke au kids? Niko overwhelmed

Nina hofu na uoga! Kwa hii age yangu si ninaweza kuzeeka hivi hivi bila mke au kids? Niko overwhelmed

Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani.

Niko na age 27 ila mpaka sasa sina limke wala litoto yaani nabaki kuchanganyikiwa na ukizingatia maisha yenyewe ni panga pakavu yaani daah sio poa wakuu niko nachanganyikiwa tu naomba mniombee na mie.

Hofu ya kuanzisha inanikumba na naogopa kutengeneza familia 😨 sijui kwanini na umri na muda unaenda wala hamuachi mtu hapo ndipo ninapochanganyiwa aisee yaani daa sio poa waku! Mniombee
Miaka 27 mbona bado mdogo, ungekuwa mwanamke hapo sawa. Subiri ukifika miaka 32 ndo uoe, na mwanaume
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani.

Niko na age 27 ila mpaka sasa sina limke wala litoto yaani nabaki kuchanganyikiwa na ukizingatia maisha yenyewe ni panga pakavu yaani daah sio poa wakuu niko nachanganyikiwa tu naomba mniombee na mie.

Hofu ya kuanzisha inanikumba na naogopa kutengeneza familia 😨 sijui kwanini na umri na muda unaenda wala hamuachi mtu hapo ndipo ninapochanganyiwa aisee yaani daa sio poa waku! Mniombee
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani.

Niko na age 27 ila mpaka sasa sina limke wala litoto yaani nabaki kuchanganyikiwa na ukizingatia maisha yenyewe ni panga pakavu yaani daah sio poa wakuu niko nachanganyikiwa tu naomba mniombee na mie.

Hofu ya kuanzisha inanikumba na naogopa kutengeneza familia 😨 sijui kwanini na umri na muda unaenda wala hamuachi mtu hapo ndipo ninapochanganyiwa aisee yaani daa sio poa waku! Mniombee
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani.

Niko na age 27 ila mpaka sasa sina limke wala litoto yaani nabaki kuchanganyikiwa na ukizingatia maisha yenyewe ni panga pakavu yaani daah sio poa wakuu niko nachanganyikiwa tu naomba mniombee na mie.

Hofu ya kuanzisha inanikumba na naogopa kutengeneza familia 😨 sijui kwanini na umri na muda unaenda wala hamuachi mtu hapo ndipo ninapochanganyiwa aisee yaani daa sio poa waku! Mniombee
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani.

Niko na age 27 ila mpaka sasa sina limke wala litoto yaani nabaki kuchanganyikiwa na ukizingatia maisha yenyewe ni panga pakavu yaani daah sio poa wakuu niko nachanganyikiwa tu naomba mniombee na mie.

Hofu ya kuanzisha inanikumba na naogopa kutengeneza familia 😨 sijui kwanini na umri na muda unaenda wala hamuachi mtu hapo ndipo ninapochanganyiwa aisee yaani daa sio poa waku! Mniombee
Miaka 27 mbona bado mdogo, subiri ukifika miaka 32 ndo uoe, afu mwanaume hatakiwi kuwa na stress za kukosa mke,
ungekuwa mwanamke hapo sawa.

Namshukuru Mungu kwa kuniumba mwanaume, maana ningekuwa nina stress hizo hizo kwa sasa.
 
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani.

Niko na age 27 ila mpaka sasa sina limke wala litoto yaani nabaki kuchanganyikiwa na ukizingatia maisha yenyewe ni panga pakavu yaani daah sio poa wakuu niko nachanganyikiwa tu naomba mniombee na mie.

Hofu ya kuanzisha inanikumba na naogopa kutengeneza familia 😨 sijui kwanini na umri na muda unaenda wala hamuachi mtu hapo ndipo ninapochanganyiwa aisee yaani daa sio poa waku! Mniombee
Afu badilisha hilo jina, kujiita phobia (kigiriki-kiswahili ni uoga) ni kujilaani mwenyewe. Halafu uoga ni dhambi, soma Ufunuo wa yohana 21:8
 
Kwa wewe It's late
but not too late


Ila ungekuwa ke basi too late

Kwani ulikuwa unasomaga??

Màana madokta na watu wa masters ni kawaida
Mwanangu hiyo midigrii inapelekesha muda kishenzi, unamaliza degree, unaunga na masters, mpaka unakuja kuajiriwa, unashangaa 35 yrs hii hapa, afu hapo huna mke wala mtoto, afu classmates wako ambao ni form four failure unawakuta wana familia kubwa tu, na pesa pia.
 
Back
Top Bottom